Ufisadiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Majuzi nilikuwa Angola baada ya CAN, wakaniuliza, hivi Tanzania favourite sport yenu ni nini? Nikashindwa kujibu. Ila kwa kuwa ni mwanaume nikajibu "lakini tunapenda mpira wa miguu"
Wakaniuliza tena, mbona hatukuwaona CAN?. Nusu niwaambie, tunacheza sana bao.
Sasa mnisaidie ninyi wenzangu, hivi favourite sport yetu ni nini?
Kichwat,I've been around Africa, and I have contacts abroad, and I read alot on the web. I can say Tanzanians ni wazuri kwa NGONO. Fuatilia sehemu mbalimbali Afrika, Ulaya, Amerika, Asia na mahali kwingine duniani utagundua jinsi akina dada zetu wa Kitanzania wanavyosifika na kujishughulisha zaidi around NGONO na mambo na mazao yanayoendana nayo. Laba ndio jambo ambalo tumebarikiwa zaidi kwenye sayari hii.
Louis, Dar
Baada ya swali lao, jibu lako lilipaswa kuwa "tulitolewa katika hatua ya makundi" kwakuwa sio timu za Africa nzima zilifuzu.Majuzi nilikuwa Angola baada ya CAN, wakaniuliza, hivi Tanzania favourite sport yenu ni nini? Nikashindwa kujibu. Ila kwa kuwa ni mwanaume nikajibu "lakini tunapenda mpira wa miguu"
Wakaniuliza tena, mbona hatukuwaona CAN?. Nusu niwaambie, tunacheza sana bao.
Sasa mnisaidie ninyi wenzangu, hivi favourite sport yetu ni nini?
...Hii kali,Baada ya swali lao, jibu lako lilipaswa kuwa "tulitolewa katika hatua ya makundi" kwakuwa sio timu za Africa nzima zilifuzu.
Na kuhusu swali lako kwamba favourite sport yetu ninini hapa pia jibu ni rahisi, kwamba ni futbol ila mara nyingi maandalizi yetu ya timu ya taifa yamekaa kimzaha mzaha hivi na hata wachezaji bado hatujawa na wachezaji wengi ambao ni proffessionals ambao ndio huzifanya timu zote za mataifa ya dunia kuwa na kiwangao bora kwa mashindano ya kimataifa.
Naamini pamoja na ubovu tulionao ungeongeza uzalendo kidogo ingesaidia kujenga image ya utaifa ulionao kwa nchi yako. Baba yako hawezi kusemwa vibaya na watu wanaokuheshimu mbele yako na wakategemea kwamba utawakalia kimya.
So cute!kutongoza kinadada!
...soka bila matokeo mazuri ni soka gani hilo? Kumbuka walipouliza hivi walikuwa informed pia, kwani hata yale mashindano yaliyopita ya Ghana hawakutuona pia!Ningekuwa mi ningewajibu kuwa tunapenda sana soccer na suala la kutoenda Angola ni sawa tu na vile kwanini wao hawataenda South Africa from june 11 to July 11.
Mkuu asante kwa ujasiri wako, maana yake watu wamezunguukaaaa - wanaogopa kukataja ka mchezo ketu tunakokapenda.Ni kale kamchezo kasikohitaji kuvaa jezi
Mkuu asante kwa ujasiri wako, maana yake watu wamezunguukaaaa - wanaogopa kukataja ka mchezo ketu tunakokapenda.
Mkuu asante kwa ujasiri wako, maana yake watu wamezunguukaaaa - wanaogopa kukataja ka mchezo ketu tunakokapenda.