Hivi Tanzania kuna taasisi inayojishighurisja na haki za wanyama? Kama ipo mnijuze kabla sijafanya ukatili mbaya

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
57,662
96,930
Nyumbani kwangu kuna paka alijileta akapazoea wife akaniambia muache apambane na panya, binafsi siwapendi kabisa paka nimekulia uswahilini nawajuwa ni antena za wachawi.

Huyu paka hana mpango kabisa na panya na ukimpa chakula hakina nyama hali, yeye anataka nyama na samaki na dagaa tu.

Sasa imekuwa kero nyumbani amezidi wizi mkiweka nyama au samaki huyu ni kama chui anweza kupanda popote na hivyo vitu mkileta ndani anajuwa viko wapi ana uwezo mkubwa sana wa kunusa.

Nimevilia sasa nimechoka vituko vyake najuws muda wake asubuhi huwa analala usingizi mzito, sasa nimepanga kumlia timing nimtandike risasi za kutosha maana ndio njia rahisi kwangu kumalizana naye.

Kabla sijatekeleza ukatili huu, kama hapa JF kuna mtu anahusika au amawajuwa wanaohusika na haki za wanyama anijuze niwasiliane nao ili wamnusuru na ukatili ambao nakwenda kuufanya, nimechoka kwakweli na vituko na wizi wake.

Nawasilisha.
 
Ya nn uharibu risasi katili mwenzako nipo hapa huyo mwekee samaki kwenye kiroba harafu kiroba kiweke kimetego akiingia tu funga kiroba ongeza na kiroba kingine juu weka na jiwe harafu tia kwenye buti la gari ukifika sehem kuna mto tupa kiroba humo kwisha habari ...mnyama gani huyo anakua rafiki wa mchawi harafu mm nikomae nae home😎
 
Nyumbani kwangu kuna paka alujeta akapazoea wife akaniambia muache apane na panya, binafsi siwapendi kabisa paka nimekulia uswahilini nawajuwa ni antena za wachawi.

Huyu paka hama mpango kabisa na panya na ukimpa chakula hakina nyama hali, yeye anataka nyama na samaki na dagaa tu.

Sasa imekuwa kero nyumbani amezidi wizi mkiweka nyama au samaki huyu ni kama chui anweza kupanda popote na hivyo vitu mkileta ndani anajuwa viko wapi ana uwezo mkubwa sana wa kunusa.

Nimevilia sasa nimechoka vituko vyake najuws muda wake asubuhi huwa analala usingizi mzito, sasa nimepanga kumlia timing nimtandike risasi za kutosha maana ndio njia rahisi kwangu kumalizana naye.

Kabla sijatekeleza ukatili huu, kama hapa JF kuna mtu anahusika au amawajuwa wanaohusika na haki za wanyama anijuze niwasiliane nao ili wamnusuru na ukatili ambao nakwenda kuufanya, nimechoka kwakweli na vituko na wizi wake.

Nawasilisha.

Huna bunduki wala Bastola dogo. Wenye Bunduki au Bastola wala husikii wakijinadi "NIMTANDIKE RISASI" Huwakuti hata wakionesha Bastola hovyo. Au kujinadi. Wewe unataka mpiga mawe huyo paka na ni sababu ya umaskini na imani zako potofu
 
Ya nn uharibu risasi katili mwenzako nipo hapa huyo mwekee samaki kwenye kiroba harafu kiroba kiweke kimetego akiingia tu funga kiroba ongeza na kiroba kingine juu weka na jiwe harafu tia kwenye buti la gari ukifika sehem kuna mto tupa kiroba humo kwisha habari ...mnyama gani huyo anakua rafiki wa mchawi harafu mm nikomae nae home😎
Yani sometime sipendi kubishana na kina mama, nina kibali cha kunuwa risasi 500 kwa mwaka, nisipopata watu husika huyu namnyoosha kwa bullet.
 
Ya nn uharibu risasi katili mwenzako nipo hapa huyo mwekee samaki kwenye kiroba harafu kiroba kiweke kimetego akiingia tu funga kiroba ongeza na kiroba kingine juu weka na jiwe harafu tia kwenye buti la gari ukifika sehem kuna mto tupa kiroba humo kwisha habari ...mnyama gani huyo anakua rafiki wa mchawi harafu mm nikomae nae home😎
Umaskini ni mbaya sana. Unaua mnyama kikatili kisa anakula nyama, dagaa na tusamaki twako. Muache naye ale maisha mkuu.
 
Sijakulia mazingira ya kuishi na paka jamani Mimi namwogopa, siwezi kaa nyumba ya paka, Bora ukamtupilie mbali ila usimuue.
 
Nyumbani kwangu kuna paka alijileta akapazoea wife akaniambia muache apambane na panya, binafsi siwapendi kabisa paka nimekulia uswahilini nawajuwa ni antena za wachawi.

Huyu paka hana mpango kabisa na panya na ukimpa chakula hakina nyama hali, yeye anataka nyama na samaki na dagaa tu.

Sasa imekuwa kero nyumbani amezidi wizi mkiweka nyama au samaki huyu ni kama chui anweza kupanda popote na hivyo vitu mkileta ndani anajuwa viko wapi ana uwezo mkubwa sana wa kunusa.

Nimevilia sasa nimechoka vituko vyake najuws muda wake asubuhi huwa analala usingizi mzito, sasa nimepanga kumlia timing nimtandike risasi za kutosha maana ndio njia rahisi kwangu kumalizana naye.

Kabla sijatekeleza ukatili huu, kama hapa JF kuna mtu anahusika au amawajuwa wanaohusika na haki za wanyama anijuze niwasiliane nao ili wamnusuru na ukatili ambao nakwenda kuufanya, nimechoka kwakweli na vituko na wizi wake.

Nawasilisha.
Mtie kwenye boksi, mpeleke Mbali kabisa. Nilimtoa paka Bahari Beach nikaenda kumbwaga Tanganyika Parkers akale upako
 
Nyumbani kwangu kuna paka alijileta akapazoea wife akaniambia muache apambane na panya, binafsi siwapendi kabisa paka nimekulia uswahilini nawajuwa ni antena za wachawi.

Huyu paka hana mpango kabisa na panya na ukimpa chakula hakina nyama hali, yeye anataka nyama na samaki na dagaa tu.

Sasa imekuwa kero nyumbani amezidi wizi mkiweka nyama au samaki huyu ni kama chui anweza kupanda popote na hivyo vitu mkileta ndani anajuwa viko wapi ana uwezo mkubwa sana wa kunusa.

Nimevilia sasa nimechoka vituko vyake najuws muda wake asubuhi huwa analala usingizi mzito, sasa nimepanga kumlia timing nimtandike risasi za kutosha maana ndio njia rahisi kwangu kumalizana naye.

Kabla sijatekeleza ukatili huu, kama hapa JF kuna mtu anahusika au amawajuwa wanaohusika na haki za wanyama anijuze niwasiliane nao ili wamnusuru na ukatili ambao nakwenda kuufanya, nimechoka kwakweli na vituko na wizi wake.

Nawasilisha.
Mnawaonea paka na Iman ZENU poto fu.
 
Sasa ukome kuleta shobo kwa wanaume next time utapigwa paipu.

Ungekuwa mwanaume usingeongea hayo. Shida wewe si mwanaume. Huwezi kuta simba anatangaza yeye ni simba kwa wanyama. Unajifanya mwanaume ili uheshimike. Sisi wanaume tunakuangalia tu dogo kilalavi. Unaa ngalia sana movies za kihindi unadanganyika. Eti risasi..... Hii story umeikuta sehemu umeileta kama ndo wewe mhusika... Kumbe kilalavi tu huna lolote. Ushapigwa sana pipe eeeh?
 
Nyumba yako ni chaka la wanyama waharibifu.

Nashangaa why nongwa iwe kwa paka tu ingali panya ndo wavamizi wenyeji? Au ni vile paka akila akashiba hustarehe waziwazi kuliko panya mfichamaji?!
Nakushauri. Rekebisha mazingira ya makazi yako, vinginevyo bado kidogo fisi atajongea hapo muishi wote!
 
Hakuna cha ruhusa una piga kisasa sawa anakufa una zika kwani kuna kesi hapo ,mbona sie tushaua dog bila ya ruhusa huyo paka niwakukill kwa Malungu ya uhakika .Una omba ruhusa naona haja kukera vizuri bado huyo paka muhini
Rungu humpati huyo,nilikua na paka moja la kike jizi sana.
Friji linafungua tu litakula mboga zote.
Sana samaki na dagaa badae linaleta na mabwana zake.
Nikaona ngoja huyu namuondoa.
Nilikua na lile betong la kuchezea golf.
Hapo tuko wawili tu niliweza.
Piga dharuba kruka ukutani
Piga lingine katoka kunivaa,lingine ikawa vita sasa
Badae nikafungua mlango huyo kakimbia.
Dawa yao ha ni sumu tu kwenye samaki hao anaopenda au dagaa.
Sasa jichanganye ushaweka sumu kwenye samaki umekula monde unakula tena hicho umemtegea.
Unakufa wewe.
 
Daah tuwapende Wanyama nao wana haki ya kuishi ukiweza tafuta watu wa mifugo wapelekee mimi niliwahi kumuokota Mbwa aligongwa na Jamaa wa boda boda kwenye mtaro nikampeleka home na kuanza kumnunulia Chakula hoteli mpaka akapona na maisha yake yakaendelea Wanyama wana upendo sana kuwepo kwao kuna sababu tafuta njia ya kumuondoa hapo kwako ataelewa kuwa humuhitaji ila usifanye kitu kibaya maana ubaya wowote utakaomfanyia amini utarudi kwako...
 
Kuna paka wapuuzi sana, et unakuta paka anacheza na panya, like seriously?
Aliyekuambia kazi ya kupigana na panya nyumbani ni ya paka ni nani? Hii ni imani potofu. Kazi ya kupambana na panya ni ya binadamu. Paka wanaokamata panya wanafanya hivyo kwa kukosa chakula. Hata siku moja ukiona nyumba yako ina mapanya usikimbilie kutafuta paka. Ukifuga paka kwa ajili ya kukuondolea panya utaishia kulalamika kama mwanzisha thread. Ukifuga paka uwe na bajeti ya kumlisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom