stinger_bug
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 856
- 1,715
Nawashangaa sana mnaofikiri katiba mpya itasaidia. Kwani iliyopo inaruhusu serikali kuteka raia na kuwatuhumu kisha iwalazimishe wakiri makosa walipe RANSOM ili waachiwe?Katiba mpyaa ndio sululisho la kitu.
Let's rescue our country from dispair through New constitution.
Hata ishushwe katiba kutoka mbinguni ni kazi bure. HESHIMA YA KWELI ITAKUJA PALE AMBAPO MADHARA YA KUVUNJA KATIBA YATAONEKANA WAZIWAZI.
Mapendekezo yangu ni kuingia barabarani kila mmoja ashike silaya anayoimudu. Tutakaporudi upya tutaheshimiana. Hakuna mbwa atakayedhubutu tena kuvunja katiba. Hata awe rais, ataheshimu kila mtu kama Trump anavyofanya huko US.
Atajua akizingua na sisi tutamfyekelea mbali hata kabla ya muhula wake kutimia.