Poleni na mvua jomo kenyata AirportHivi ilitokeaje Tanzania ifanye ikulu karibu na bahari, mliskia au kuona wapi kitu kama hicho.
Acha basiiii 😂😂😂Jeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani, tunakosaje Submarine mkuu au unataka wakuonyeshe ilipo?
Idd AminUnashindwa kuwaza tunapataje umeme wa uhakika huduma za afya nzuri na akuboresha maisha unawaza kuvamiwa. nan atuvamie naumaskini huuu?
Hadi wewe?Hatuwezi kuvamiwa kwakuwa sisi sio wabishi wa kutoa vyetu.. Tunagawa tu kwa raha zetu sasa watuvamie ili iweje...
Yaani hatuwezi hata kuambiwa MIKONO JUU
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaNa magogoni kulivyo karibu na bahari adi raha yani watu wanakuja wanamchukua mtu wao aoooooo
Pale ndio pazuri ndio maana pale jirani kukawekwa ulinzi kamili wa bahari rada ya adhini na nchi kavu.Hivi ilitokeaje Tanzania ifanye ikulu karibu na bahari, mliskia au kuona wapi kitu kama hicho.
KaushaJeshi letu ni la 6 kwa ubora duniani, tunakosaje Submarine mkuu au unataka wakuonyeshe ilipo?