Hivi style ya 'kikaptula' ya wanaume wa siku hizi imekaaje?

Nyie mnaojiita wanaume wa Mikoani aliyewaroga ni nani??? Kwa miji yenye hali ya hewa ya joto hii style ya kuvaa kaptula ni kitu cha kawaida sana, binafsi yangu napendelea kuvaa kaptula siku za weeknd nikiwa kwenye mitoko yangu hasa nikiwa na private car, acheni kufananisha huo upupu wa kina James Delicious na fashion, though najua fashion ikizidi sana inakuwa issue kidogo.
cf532700bae5a48464775d620e7c5ee6.jpg
7cd236f9833008871dab9fc07d05dad2.jpg
 
Mkubwa huwa unapiga hivyo vikaptura vifupi vya bright colors?
Mkuu kaptura wengi wanavaa, ila kaptura ya kiume ni pana na ndefu chini ya goti. Mwanaume kuvaa kikaptura kifupi kinachobana cha rangi nyekundu inashangaza kidogo!

Mimi si mtumiaji sana wa mavazi hayo lakini nauchukulia huo kama mtazamo wangu na siwezi kumhukumu au kuchukia anachovaa mtu mwingine kwa kuwa hakina impact kwenye maisha yangu ya kila siku.......

Kama jamii tunapaswa kuishi kwa kuvumiliana ili kuleta msawazo na utengamano kwenye jamii yetu.......

Tunaishi kwenye jamii ya watu mbali mbali na wenye mitazamo tofauti tofauti.........

Kama unaona mtu wako wa karibu anakengeuka na kutoka kwenye mstari kwa busara unatakiwa kumuelekeza na kumuweka sawa kama mshauri.........na sio kumtukana

Kuna wengine wanafanya hivyo kwa kutokujua na kufuata mkumbo.........
 
Nyie mnaojiita wanaume wa Mikoani aliyewaroga ni nani??? Kwa miji yenye hali ya hewa ya joto hii style ya kuvaa kaptula ni kitu cha kawaida sana, binafsi yangu napendelea kuvaa kaptula siku za weeknd nikiwa kwenye mitoko yangu hasa nikiwa na private car, acheni kufananisha huo upupu wa kina James Delicious na fashion, though najua fashion ikizidi sana inakuwa issue kidogo.
cf532700bae5a48464775d620e7c5ee6.jpg
7cd236f9833008871dab9fc07d05dad2.jpg
Tofautisha KAPTULA na KIKAPTULA...!!!
 
Mkubwa huwa unapiga hivyo vikaptura vifupi vya bright colors?
Mkuu kaptura wengi wanavaa, ila kaptura ya kiume ni pana na ndefu chini ya goti. Mwanaume kuvaa kikaptura kifupi kinachobana cha rangi nyekundu inashangaza kidogo!

Utakuta mkaka kapiga kikaptura kifup cha rangi afu bado kakikunja na kinambana hadi akisimama inabid akivute vute ......
 
Kila vazi linafaa kulingana na nyakati na mazingira husika.....kulingana na utashi wa mhusika......

Ukomavu ni pamoja na kujua kuwa kila mtu hawezi kuishi kulingana na maoni yako na mtazamo wako......

Mimi si mpenzi wa hayo mavazi lakini siwezi kukereka na vazi la mwingine kwa kuwa ni maisha yao.....

DUNIA NI MSONGAMANO

KUISHI KWINGI NI KUONA MENGI
Hakika mkuu nimekubaliana nawewe... Hayo mavazi hayawezi kuzuia ujenzi wa viwanda
 
Mkubwa huwa unapiga hivyo vikaptura vifupi vya bright colors?
Mkuu kaptura wengi wanavaa, ila kaptura ya kiume ni pana na ndefu chini ya goti. Mwanaume kuvaa kikaptura kifupi kinachobana cha rangi nyekundu inashangaza kidogo!
Hakuna sheria ya kaptura mkuu.. Tafsiri ya kaptura haipo kwenye kamusi...
 
Mimi sijui niseme ni mshamba au vipi, ila siku hizi kuna style ya mavazi kwetu wanaume, yani siielewi kabisa.

Utakuta kijana mkubwa tu, tena anaonekana anajielewa kabisa, na mwingine ana mwili mnene, ila anavaa kikaptula kinaishia mapajani, na huo ndo mtoko kabisa na yupo free. Kuna vingine vinabana na vingine vipo loose.

Nadhani something is wrong somewhere, ila tuwe makini katika kucopy styles. Sio kila style inafaa. Utakuta mtu ana kikaptula hicho kifupi, yupo kwenye basi anasafiri. Kwanini basi kama unacho usiwe unakivaa ukiwa home tu na wife.?

Nway, I think we have to change!
Nyumbani tunavaa kanga tu........
 
Mimi sijui niseme ni mshamba au vipi, ila siku hizi kuna style ya mavazi kwetu wanaume, yani siielewi kabisa.

Utakuta kijana mkubwa tu, tena anaonekana anajielewa kabisa, na mwingine ana mwili mnene, ila anavaa kikaptula kinaishia mapajani, na huo ndo mtoko kabisa na yupo free. Kuna vingine vinabana na vingine vipo loose.

Nadhani something is wrong somewhere, ila tuwe makini katika kucopy styles. Sio kila style inafaa. Utakuta mtu ana kikaptula hicho kifupi, yupo kwenye basi anasafiri. Kwanini basi kama unacho usiwe unakivaa ukiwa home tu na wife.?

Nway, I think we have to change!
Kuna biashara wanakuwa wanatangaza.
 
Kila vazi linafaa kulingana na nyakati na mazingira husika.....kulingana na utashi wa mhusika......

Ukomavu ni pamoja na kujua kuwa kila mtu hawezi kuishi kulingana na maoni yako na mtazamo wako......

Mimi si mpenzi wa hayo mavazi lakini siwezi kukereka na vazi la mwingine kwa kuwa ni maisha yao.....

DUNIA NI MSONGAMANO

KUISHI KWINGI NI KUONA MENGI
Acha siasa kila mahali, vikaptula vya kubana, vya pink kwa wanaume ni ushoga, usipepese macho.
 
Back
Top Bottom