Hivi TBC, huu si uzushi kweli?

Hivi TBC, huu si uzushi kweli?

Nasikiliza TBC kwenye kipindi hiki cha saa tano na nusu (mirindimo) mtangazaji anazungumzia kuundwa kwa jina la TANZANIA ! akisema imetokana na Tanganyika na zanzibar lakini kilichonichefua.. ni pale anaposema herufi mbili za mwisho IA. zinawakilisha jina la mtu aliyebuni jina hilo na Dini yake yaani (Iqbar) (Ahmadiya..) hiyo moja ni Taasisi ya Dini na hilo jina lake..

Kinacholeta ukakasi ni hivi kwenye redio ya Taifa unapotaja taasisi ya dini kuunda jina la Taifa unakuwa umekusudia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio ukweli.

Lilitanhazwa shindano la kubuni jina baada ya muungano.
Baada ya uchambuzi wa walioshiriki wengi ndipo Mhindi/Chotara anaitwa Mohamed Iqbar Dah akashinda na aliitwa Ikulu akapewa cheti na hela.

Ilikua siri kwa kua haikutangazwa nani kashinda lkn Bwana Mohamed Iqbar alipokuja Tanzania miaka ya 90 ndipo akaonyesha cheti alichopewa na akafafanua namna alivyobuni jina hilo!!!
Alisema” I” iliwakilisha jina lake Iqbal na” A” iliwakilisha jina la Mwenyezi Mungu yaan ”Allah” ...Japo ni kweli pia ni Muislam wa dhehebu la Ahmadiya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikiliza TBC kwenye kipindi hiki cha saa tano na nusu (mirindimo) mtangazaji anazungumzia kuundwa kwa jina la TANZANIA ! akisema imetokana na Tanganyika na zanzibar lakini kilichonichefua.. ni pale anaposema herufi mbili za mwisho IA. zinawakilisha jina la mtu aliyebuni jina hilo na Dini yake yaani (Iqbar) (Ahmadiya..) hiyo moja ni Taasisi ya Dini na hilo jina lake..

Kinacholeta ukakasi ni hivi kwenye redio ya Taifa unapotaja taasisi ya dini kuunda jina la Taifa unakuwa umekusudia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa amewahi kuhojiwa mpaka na BBC akidai hivyo. Sasa hiyo ni taarifa TBC wanakupa, hupaswi kubisha nayo unless unayo stori mbadala kuikanusha hiyo. Vinginevyo utakuwa na chuki binafsi unakumbua ! getrusa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikiliza TBC kwenye kipindi hiki cha saa tano na nusu (mirindimo) mtangazaji anazungumzia kuundwa kwa jina la TANZANIA ! akisema imetokana na Tanganyika na zanzibar lakini kilichonichefua.. ni pale anaposema herufi mbili za mwisho IA. zinawakilisha jina la mtu aliyebuni jina hilo na Dini yake yaani (Iqbar) (Ahmadiya..) hiyo moja ni Taasisi ya Dini na hilo jina lake..

Kinacholeta ukakasi ni hivi kwenye redio ya Taifa unapotaja taasisi ya dini kuunda jina la Taifa unakuwa umekusudia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Muheshimiwa hivi karibuni kakabidhiwa bikira maria (sanamu) Ikulu, hii imekaaje !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kedekede kilichonikera ni kutamka taasisi ya Dini kwenye historia ya Nchi.. hata kama mtunzi alikuwa mwanachama wa hiyo jumuiya sidhani kama angetoa hiyo hoja kuwa I A inawakilisha jina lake na taasisi yake ya dini angekubaliwa..
Nchi hii ina madhehebu na Dini nyingi hivi unaona ni sahihi Redio ya Taifa kutangaza hilo?
mwisho nasikia huyo mtunzi wa jina bado yupo kwanini asiulizwe yeye?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unahisi mtangazaji kaingia studio akaanza kuropoka ropoka !?
 
Ukweli ni kuwa katika shindano la kutafuta jina watu 14 walipata jina Tanzania akiwepo Bwana Iqra aliyekuwa akiishi Morogoro,zawadi iligawanywa sawa kwa wote,wengine walipendekeza IA mwishoni kwa sababu ni herufu za mwisho za majina ya nchi nyingi za Kiafrika kama Nigeria,Tunisia,Ethiopia,Algeria n.k,yeye alitoa sababu za jina na dini yake kuwakilisha IA but all in all jina Tanzania ni ubunifu wa zaidi ya watu 10
 
Kilichokuuma ni kuhusishwa kwa imani ambayo si yako..pole

Ugiligili
 
Huyo jamaa amewahi kuhojiwa mpaka na BBC akidai hivyo. Sasa hiyo ni taarifa TBC wanakupa, hupaswi kubisha nayo unless unayo stori mbadala kuikanusha hiyo. Vinginevyo utakuwa na chuki binafsi unakumbua ! getrusa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio chuki binafsi IA ipo kwa maeneo mengi Africa.!! lakini kutangaza Taasisi ya Dini na Jina la mtu kama sehemu ya muundo wa jina la Taifa sidhani kama ni sawa.!
Ingekuwa mtunzi wa hilo jina ndie anaeongea nisingekuwa na shida sabbu bila shaka maswali kadhaa yangemhusu..
lakini huyu Mtangazaji.. kwenye Redio ya Taifa nadhani alikosa kidogo busara ya kiutangazaji..
ukiwa on air unasikiwa na watu wengi sana wenye upeo na uelewa tofauti so ni vema kwake angekuwa makini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama sio kuropoka nadhani kuna tatizo kalitengeneza ama kwa kujua ama kutokujua, ama kwa kukusudia au kuto kukusudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni wewe ! Hiyo stori ipo muda mrefu na huyo mtangazaji ameisoma kama ilivyo. Kilichokukera wewe ndivyo hivyo hivyo kilivyo na hakitabadilika mpaka mtu mwingine aje na stori au madai tofauti.
 
Nijuavyo uenda ikawa hivyo....kwani niliwahi kumsikia sehem akisema kuwa I A lipo ktk nchi nyingi za Africa....kama NigerIA...SomalIA...EthiopIA...LiberIA....hivyo na kwetu baada ya kuungana ndiyo akaongeza hizo.....japo sijajua nn maana ila nchi nyingi afrika zina hayo maneno..

Sent using Jamii Forums mobile app
...IA Alger-IA, AZAN-IA.. Lib-IA (japo tunaiita LIBYA) kila neno huwa na maana yake likidadavuliwa
 
Hiyo stori ndivyo hivyo ilivyo wacha kujilazimisha kuwa mjinga.
Ujinga sio tusi ni hali ya kutokujua jambo.!
.. mimi nazungumza habari za Taifa kama mkusanyiko wa watu wenye dini tofauti itikadi tofauti, ! Makabila tofauti,! ukiwa na hekima huwezi Tangaza ama ongea jambo kama hilo..
ukijua kabisa linaweza kuzusha mijadala itakayokuwa haina afya kwa Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga sio tusi ni hali ya kutokujua jambo.!
.. mimi nazungumza habari za Taifa kama mkusanyiko wa watu wenye dini tofauti itikadi tofauti, ! Makabila tofauti,! ukiwa na hekima huwezi Tangaza ama ongea jambo kama hilo..
ukijua kabisa linaweza kuzusha mijadala itakayokuwa haina afya kwa Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli mjinga ! Hiyo habari ndivyo hivyo ilivyo na huyo Bwana Iqbar alihojiwa mpaka na BBC. Ipo makala imewahi kuandikwa kwenye gazeti na zikachapishwa barua za Waziri husika kumpongeza huyo bwana. Yupo mpaka sasa, na anaishi Uingereza. Watu wa dhehebu la Ahmadiya huwa wanapewa uraia wa UK kiulaini sana. Sasa jua kama hukujua. Usilazimishe kuwekwa kisichokuwepo au kutoa lawama zisizo na msingi.
 
Mkuu kedekede kilichonikera ni kutamka taasisi ya Dini kwenye historia ya Nchi.. hata kama mtunzi alikuwa mwanachama wa hiyo jumuiya sidhani kama angetoa hiyo hoja kuwa I A inawakilisha jina lake na taasisi yake ya dini angekubaliwa..
Nchi hii ina madhehebu na Dini nyingi hivi unaona ni sahihi Redio ya Taifa kutangaza hilo?
mwisho nasikia huyo mtunzi wa jina bado yupo kwanini asiulizwe yeye?

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee no wonder wapigania Uhuru wa hii nchi walio waislam hawatajwi kwenye historia ya nchi hii, Kwaheri ukoloni kwaheri Uhuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sababu ni radio ya taifa basi ni historia ya kweli wale lisikukere
Ukiona vipi chimba vitabu vya historia ndipo utajua.
Labda hicho kikao cha kujadili jina walifahamu mchango mkubwa waliotoa waislamu na taasisi zao kupigania uhuru ndipo wakatoa hiyo kama heshima kwao
Hii yote ni kwa sababu wakristo walikuwa nyuma kwenye kupigania uhuru.
Wao na gvt ya kikoloni walikuwa damdam.
HONGERA TBC KWA KULITAMBUA HILO

Sent using Jamii Forums mobile app
Aise we jamaa mkweli hadi nimegopa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe kweli mjinga ! Hiyo habari ndivyo hivyo ilivyo na huyo Bwana Iqbar alihojiwa mpaka na BBC. Ipo makala imewahi kuandikwa kwenye gazeti na zikachapishwa barua za Waziri husika kumpongeza huyo bwana. Yupo mpaka sasa, na anaishi Uingereza. Watu wa dhehebu la Ahmadiya huwa wanapewa uraia wa UK kiulaini sana. Sasa jua kama hukujua. Usilazimishe kuwekwa kisichokuwepo au kutoa lawama zisizo na msingi.
Una uwezo mkubwa sana ndani ya ubongo wako wa kuita wengine wajinga.. yamkini ndivyo ulivyofunzwa na walezi ama wazazi wako.
sbbu mwana umleavyo ndivyo akuavyo.!
sikulaumu sabbu sijui umri wako..
nimesema hoja yangu ni Mtangazaji wa redio kuitangaza hiyo habari kwenye redio ya Taifa..
kwenye sikukuu ya miaka 50 ya Muungano hata Mheshimiwa Rais wakati huo Jakaya kikwete alieleza asili ya jina Tanzania.. yeye hakueleza hiyo habari ya "Iqbal" na "Ahmadiya". alisema mtunzi alitumia experience yake kwa Nchi nyingine zenye muishio wa IA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom