Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,764
- 13,815
Nyie mnaojiita wanaume wa Mikoani aliyewaroga ni nani??? Kwa miji yenye hali ya hewa ya joto hii style ya kuvaa kaptula ni kitu cha kawaida sana, binafsi yangu napendelea kuvaa kaptula siku za weeknd nikiwa kwenye mitoko yangu hasa nikiwa na private car, acheni kufananisha huo upupu wa kina James Delicious na fashion, though najua fashion ikizidi sana inakuwa issue kidogo.