Jaji Mkuu alishatoa tamko hivi karibuni. Alisema ni vizuri kama Polisi wakifanya uchunguzi na ukishakamilika ndo wamkamate mshitakiwa badal sasa ambapo mtu anakamatwa halafu ndo uchunguzi ufanyike na wakati mwingine unachukua miaka kadhaa.Hakuna bunge(spika) Wala mahakama(jaji mkuu)
Hakuna kabisaaaa....Kuna Jiwe tu
Hili watu walilisema mwanzoni kabisa kwamba utendaji wake utapimwa na jinsi uteuzi wake ulivyokuwa."MENGELENI KWETU, post: 33002752, member: 178454"]
Kila nikikumbuka zile danadana za uteuzi wake na haya yanayotokea hivi sasa, naconclude kabisa kwamba he was first compromised before being confirmed..
Hapa niwaite walioyaona zama hizo akina JokaKuu Mag3 Pascal Mayalla . Nakumbuka ilikuwa kumuona CJ ni kitu nadra sana. Akitokea Nyalali ni katika shughuli kubwa za kitaifa. Ilikuwa kama ''mwiko'' kumuona CJ akichangamana katika shughuli, nyingine zikiwa za kisiasa.CJ kila shuguli ya Ikulu hata ambazo hazimuhusu yupo pale na anapewa nafasi ya kuongea..CJ sio mtu wa kuwa hadharani-hadharani kila siku..ndio nature ya kazi yake.Naam, hata akitokea hadharani wananchi mnasema hapa kuna jambo na kweli linakuwepo..
Kumbuka enzi zile za Retired CJ Samatta,humuoni akitokea hadharani ni kwa jambo mahsusi linalomuhusu kiukweli..
Mkuu Nguruvi3, asante kwa kuniita huku, mchango wangu kwenye hoja hii ni huu.Hili watu walilisema mwanzoni kabisa kwamba utendaji wake utapimwa na jinsi uteuzi wake ulivyokuwa.
Mkuu Pascal Mayalla alisimama kutetea sana akisema ana msimamo
Hapa niwaite walioyaona zama hizo akina JokaKuu Mag3 Pascal Mayalla .
Nafikiri hili ni gumu kufanyika..Suluhisho la kudumu na litakaloirejesha nchi kwenye mstari mnyoofu na wa heshima ni PEOPLES REVOLUTION. MAPINDUZI YA UMA.
Haya mapinduzi yanapaswa yaanzishwe na raia kwa dhati kabisa bila kujali gharama zake.
Kwa mfumo huu, hakuna mabadiliko yatakayoshuka kutoka kwa wanasiasa wanaopigania matumbo yao.
Ila naamini, IPO SIKU watu wataamua na watawala watasikiliza.
Yeye hatakiwi kuwa mwanasiasa anatakiwa kutenda, kama serikali inatenda mambo ya kuminya haki za watu kwa nn majaji wasitupilie mbali makes hayo? Yeye anaungana Na serikali kila Siku ikulu kushuhudia shughuli za ikulu.Jaji Mkuu alishatoa tamko hivi karibuni. Alisema ni vizuri kama Polisi wakifanya uchunguzi na ukishakamilika ndo wamkamate mshitakiwa badal sasa ambapo mtu anakamatwa halafu ndo uchunguzi ufanyike na wakati mwingine unachukua miaka kadhaa.
Yeye hatakiwi kuwa mwanasiasa anatakiwa kutenda, kama serikali inatenda mambo ya kuminya haki za watu kwa nn majaji wasitupilie mbali makes hayo? Yeye anaungana Na serikali kila Siku ikulu kushuhudia shughuli za ikulu.Jaji Mkuu alishatoa tamko hivi karibuni. Alisema ni vizuri kama Polisi wakifanya uchunguzi na ukishakamilika ndo wamkamate mshitakiwa badal sasa ambapo mtu anakamatwa halafu ndo uchunguzi ufanyike na wakati mwingine unachukua miaka kadhaa.
"Ni vizuri kama polisi wakifanya" hilo lalamiko au ombi au ushauri. Toa muongozo na amri kwa mjibu wa sheria. Huo ndio udhaifu mkubwa na ndio maana watu kama hawajamsikia vile.Jaji Mkuu alishatoa tamko hivi karibuni. Alisema ni vizuri kama Polisi wakifanya uchunguzi na ukishakamilika ndo wamkamate mshitakiwa badal sasa ambapo mtu anakamatwa halafu ndo uchunguzi ufanyike na wakati mwingine unachukua miaka kadhaa.
Katiba..Kiukweli mihimili ya bunge na mahakama hapa kwetu ni dhaifu sana, ndo maana rais anafanya chochote awezacho na atakacho.kweli rais anapanga hata muda Wa kutoa watuhumiwa toka mahabusu, kwa nn rais asingesubiri wahukumiwe na mahakama kisha awatoe kwa msamaha wake kama katiba inavyotaka? Nawashauri wabunge Wa upinzani waanzishe mchakato Wa kumshitaki rais kupitia bunge hata kama huko mbeleni watashindwa kupitia mchakato huo bungeni.wafanye hivo kwa sababu ya rais kavunja katiba yetu Na kushindwa kusimamia kiapo chake.wakifanya hivo watakumbukwa Na taifa letu huko mbeleni.