uvutaji wa sigara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwangajamiitz

    Uvutaji wa Sigara kwenye kadamnasi ya watu

    Tabia inayofanywa na wavuta Sigara. Kutendo Baadhi ya wavutaji wa Sigara ni kwenda Dukani kununua Sigara na kuiwasha papo hapo na kuanza kuvuta bila kujali Afya ya Watejá wanaohudumiwa hapo. Inabidi ziwekwe sheria ndogo ndogo za kulinda Afya za wengine ambao sio watumiaji. Hivi mvutaji Wa...
  2. JamiiCheck

    KWELI Uvutaji wa Sigara huchangia ugumba kwa wanaume

    Matumizi ya tumbaku ni moja ya maafa ya afya ya umma yanayojulikana sana. Licha ya ripoti nyingi kuhusu afya ya umma, matumizi ya tumbaku yanazidi kuongezeka katika nchi zinazoendelea na zilizoendelea. Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), takriban watu Bilioni 1.3 duniani wanavuta...
  3. Winga dalali

    Hivi Tanzania ina Sheria kuhusu Uvutaji wa Sigara?

    Habari zenu wakuu, Naomba kuuliza hivi kuna sheria yoyote Tanzania kuhusiana na uvutaji wa sigara (fegi,Chiga,mufe,filter) 1. umri sahihi wa kutumia au inaruhusiwa hata kwa mtoto wa miaka 10. 2. Maeneo husika ya kuvutia sigara,au ni ruksa popote pale .unachoma uliponunua? 3. Ni,kosa kwa afisa...
  4. Sosoma Jr

    Hatua za kufuata ili kuacha kuvuta Sigara

    HATUA ZA KUACHA KUVUTA SIGARA Madhara ya kiafya yatokanayo na uvutaji sigara ni makubwa na yanahatarisha si tu uhai wa mvutaji bali hata na watu wengine wanaovuta moshi kutoka kwa mvutaji. Kwa upande mwingine, hakuna faida yoyote anayopata mvutaji, hivyo wavutaji wa sigara wanashauriwa waache...
Back
Top Bottom