Hivi Tundu Lissu anajifanya anajua au anajua kweli?

The golden

JF-Expert Member
Sep 11, 2018
1,381
2,553
Jana nilipotea njia nikajikuta nimengia chumba kimoja cha Club house.

Nikasikia sauti ya Lisu, nikasema acha nitulie kidogo nisikie kinachosemwa.
Mjadala ulihusu legacy ya JK. Nyerere, kusema kweli niliyosakia kule sijawahi kuyasikia wala kuyasoma mahali popote. Huyu TL anajua kila kitu, hakuna swali linalomshinda kujibu. Anaeleza historia ya nchi mpaka unabaki mdomo wazi.

Hapana huyu mtu amenishangaza sana.
 
Uandaliwe mdahalo Lisu vs Hangaya. Utaona vituko duniani. Hangaya ni Rais hewa, mambo mengi hayajui, mfano;

1. Alidanganywa na kina Siro kuwa Adamoo na wenzake wameshahukumiwa kumbe wamefichwa Mbweni mwaka mzima.

2. Anazindua chanjo ya J&J ila alikuwa hajui kuwa hiyo ni dozi moja tu hadi alipofundishwa mbele za hadhara. Alijua ni dozi mbili. Kaja kuzindua kitu asichokijua kabisaaaaa.

Yajayo yanahuzunisha.
 
Lisu ana common sense which is so common to other people. Hana akili kubwa sana.. Ana uwezo wa kawaida, ni overrated tu
 
Jana ndo nimejua kumbe baba yake Hanspope yule RPC wa Kagera alikamatwa na Majeshi ya Uganda akiwa ndani ya ardhi ya Uganda mwaka 1972 akauawa, alikuwa akishiriki operesheni ovu ya waasi wa Uganda, wafuasi wa Obote wakitokea Tanzania waliojaribu kumpindua na kumuondoa Iddi Amin.
Jana ndo nimejifunza wazi kuwa, ni kweli Amini alituvamia mwaka 1978, lakini na sisi tulishamchokoza sana kuanzia mwaka 1972
 
Jana ndo nimejua kumbe baba yake Hanspope yule RPC wa Kagera alikamatwa na Majeshi ya Uganda akiwa ndani ya ardhi ya Uganda mwaka 1972 akauawa, alikuwa akishiriki operesheni ovu ya waasi wa Uganda, wafuasi wa Obote wakitokea Tanzania waliojaribu kumpindua na kumuondoa Iddi Amin.
Jana ndo nimejifunza wazi kuwa, ni kweli Amini alituvamia mwaka 1978, lakini na sisi tulishamchokoza sana kuanzia mwaka 1972
Baba wa Taifa....tulisoma bure mpaka chuo kikuu na vyakula tulipewa.
Baba wa Taifa....hakuwa mzanaki bali alikuwa Mtanganyika na baadae akabadilika akawa Mtanzania.
Baba wa Taifa....ni Mwenyezimungu pekee anayeweza kutupatia mwingine.
 
Uandaliwe mdahalo Lisu vs Hangaya. Utaona vituko duniani. Hangaya ni Rais hewa, mambo mengi hayajui, mfano;

1. Alidanganywa na kina Siro kuwa Adamoo na wenzake wameshahukumiwa kumbe wamefichwa Mbweni mwaka mzima.

2. Anazindua chanjo ya J&J ila alikuwa hajui kuwa hiyo ni dozi moja tu hadi alipofundishwa mbele za hadhara. Alijua ni dozi mbili. Kaja kuzindua kitu asichokijua kabisaaaaa.

Yajayo yanahuzunisha.
Mkuu hata mimi napenda uwepo mdahalo wa Hangaya na TAL 🤣 🤣
 
Kwaiyo mtu kujua historia ya nchi yake ndo anashangaza uyo et?

Vijana wa sasa sisi ni wavivu wa kusoma na kufatilia mambo ndo mana akitokea mtu kama lissu tunamuona genius akati alichonacho kinapatikana kwenye maandishi ambayo yeye mwenyewe huyasoma ili apate kuelewa mambo kiundani.

Amna chochote kinachoshangaza hapo
 
Lissu ni level nyingine... Ni hazina ya taifa. Kwa nchi nyingine angekuwa lulu ya taifa. Kwetu anaonekana takataka.

Yaani watoto wa sasa bhana, yote aliyoongea yeye Na yule binti chizi mjukuu wa Karume yameandikwa, uvivu wako wa kusoma ndo unakufanya ushangae anachoongea yule Mkimbizi alieko Belgium
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom