Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
Labda unamaanisha kinyume chake!watu tunaingia mwaka wa arobaini bila bila.
Labda unamaanisha kinyume chake!watu tunaingia mwaka wa arobaini bila bila.
y mnataka kunyimana raha/starehe kubwa iliyobakia chini ya jua?...hebu huko.
Yap sema watu wamekaa kufikiria ngono kila saa ndio maana utawasikia wengine wanakwambia haiwezekanimkuu uko Sahihi kabisa..ni hisia tuu na mawazo..ukijiweka busy na shughuli zako na mazoezi ya viungo kwa sana/ukatoa hisia za kungonoka inawezekana kuishi muda mrefu bila ngono
Kaunga,na kinamama wanaota pia tena kwa sana tu.Wanawake ndio watateseka sana, kwani wanaume wana unvoluntary mechanical way ya kupunguza stress; mf kwa kuota!
ni kweli kabisawanawake tunaweza ila kwa wanaume kamwe haitowezekana itazuka balaa humu mi sisemi
Ankal unataka kusema tango moja litakuwa linauzwa buku kumikwa wanaume nazani watabaka mpaka vivuli vya makufuli yao.
kwa wanawake watasababisha ongezeko la bei ya ndizi na matango.
konklushen: haumalizi huo mwaka yesu ataludi.
inawezekana likauzwa kwa foreign currency, usfanye mchezo wewe. halaf hizi nyimbo za mipasho zote zitaelekezwa kwa matango. for ekzample,Ankal unataka kusema tango moja litakuwa linauzwa buku kumi
Madude gani hayo yako advanced ninihivi bado mna matango tu,siku hizi tumeendelea tunamadude zaidi ya mlionayo tena ya uvuguuu
matango hayana side effect (confirmed mzumbe), halaf added advantage ukimaliza shuhuli yako Mr tango unamgeuza kachumbari la pilau.hivi bado mna matango tu,siku hizi tumeendelea tunamadude zaidi ya mlionayo tena ya uvuguuu
kumbe mohd shossi anaparamiwa?tulikua hatujui uwapi ewe malenga shossi ujibu hizi ngeli uwapi msanii wetu shossi je kweli waparamiwa pale mchambawima?ni kweli kabisa
Hili hata yule jamaa wa hapa JF anayepara miwa (Mohamed Shossi )analijua vizuri
Madude gani hayo yako advanced nini
matango hayana side effect (confirmed mzumbe), halaf added advantage ukimaliza shuhuli yako Mr tango unamgeuza kachumbari la pilau.