qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
Wakuu napiga diploma ya ICT,sasa kuna hili somo la computer mathematics lakini naona kama napoteza muda vile.lakini mwalimu kanieleza kuwa kama nina ambition ya kujiendeleza juu lazima niwe na msingi wa hilo somo.
najua humu kuna waliopitia hivi vitu ,je kweli lina maana? kumbuka mimi nasoma ICT kuelewa siyo kutafuta makaratsi(VYETI) hivyo naomba jibu kwa kulenga hapo.
nitashukuru
By
QQ
najua humu kuna waliopitia hivi vitu ,je kweli lina maana? kumbuka mimi nasoma ICT kuelewa siyo kutafuta makaratsi(VYETI) hivyo naomba jibu kwa kulenga hapo.
nitashukuru
By