Doctor Stranger
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,202
- 6,143
[/QUOTE]kwamba hata trick ya kumeza ela tu itachukua muda mrefu?
Kumeza hela ni tukio ambalo macho yako yameona, na hiyo ni baada ya kuwa tricked
Hilo ni lengo ambalo mwana mazingaombwe alitaka wewe uone hivyo, theres something hidden behind that
Kihalisia ni kwamba hakuna tukio la kumeza hela lililofanyika kwenye hayo maonesho, bali ni ujanja wa ku-misdirect macho na kuona kwamba mtu kameza hela
Hata hiyo clip niliyokuwekea hapo juu inayoonesha mtu akimeza upanga, uhalisia wake ni tofauti kwa maana kwamba sio kweli kua mtu alimeza upanga.
Unachokizungumzia wewe kwenye ishu ya kumeza hela ndio shabaha ya magician ambayo alitaka wewe uone, ni sawa na mtu anayesema ameona mtu kameza upanga.
Hizi ni tricks zinafundishwa na watu wanalipia ada, we unasema uchawi
[/QUOTE]