Hivi TBC, huu si uzushi kweli?

Hivi TBC, huu si uzushi kweli?

Una uwezo mkubwa sana ndani ya ubongo wako wa kuita wengine wajinga.. yamkini ndivyo ulivyofunzwa na walezi ama wazazi wako.
sbbu mwana umleavyo ndivyo akuavyo.!
sikulaumu sabbu sijui umri wako..
nimesema hoja yangu ni Mtangazaji wa redio kuitangaza hiyo habari kwenye redio ya Taifa..
kwenye sikukuu ya miaka 50 ya Muungano hata Mheshimiwa Rais wakati huo Jakaya kikwete alieleza asili ya jina Tanzania.. yeye hakueleza hiyo habari ya "Iqbal" na "Ahmadiya". alisema mtunzi alitumia experience yake kwa Nchi nyingine zenye muishio wa IA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe unalaumu nini kama unayo habari tofati na hiyo ! Kwa nini ukerekwe na uhahmadiya wake !? Huna lolote zaidi ya udini !
 
Nijuavyo uenda ikawa hivyo....kwani niliwahi kumsikia sehem akisema kuwa I A lipo ktk nchi nyingi za Africa....kama NigerIA...SomalIA...EthiopIA...LiberIA....hivyo na kwetu baada ya kuungana ndiyo akaongeza hizo.....japo sijajua nn maana ila nchi nyingi afrika zina hayo maneno..

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio "maneno" sema "kiambishi"
 
Sasa wewe unalaumu nini kama unayo habari tofati na hiyo ! Kwa nini ukerekwe na uhahmadiya wake !? Huna lolote zaidi ya udini !
Ukizoe sana kusoma habari za udaku.. na ukiwa mshabiki mkubwa wa post za mange kimambi.. matokeo yake huwa bayana.!!
kama hujaelewa post yangu nikusaidie kidogo..

Yamkini kukawa na ukweli kuwa Iqbal inaanza na Herufi I na hata Ahamadiya inaanza na Herufi A. ambayo mhusika alikuwa mfuasi wake...
lakini pia IA inaweza kuwa na mwanzo wa Majina ama maneno mengine yaliyo na maana iliyo jificha..

Hoja yangu ipo katika "Redio ya Taifa" TBC na kuwa habari zinazotoka katika redio hii huchukuliwa kwa makini zaidi ikiwa na maana kuwa ni chombo cha Umma sio binafsi..

Sasa kama Rais wa Nchi akihutubia Watanzania alisema mtunzi wa Jina hili aliamua kutumia herufi za mwisho kwa jina TANZANIA ili liendane na majina ya nchi nyingi zikiishia hivyo..

Kisha mtangazaji wa Redio ya Taifa akatangaza kuwa Herufi hizo zimeficha "jina" la mhusika na "ufuasi" wake katika dhehebu lake..
je kipi ni Sahihi? Kwanini muandishi hakuenda sambamba na hotuba ya Rais?
Je rais alikuwa muongo aliwadanganya Watanzania hali akijua ukweli?
au Mtangazaji anajua ukweli ila alimficha Rais?
je zipi ni athari za matangazo haya kwa Taifa letu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tbccm bado unaiskiza?
Kweli wewe mhenga,Hiyo inaskizwa na akina Ngosha huko Shinyanga na Tabora
 
Ukizoe sana kusoma habari za udaku.. na ukiwa mshabiki mkubwa wa post za mange kimambi.. matokeo yake huwa bayana.!!
kama hujaelewa post yangu nikusaidie kidogo..

Yamkini kukawa na ukweli kuwa Iqbal inaanza na Herufi I na hata Ahamadiya inaanza na Herufi A. ambayo mhusika alikuwa mfuasi wake...
lakini pia IA inaweza kuwa na mwanzo wa Majina ama maneno mengine yaliyo na maana iliyo jificha..

Hoja yangu ipo katika "Redio ya Taifa" TBC na kuwa habari zinazotoka katika redio hii huchukuliwa kwa makini zaidi ikiwa na maana kuwa ni chombo cha Umma sio binafsi..

Sasa kama Rais wa Nchi akihutubia Watanzania alisema mtunzi wa Jina hili aliamua kutumia herufi za mwisho kwa jina TANZANIA ili liendane na majina ya nchi nyingi zikiishia hivyo..

Kisha mtangazaji wa Redio ya Taifa akatangaza kuwa Herufi hizo zimeficha "jina" la mhusika na "ufuasi" wake katika dhehebu lake..
je kipi ni Sahihi? Kwanini muandishi hakuenda sambamba na hotuba ya Rais?
Je rais alikuwa muongo aliwadanganya Watanzania hali akijua ukweli?
au Mtangazaji anajua ukweli ila alimficha Rais?
je zipi ni athari za matangazo haya kwa Taifa letu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaandika ujinga tuu ! Yupo mtu (Iqbar) na alitoa barua aliyoandikiwa na (serikali ya Tanganyika) baada ya kushinda shindano la ubunifu, Kawawa (kama sijasahau) alimpongeza kwa ubunifu wake na alilipwa na serikali. Maelezo yake ni kama alivyoeleza mtangazaji wa TBC. Sasa kinachokusumbua ni nini !? Hivi unafikiri huyo mtangazaji amebuni porojo zake !? Mbona upo hivyo !?
Hiyo
 
Unaandika ujinga tuu ! Yupo mtu (Iqbar) na alitoa barua aliyoandikiwa na (serikali ya Tanganyika) baada ya kushinda shindano la ubunifu, Kawawa (kama sijasahau) alimpongeza kwa ubunifu wake na alilipwa na serikali. Maelezo yake ni kama alivyoeleza mtangazaji wa TBC. Sasa kinachokusumbua ni nini !? Hivi unafikiri huyo mtangazaji amebuni porojo zake !? Mbona upo hivyo !?
Hiyo
Daah..! Mimi na wewe tuishie hapa nahisi uvumilivu unanishinda nisije nikakutamkia neno ambalo baadae dhamira yangu itanitesa daima.
Nadhani mtazamo wako na wangu hauendani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tbccm bado unaiskiza?
Kweli wewe mhenga,Hiyo inaskizwa na akina Ngosha huko Shinyanga na Tabora
Mkuu pamoja na uwingi wa Redio zilizopo bado Tbc wana vipindi vilivyo bora na watangazaji makini.. ndio maana nimeshangazwa na hili.
lakini pia bado sijaacha kuwa Mtanzania.. na TBC inanipa vipindi bora
huwa nikisikiliza inanikumbusha mbali sana.
Mfano jingle yao ya kipindi cha michezo bado ni ileile tangu nikiwa mdogo sana nikiisikia huwa nakumbuka mengi mno.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah..! Mimi na wewe tuishie hapa nahisi uvumilivu unanishinda nisije nikakutamkia neno ambalo baadae dhamira yangu itanitesa daima.
Nadhani mtazamo wako na wangu hauendani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uamuzi mzuri,.maana sikuelewi ubishane na stori ambayo ipo na imeripotiwa na vyombo vya habari, (gazeti la Rai) na kama BBC, leo wa TBC umuone anaongea porojo zake.
 
Uamuzi mzuri,.maana sikuelewi ubishane na stori ambayo ipo na imeripotiwa na vyombo vya habari, (gazeti la Rai) na kama BBC, leo wa TBC umuone anaongea porojo zake.
Ungeweka huo ushahidi wako hapa nisingekuwa na shaka.
sikatai kuwa aliebuni jina la Tanzania ni yeye. Ninacho kataa ni maana iliyofichwa katika herufi zile mbili..
kama una ushahidi wa BBC akieleza kuhusu zile herufi mbili za mwisho ni jina lake nitakubaliana nawe naamini bado hicho kipande cha gazeti la Rai unacho kilichomnukuu akisema kuhusu hizo herufi Mbili IA ukitupia hapa nitakubaliana nawe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeweka huo ushahidi wako hapa nisingekuwa na shaka.
sikatai kuwa aliebuni jina la Tanzania ni yeye. Ninacho kataa ni maana iliyofichwa katika herufi zile mbili..
kama una ushahidi wa BBC akieleza kuhusu zile herufi mbili za mwisho ni jina lake nitakubaliana nawe naamini bado hicho kipande cha gazeti la Rai unacho kilichomnukuu akisema kuhusu hizo herufi Mbili IA ukitupia hapa nitakubaliana nawe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuko mahakamani, kuwa na uelewa na akili yako iweke huru toka ubinafsi na choyo. Hayo ya i na a ni madai ya mbunifu. Si yangu wala TBC wala BBC !
 
Hatuko mahakamani, kuwa na uelewa na akili yako iweke huru toka ubinafsi na choyo. Hayo ya i na a ni madai ya mbunifu. Si yangu wala TBC wala BBC !
Nadhani una tatizo mahali fulani.. kwenye ubongo wako. Japo sina hakika katika hilo..
"choyo" na "ubinafsi" wangu ni upi?
umesema mtunzi alihojiwa na vyombo vya habari kuhusu Utunzi wa jina Tanzania nakubaliana nawe sina shaka katika hilo kuwa mtunzi ni Iqbal..
ninachotaka unithibitishie ni ikiwa Bwana Iqbal alinukuliwa akisema Herufi mbili za mwisho zinabeba jina lake na Jumuiya yake ya kidini.

Kama kuna mahali wamemnukuu akijinasibu hivyo mimi nitakuwa sina shaka mimi siwezi pingana na maneno yake. Kama upo uthibitisho kuwa ni kweli hiyo ndio maana aliyo ikusidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani una tatizo mahali fulani.. kwenye ubongo wako. Japo sina hakika katika hilo..
"choyo" na "ubinafsi" wangu ni upi?
umesema mtunzi alihojiwa na vyombo vya habari kuhusu Utunzi wa jina Tanzania nakubaliana nawe sina shaka katika hilo kuwa mtunzi ni Iqbal..
ninachotaka unithibitishie ni ikiwa Bwana Iqbal alinukuliwa akisema Herufi mbili za mwisho zinabeba jina lake na Jumuiya yake ya kidini.

Kama kuna mahali wamemnukuu akijinasibu hivyo mimi nitakuwa sina shaka mimi siwezi pingana na maneno yake. Kama upo uthibitisho kuwa ni kweli hiyo ndio maana aliyo ikusidia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikuthibitishie ili iweje !? Wewe ndo una matatizo ! Habari yote umeisikia kwa mtangazaji wa TBC kama alivyoiripoti kuhusu hizo herufi i na a. Na nakujulisha kuwa hiyo si habari mpya, kwani imewahi kuripotiwa na vyombo vingine 'exactly' kama mtangazaji wa TBC alivyoripoti. Sasa mbona unafanya kesi, wakati umesikia kwa masikio yako na kuona kwa macho yako TBC !
Mimi hilo jambo halinipunguzii wala kuniongezea. Na ninachojaribu kukuonyesha ni kuwa hii habari ipo, na imewahi kuripotiwa kabla ya TBC kama ulivyo isikia. Hutaki....hiyo ni shida yako !
 
Nikuthibitishie ili iweje !? Wewe ndo una matatizo ! Habari yote umeisikia kwa mtangazaji wa TBC kama alivyoiripoti kuhusu hizo herufi i na a. Na nakujulisha kuwa hiyo si habari mpya, kwani imewahi kuripotiwa na vyombo vingine 'exactly' kama mtangazaji wa TBC alivyoripoti. Sasa mbona unafanya kesi, wakati umesikia kwa masikio yako na kuona kwa macho yako TBC !
Mimi hilo jambo halinipunguzii wala kuniongezea. Na ninachojaribu kukuonyesha ni kuwa hii habari ipo, na imewahi kuripotiwa kabla ya TBC kama ulivyo isikia. Hutaki....hiyo ni shida yako !
Teh teh teh teh teh teh...!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom