T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,102
- 4,515
Wengine sasa hizo ngwala Kama mirija ya juice lakin wamo tu
Wengine sasa hizo ngwala Kama mirija ya juice lakin wamo tu
Yeah navaa mkuu nnako keusi, kakijani na rangi ya udongo... Nataka nkanunue ka damu ya mzeeKwahio na wewe unavaa vikaptura vifupi vya kubana vya pink,red?
There's something wrong in our Mind Comrade.Mimi sijui niseme ni mshamba au vipi, ila siku hizi kuna style ya mavazi kwetu wanaume, yani siielewi kabisa.
Utakuta kijana mkubwa tu, tena anaonekana anajielewa kabisa, na mwingine ana mwili mnene, ila anavaa kikaptula kinaishia mapajani, na huo ndo mtoko kabisa na yupo free. Kuna vingine vinabana na vingine vipo loose.
Nadhani something is wrong somewhere, ila tuwe makini katika kucopy styles. Sio kila style inafaa. Utakuta mtu ana kikaptula hicho kifupi, yupo kwenye basi anasafiri. Kwanini basi kama unacho usiwe unakivaa ukiwa home tu na wife.?
Nway, I think we have to change!
Shangaa wewe hahaha yaan Watanzania bhana, hawajui fashion zote za sasa hivi ndizo zilivaliwa zamani.Na enzi za mwalim je, mbona mlikua mnavivaa
Mimi sijui niseme ni mshamba au vipi, ila siku hizi kuna style ya mavazi kwetu wanaume, yani siielewi kabisa.
Utakuta kijana mkubwa tu, tena anaonekana anajielewa kabisa, na mwingine ana mwili mnene, ila anavaa kikaptula kinaishia mapajani, na huo ndo mtoko kabisa na yupo free. Kuna vingine vinabana na vingine vipo loose.
Nadhani something is wrong somewhere, ila tuwe makini katika kucopy styles. Sio kila style inafaa. Utakuta mtu ana kikaptula hicho kifupi, yupo kwenye basi anasafiri. Kwanini basi kama unacho usiwe unakivaa ukiwa home tu na wife.?
Nway, I think we have to change!
zawadi aitupwiKatika mavazi ambayo siwezi kuvaa ni hivi vipensi kuna binti mmoja aliniletea zawadi nikachukua nikakiweka chini ya uvungu wa kitanda
Mfan nkikuletea zawadi ya gagulo la pink utavaa?zawadi aitupwi
navaa mimi sichagui zawadi.Mfan nkikuletea zawadi ya gagulo la pink utavaa?
Nimependa huu msimamo wako, hata kama ni wa kwenye mtandao tu.Siku nkimkuta my man kavaa kichupi hiko namwacha hapohapo wanaume wajinga ni wakupigwa vita
Check hair style ya mnyama kanye....very simple low cut ila bongo sasa mpaka tufuge vimchicha kichwani ndo ujulikane msanii!!Nyie mnaojiita wanaume wa Mikoani aliyewaroga ni nani??? Kwa miji yenye hali ya hewa ya joto hii style ya kuvaa kaptula ni kitu cha kawaida sana, binafsi yangu napendelea kuvaa kaptula siku za weeknd nikiwa kwenye mitoko yangu hasa nikiwa na private car, acheni kufananisha huo upupu wa kina James Delicious na fashion, though najua fashion ikizidi sana inakuwa issue kidogo.
mkuu anamaanisha vilivyokaa kike kike,hii mbona fresh tuNyie mnaojiita wanaume wa Mikoani aliyewaroga ni nani??? Kwa miji yenye hali ya hewa ya joto hii style ya kuvaa kaptula ni kitu cha kawaida sana, binafsi yangu napendelea kuvaa kaptula siku za weeknd nikiwa kwenye mitoko yangu hasa nikiwa na private car, acheni kufananisha huo upupu wa kina James Delicious na fashion, though najua fashion ikizidi sana inakuwa issue kidogo.