Hivi TBC, huu si uzushi kweli?

Hivi TBC, huu si uzushi kweli?

Nasikiliza TBC kwenye kipindi hiki cha saa tano na nusu (mirindimo) mtangazaji anazungumzia kuundwa kwa jina la TANZANIA ! akisema imetokana na Tanganyika na zanzibar lakini kilichonichefua.. ni pale anaposema herufi mbili za mwisho IA. zinawakilisha jina la mtu aliyebuni jina hilo na Dini yake yaani (Iqbar) (Ahmadiya..) hiyo moja ni Taasisi ya Dini na hilo jina lake..

Kinacholeta ukakasi ni hivi kwenye redio ya Taifa unapotaja taasisi ya dini kuunda jina la Taifa unakuwa umekusudia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mie shule sikufundishwa hivyo au wewe ulisomea malawi?
 
Nasikiliza TBC kwenye kipindi hiki cha saa tano na nusu (mirindimo) mtangazaji anazungumzia kuundwa kwa jina la TANZANIA ! akisema imetokana na Tanganyika na zanzibar lakini kilichonichefua.. ni pale anaposema herufi mbili za mwisho IA. zinawakilisha jina la mtu aliyebuni jina hilo na Dini yake yaani (Iqbar) (Ahmadiya..) hiyo moja ni Taasisi ya Dini na hilo jina lake..

Kinacholeta ukakasi ni hivi kwenye redio ya Taifa unapotaja taasisi ya dini kuunda jina la Taifa unakuwa umekusudia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana kwa kupata ujasiri wa kusikiliza hiyo redio , una moyo wa chuma !
 
Dah! Kweli tumetofautiana. Yaani wa makero yoooote haya yanayoambatana na hii awamu ya kodi na tinted hukupata kitu cha kukukera mpaka uakkitafute TBC?

Na yalikusibu yapi mwanaume ukasikilize taarabu? ungekuwa unakaa Kimara ungejua yepi ni makero haap duniani...we endelea na taarab.
 
Nasikiliza TBC kwenye kipindi hiki cha saa tano na nusu (mirindimo) mtangazaji anazungumzia kuundwa kwa jina la TANZANIA ! akisema imetokana na Tanganyika na zanzibar lakini kilichonichefua.. ni pale anaposema herufi mbili za mwisho IA. zinawakilisha jina la mtu aliyebuni jina hilo na Dini yake yaani (Iqbar) (Ahmadiya..) hiyo moja ni Taasisi ya Dini na hilo jina lake..

Kinacholeta ukakasi ni hivi kwenye redio ya Taifa unapotaja taasisi ya dini kuunda jina la Taifa unakuwa umekusudia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app

TanzanIA
IndIA
AustrIA
NigerIA
RussIA
AustralIA
Umepata idea hio IA ni nini?
 
Nasikiliza TBC kwenye kipindi hiki cha saa tano na nusu (mirindimo) mtangazaji anazungumzia kuundwa kwa jina la TANZANIA ! akisema imetokana na Tanganyika na zanzibar lakini kilichonichefua.. ni pale anaposema herufi mbili za mwisho IA. zinawakilisha jina la mtu aliyebuni jina hilo na Dini yake yaani (Iqbar) (Ahmadiya..) hiyo moja ni Taasisi ya Dini na hilo jina lake..

Kinacholeta ukakasi ni hivi kwenye redio ya Taifa unapotaja taasisi ya dini kuunda jina la Taifa unakuwa umekusudia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hutaki unaacha..ubaguzi peleka kwenu
 
Nasikiliza TBC kwenye kipindi hiki cha saa tano na nusu (mirindimo) mtangazaji anazungumzia kuundwa kwa jina la TANZANIA ! akisema imetokana na Tanganyika na zanzibar lakini kilichonichefua.. ni pale anaposema herufi mbili za mwisho IA. zinawakilisha jina la mtu aliyebuni jina hilo na Dini yake yaani (Iqbar) (Ahmadiya..) hiyo moja ni Taasisi ya Dini na hilo jina lake..

Kinacholeta ukakasi ni hivi kwenye redio ya Taifa unapotaja taasisi ya dini kuunda jina la Taifa unakuwa umekusudia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_2017-08-25-18-03-32.png
    Screenshot_2017-08-25-18-03-32.png
    26.7 KB · Views: 26
Hapana anadanganya maana taarifa nilizo nazo kutoka wahenga ni kwamba baada ya kuchukua TAN kutoka Tanganyika na kuongezapo ZAN kutoka Zanzibar na tayari wakawa wamepata TANZAN walikaa wakatulia wakaona lengo ni kupata TANZAN yenye NIA moja, sasa wakataka kuwekapo ile NIA na kwa bahati mbaya ama nzuri kukawepo na N tayari iliyo chotwa Zanzibari ikabidi N waitupilie mbali wawekepo IA pekee ili kukamilisha TAN na ZAN zenye (N)IA moja ndo ikawa imezaliwa TANZANIA yaani Tanganyika na zanzibari zenye nia moja.

Huyo mtangazaji ni mchochezi akapimwe mkojo na kukaguliwa ndani mwake maana jina la taifa haliundwi na mtu mmoja au wawili bali ni kamati za uongozi wa pande zote mbili kupitia mjadala na baada ya maazimio ndo umma unapewa taarifa za mabadiliko ya nchi zao kupitia kitengo husika kiutawala.

Hyo ya mtangazaji nmeiruka .
Umemeki sensi....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa vile ni TBC wasamehe bure. Wanastahili kupimwa mkojo. Tena sio mara moja wamesema vitu vya ajabu - mwaka huu huu wamepewa adhabu na serikali kwa kusema maneno ya uongo na kusema ni rais wa Marekani aliyasema hayo maneno. Jina la kuunganisha Tanganyika na Zanzibzr lilikuwa TANZAN. Lakini kwa vile katika lugha ya Kiswahili hakuna jina au herufi ambalo haliishii na moja kati ya herufi a, e, i, o, u, ikawa lazima hilo neno liongezwe moja au baadhi ya herufi hizi. Katika kutamka jina Tanzania likawa ni rahisi na tamu zaidi masikioni likiwa linatamkwa Tanzania badala ya Tanzana au Tanzane au Tanzani au Tanzano au Tanzanu. Jina lingebaki Tanzan ingekuwa shida kwa Watanzania wengi kulitamka. Mifano ya maneno ambayo asili yake ni ya maneno ya kigeni lakini yanaongezewa herufi katika kuyatamka ni Prep (kiingereza), kwa Kiswahili inatamkwa prepo. Mock (kiingereza) kwa Kiswahili inatamkwa moko. Mifano mingine ni organization linalotamkwa organaizesheni n.k.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kua kiswahili ni mchanganyiko wa lugha kadhaa ikiwepo kiarabu bas kubaliana nami katika katika uchambuz huu mdogo kwa kua ni emperical, kiambishi tamati 'iya' (kwa kiarabu) au 'ia'(linavyotamkwa kwa kiswahili ) inamaana "wafuas wa" au "wakazi wa" au wanaotokana na" n.k yaan kiambishi hicho tamati kwa lugha ya kiarabu kinanasibisha /husuanisisha /kitu/vitu, mtu/watu, mahali n.k na kilichitajawa hapo nyuma na neno hilo linaloishilia na kiambishi 'iya' au 'ia'. Mifano ni kama ifuatayo

1. Ahmad ni jina la mtu, linapoongezwa neno 'iya' yaan 'ia' kua ahmadiya maanake ni kua huyo ni mfuasi wa ahmad, mfano Juma ni ahmadiyya

2. Saudi ni jina la mtu, Saudia maanake ni wafuasi wa saudi, kwa nchi ya saudia neno linatokana na mfalme alietwa saudi kwa hiyo vizazi vyake na wanaoishi alipoisho yeye ndo maana paitwa saudiya

3. Africa, ukisema afrikiya maanake anaetoka sehem inyoitwa africa n.k

Mifano ipo mingi sana ya kuweka hapa lkn kiujumla kiambishi ''iya'' yaani 'ia' kinanasibisha/kuhusianisha kilichotajwa na neno lenye kiambishi hicho tamati "ia"

Turudi katika neno Tanzania
Hapa kuna maneno matatu yaliungana mawili (yaan ya mwanzo) kati ya hayo yamepunguzwa baadhi ya herufi;

Tanganyika = Tan
Zanzibar = Zan
Iya = ndo kile kiambish tamati ''ia"

Kwa hiyo basi Tan+Zan+ia=Tanzania

Kwa kuzingatia maana ya kiambushi tamati "iya" yaani "ia" Tanzania maanaake ni mahali panapotokana na sehem mbili (majina mawili ambayo ni tanganyika na zanzibar)

Mizani iliyitumika ktk jina Tanzania ndio hiyo hiyo hiyo iliyotumika ktk najina nchi kama Somalia, Namibia, Tunisia, Albania, Indonesia, Hispania, Italia, Mongolia, Naigeria etc

"Battle with your situation"


et al
 
Nasikiliza TBC kwenye kipindi hiki cha saa tano na nusu (mirindimo) mtangazaji anazungumzia kuundwa kwa jina la TANZANIA ! akisema imetokana na Tanganyika na zanzibar lakini kilichonichefua.. ni pale anaposema herufi mbili za mwisho IA. zinawakilisha jina la mtu aliyebuni jina hilo na Dini yake yaani (Iqbar) (Ahmadiya..) hiyo moja ni Taasisi ya Dini na hilo jina lake..

Kinacholeta ukakasi ni hivi kwenye redio ya Taifa unapotaja taasisi ya dini kuunda jina la Taifa unakuwa umekusudia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
kwani yule mzee iqbal si aliwahi hojiwa tafuta mahojiano yake utaujua ukweli SITAKI KUPIMWA MAFUA MIYE
 
Kwa kua kiswahili ni mchanganyiko wa lugha kadhaa ikiwepo kiarabu bas kubaliana nami katika katika uchambuz huu mdogo kwa kua ni emperical, kiambishi tamati 'iya' (kwa kiarabu) au 'ia'(linavyotamkwa kwa kiswahili ) inamaana "wafuas wa" au "wakazi wa" au wanaotokana na" n.k yaan kiambishi hicho tamati kwa lugha ya kiarabu kinanasibisha /husuanisisha /kitu/vitu, mtu/watu, mahali n.k na kilichitajawa hapo nyuma na neno hilo linaloishilia na kiambishi 'iya' au 'ia'. Mifano ni kama ifuatayo

1. Ahmad ni jina la mtu, linapoongezwa neno 'iya' yaan 'ia' kua ahmadiya maanake ni kua huyo ni mfuasi wa ahmad, mfano Juma ni ahmadiyya

2. Saudi ni jina la mtu, Saudia maanake ni wafuasi wa saudi, kwa nchi ya saudia neno linatokana na mfalme alietwa saudi kwa hiyo vizazi vyake na wanaoishi alipoisho yeye ndo maana paitwa saudiya

3. Africa, ukisema afrikiya maanake anaetoka sehem inyoitwa africa n.k

Mifano ipo mingi sana ya kuweka hapa lkn kiujumla kiambishi ''iya'' yaani 'ia' kinanasibisha/kuhusianisha kilichotajwa na neno lenye kiambishi hicho tamati "ia"

Turudi katika neno Tanzania
Hapa kuna maneno matatu yaliungana mawili (yaan ya mwanzo) kati ya hayo yamepunguzwa baadhi ya herufi;

Tanganyika = Tan
Zanzibar = Zan
Iya = ndo kile kiambish tamati ''ia"

Kwa hiyo basi Tan+Zan+ia=Tanzania

Kwa kuzingatia maana ya kiambushi tamati "iya" yaani "ia" Tanzania maanaake ni mahali panapotokana na sehem mbili (majina mawili ambayo ni tanzania na zanzibar)

"Battle with your situation"


et al
Watu wote humu ndani wangekuwa kama wewe Nchi hii ingekuwa mbali sana.! Ahsante mkuu.. wapeni hizo nondo baadhi ya watangazaji makanjanja wanaopotosha jamii yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi bado TBC TV wanaendeleaga kurusha harusi live bila chenga mpaka leo?
 
Hao TBC akili zao zinawatosha wenyewe ndio maana hata sura zao ukiwaona wana mawenge mawenge muda wote kama wanaoga nje.
 
Huyo mtangazaji angeli mfahamu mwl na chuki yake ya dini wala asingeli thubutu kutamka neno ovyo kama hilo. Leo angelala ndani tena bila nguo.
Nyerere hakustahi upuuzi wowowte wa kidini hata dini yake japo wengi wanamwona aliwapenda zaidi.
Ubunifu huo haukuwa na dini yeyote ila NIA moja tu. Kuwa pamoja kwa Tanganyika na Zanziba, wakawa na NIA moja.
Sio vinginevyo. Tatizo ni wazee waliokuwepo enzi zile were so pre-occupied to learn from Mwl kiasi hawakumbuki chanzo cha Mwl kulikubali hilo jina.
Njooni wazee muwafundishe historia wajukuu zenu humu. Angalia, japo wazee wengi walikuwa wanaisikiliza hiyo radio yao, hakuna aliyejitokeza kumpinga huyo mtoto maamuma. Tunakwenda wapi??
 
Back
Top Bottom