Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Bei za internet ya wastani kwa Tanzania na baadhi ya nchi zinazotuzunguka ni kama ifuatavyo:
Source: Worldwide mobile data pricing: The cost of 1GB of mobile data in 230 countries
Reference: Worldwide Mobile Data Pricing League | Cost of 1GB in 230 countries - Cable.co.uk
Hivi TCRA wanaweza kutupa sababu za msingi kwanini Tanzania bei ya internet ni kubwa hivi ukilinganisha na jirani zetu kama Rwanda?
Rwanda wamefanya nini ambacho Tanzania hatuwezi? Bei ya internet ni kitu muhimu sana katika mambo ya uchumi, biashara na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Sasa kwa nini serikali ya awamu ya tano isianzie hapa kabla hata ya kukimbilia kwenye miradi ya mabilioni?
NB: Zimbabwe inaongoza duniani kwa bei kubwa ya internet
Hii ni habari kulingana na utafiti na taarifa ifuatayo: Worldwide mobile data pricing: The cost of 1GB of mobile data in 230 countries
MICHANGO YA WADAU:
Source: Worldwide mobile data pricing: The cost of 1GB of mobile data in 230 countries
Reference: Worldwide Mobile Data Pricing League | Cost of 1GB in 230 countries - Cable.co.uk
Hivi TCRA wanaweza kutupa sababu za msingi kwanini Tanzania bei ya internet ni kubwa hivi ukilinganisha na jirani zetu kama Rwanda?
Rwanda wamefanya nini ambacho Tanzania hatuwezi? Bei ya internet ni kitu muhimu sana katika mambo ya uchumi, biashara na maendeleo ya taifa kwa ujumla. Sasa kwa nini serikali ya awamu ya tano isianzie hapa kabla hata ya kukimbilia kwenye miradi ya mabilioni?
NB: Zimbabwe inaongoza duniani kwa bei kubwa ya internet
Hii ni habari kulingana na utafiti na taarifa ifuatayo: Worldwide mobile data pricing: The cost of 1GB of mobile data in 230 countries
MICHANGO YA WADAU:
=======View attachment 1288779
safari com ya kenya 1 ksh=22.63 tsh
View attachment 1288782
Airtel uganda, 1 ush = 0.63 tsh
View attachment 1288780
airtel rwanda, 1rwanda franc = 2.5 tsh
View attachment 1288781
airtel tanzania.
Sasa naomba mniambie methodologies ambazo zimaetumika na hilo shirika kuonyesha Tanzania ina gharama kubwa za matumizi ya internet.
Nimechukua mitandao michache lakini hata tukienda kulinganisha kwa mitandao mingine bado price tz ipo chini.
tatizo kubwa lililopo apa forum mnafarijiana uongo ili mradi uchangie tu mada:hakuna kitu utaniambia skijui katika hii field
infact usishangae tu kwamba wananunua internet bali kuna tozo pia kutumia kitu kinaitwa mkongo wa taifa: LTE cables built across the whole country, it works this way: ukipiga simu a wave is sent to a tower then from the tower its sent underground, it depends sasa hapa some use LTE ila ikishapita hapa kuna ofisi zinaitwa MSC (Mobile Switching center),
sasa hapa ndo mkongo wa taifa unaingilia kati, kwakua hakuna kampuni ya simu imejenga fibre optics kutoka mikoa yote kufika dar ambapo ni control centre ttcl walishafanya hivo kitambo sana na land lines zao za nyuma, wanaingia ubia na hapo wanalipa tozo ingine ya kupiga simu kutumia, we ulikua unadhan ni internet tu wananunua ujue kuanzia leo na access ya kupiga simu wananunua pia,(upuuzi ni watu wanafikiria kwamba things travel over air) ni shida ya kubisha hovyo bila kuelewa mambo
hapo ni upande wa kupiga simu: upande wa internet kuna kampuni ambazo zinahusika na internet kulingana na location uliopo: ukituma post yako ya jamii forum inapita kwenye mtandao wako wa simu alafu inapita kwa muuzaji wake wa internet then inapita under the ocean kukutana na cables zingine chini ya bahari zilizotengenezwa na makampuni mbalimbali mpaka message ifike inapotakiwa kufika na message itarudi tena in form of packets mpaka kwa simu ya mlengwa ama computer ama kifaa chochote kinachotakiwa kupokea hio packet: so mpaka hapa, mitandao ya simu inanunua alafu anaemuuzia mitandao ya simu nae ananunua, alafu tena nae ananunua and the trend goes that way: kelele nyingi mnapiga hapa ila mnaonekana mazuzu tu maaana hamjui mnachoongea
japokua ni mengi sana watanzania hatutaki kujua ila tunataka kukariri maisha na kubaki kuwaambia watoto mimi nlikua nakuaga wa kwanza darasani ilihali unashindwa kujua mitandao ya simu inanunua data