Winga dalali
Senior Member
- Jul 20, 2021
- 192
- 263
Habari zenu wakuu,
Naomba kuuliza hivi kuna sheria yoyote Tanzania kuhusiana na uvutaji wa sigara (fegi,Chiga,mufe,filter)
1. umri sahihi wa kutumia au inaruhusiwa hata kwa mtoto wa miaka 10.
2. Maeneo husika ya kuvutia sigara,au ni ruksa popote pale .unachoma uliponunua?
3. Ni,kosa kwa afisa wa au mtumishi wa serikali kutumia sigara? Hasa hadaharani?
Naomba kujua tafadhali
Naomba kuuliza hivi kuna sheria yoyote Tanzania kuhusiana na uvutaji wa sigara (fegi,Chiga,mufe,filter)
1. umri sahihi wa kutumia au inaruhusiwa hata kwa mtoto wa miaka 10.
2. Maeneo husika ya kuvutia sigara,au ni ruksa popote pale .unachoma uliponunua?
3. Ni,kosa kwa afisa wa au mtumishi wa serikali kutumia sigara? Hasa hadaharani?
Naomba kujua tafadhali