Hivi Somo la 'Computer Mathematics' katika ICT lina faida?

qq.com

JF-Expert Member
Jan 9, 2012
367
123
Wakuu napiga diploma ya ICT,sasa kuna hili somo la computer mathematics lakini naona kama napoteza muda vile.lakini mwalimu kanieleza kuwa kama nina ambition ya kujiendeleza juu lazima niwe na msingi wa hilo somo.

najua humu kuna waliopitia hivi vitu ,je kweli lina maana? kumbuka mimi nasoma ICT kuelewa siyo kutafuta makaratsi(VYETI) hivyo naomba jibu kwa kulenga hapo.

nitashukuru

By
QQ
 
Wakuu napiga diploma ya ICT,sasa kuna hili somo la computer mathematics lakini naona kama napoteza muda vile.lakini mwalimu kanieleza kuwa kama nina ambition ya kujiendeleza juu lazima niwe na msingi wa hilo somo.

najua humu kuna waliopitia hivi vitu ,je kweli lina maana? kumbuka mimi nasoma ICT kuelewa siyo kutafuta makaratsi(VYETI) hivyo naomba jibu kwa kulenga hapo.

nitashukuru

By
QQ

computer mathematics ndio somo gani. Do u mean Logic mathematics?

Maana kwenye computer na electonics its all about 0s an 1s na branch ya hesabu inayodeal na a 0 and 1 au AND, OR , TRUE vs FALSE etc. hesabu inaweza kukupa msingi mzuri hata kwenye programming

images


Kwa mtazamao wangu Hesabu ni muhimu kama unataka kuelewa baadhi ya mambo kwa detail kiundani lakini sio muhimu kivile. Lakini msikilize mwalimu.
 
Ingawa mi sijapitia huko, ila ushauri wa haraka haraka ni kuwa we soma tu.
Kama lipo kwenye mtaala inabidi usome tu hivyo hivyo. Ingawa sijui level yako ya elimu, lakini naamini kabla ya kufikiria kusoma mambo hayo lazima utakuwa umepita pita mashuleni, swali ni: Je, Engineer au MD pale chuo kikuu masomo wanayosoma kule yanahusiana na masomo mangapi aliyosoma O-Level au A-Level?
 
Kweli haujaeleweka Computer Mathematics ni nini hasa, ila inategemea na ni kitu gani unataka ufanye, math ni muhimu kwenye specific field za computer ila ni chache na very specialized.
 
computer mathematics ndio somo gani. Do u mean Logic mathematics?

Maana kwenye computer na electonics its all about 0s an 1s na branch ya hesabu inayodeal na a 0 and 1 au AND, OR , TRUE vs FALSE etc. hesabu inaweza kukupa msingi mzuri hata kwenye programming

images


Kwa mtazamao wangu Hesabu ni muhimu kama unataka kuelewa baadhi ya mambo kwa detail kiundani lakini sio muhimu kivile. Lakini msikilize mwalimu.

ndiyo hilo nafikiri huyu kachanganya tu!
ni somo zuri sana
 
computer mathematics ndio somo gani. Do u mean Logic mathematics?

Maana kwenye computer na electonics its all about 0s an 1s na branch ya hesabu inayodeal na a 0 and 1 au AND, OR , TRUE vs FALSE etc. hesabu inaweza kukupa msingi mzuri hata kwenye programming

images


Kwa mtazamao wangu Hesabu ni muhimu kama unataka kuelewa baadhi ya mambo kwa detail kiundani lakini sio muhimu kivile. Lakini msikilize mwalimu.

Nashukuru,ni hilo somo.Si unajua U-anafunzi!
ngoja nijitahidi lakini naona ni gumu kiasi ,as if napoteza muda wangu kusoma mambo ya 'mtu wa kwanza kuona ziwa victoria ni Malkia victoria"
 
Wakuu napiga diploma ya ICT,sasa kuna hili somo la computer mathematics lakini naona kama napoteza muda vile.lakini mwalimu kanieleza kuwa kama nina ambition ya kujiendeleza juu lazima niwe na msingi wa hilo somo.

najua humu kuna waliopitia hivi vitu ,je kweli lina maana? kumbuka mimi nasoma ICT kuelewa siyo kutafuta makaratsi(VYETI) hivyo naomba jibu kwa kulenga hapo.

nitashukuru

By
QQ
Wewe unasoma ili uweze ku apply some ict tools, lakini siyo kuelewa ict. Hicho ki diploma chako hata siku moja isijidanganye kuwa kitakuwezesha kuelewa ict. ukizingatia hata simple boolean algebra zinakupa shida. Pole sana
 
Wewe unasoma ili uweze ku apply some ict tools, lakini siyo kuelewa ict. Hicho ki diploma chako hata siku moja isijidanganye kuwa kitakuwezesha kuelewa ict. ukizingatia hata simple boolean algebra zinakupa shida. Pole sana
Mkuu mbona unamkosoa ?badala ya kumpa faida kinachotakiwa kama alivyoelezwa na Mwalimu wake asome masomo yote ya ICT sio kuchagua hili au lile sisi Wa Tanzania tunapenda kuchaguwa vitu rahisi kusoma tumekuwa wavivu sana.
 
math yenyewe mwalimu akuambie innnnaaply wapi kwenye komputer but mm naona ni njia moja wapo ya kusupp ndo elimu ya bongo bana mtu ni mtalamu wa komputer kwekwe but anasupp computer math mm ninafiki walioweka mtahala awajui nn maana IT
 
Kama ni moja ya somo unalotakiwa kulisoma lisome kwani umuhimu na manufaa yake utajayaona baadae
 
Wewe unasoma ili uweze ku apply some ict tools, lakini siyo kuelewa ict. Hicho ki diploma chako hata siku moja isijidanganye kuwa kitakuwezesha kuelewa ict. ukizingatia hata simple boolean algebra zinakupa shida.

Pole sana

Dah we jamaa wangapi na diploma zao wanafanya mambo makuu...kwenye industry wewe unakosoa...humu tungekuwa tunajuana wengine msinge changia....mshauri kuhusu alicho uliza na sio kumwambia the whole program haimsaidii...
 
Wakuu napiga diploma ya ICT,sasa kuna hili somo la computer mathematics lakini naona kama napoteza muda vile.lakini mwalimu kanieleza kuwa kama nina ambition ya kujiendeleza juu lazima niwe na msingi wa hilo somo.

najua humu kuna waliopitia hivi vitu ,je kweli lina maana? kumbuka mimi nasoma ICT kuelewa siyo kutafuta makaratsi(VYETI) hivyo naomba jibu kwa kulenga hapo.

nitashukuru

By
QQ

Mara nyingi masomo mengi katika system yetu ya elimu ni hapa bongo unaweza shindwa maana yake but kama vipi we gonga shule hiyo tu umalize diploma yako........
 
Mkuu mbona unamkosoa ?badala ya kumpa faida kinachotakiwa kama alivyoelezwa na Mwalimu wake asome masomo yote ya ICT sio kuchagua hili au lile sisi Wa Tanzania tunapenda kuchaguwa vitu rahisi kusoma tumekuwa wavivu sana.

cyo uvivu but understanding capacity inatofautina
 
Wakuu napiga diploma ya ICT,sasa kuna hili somo la computer mathematics lakini naona kama napoteza muda vile.lakini mwalimu kanieleza kuwa kama nina ambition ya kujiendeleza juu lazima niwe na msingi wa hilo somo.

najua humu kuna waliopitia hivi vitu ,je kweli lina maana? kumbuka mimi nasoma ICT kuelewa siyo kutafuta makaratsi(VYETI) hivyo naomba jibu kwa kulenga hapo.

nitashukuru

By
QQ

dhumuni lake ni just ku expand your mind.hesabu all in all ni kuexpand ur mind. Just go kwenye vyuo visivyo vya serekali like APtech or Newhorizon and LEARN it and see.. These guys hawasomi hesabu, yet wanatoa very proffessional people on computing industry but goverment mara nyingi vyeti vyao huwa hawavitambui, pia ni very expensive vyuo vyao

So ndugu yangu jitahidi tu utoke,upate hata passmark kwenye hiyo math!! i iwsh you the best
 
Wewe unasoma ili uweze ku apply some ict tools, lakini siyo kuelewa ict. Hicho ki diploma chako hata siku moja isijidanganye kuwa kitakuwezesha kuelewa ict. ukizingatia hata simple boolean algebra zinakupa shida. Pole sana

Kama angesoma PCM au PCB A-level mambo yote yangekuwa mtelemko kwake,Pure math-"set n logic",physics-"logic gate-electronics".Sasa hapo ndipo kwenye faida ya kusoma A-level.
Hesabu ni muhimu sana kwasababu inakufanya uwe na uwezo mkubwa wa kufikiri.
 
Dah we jamaa wangapi na diploma zao wanafanya mambo makuu...kwenye industry wewe unakosoa...humu tungekuwa tunajuana wengine msinge changia....mshauri kuhusu alicho uliza na sio kumwambia the whole program haimsaidii...
Unajua bongo tuna matatizo. Mtu akijua kuinstall windows xp tu na kuinstall printer tunamwita mtaalamu, IT expert, IT specialist na majina mengine mengi. Wakati mwingine nashindwa kuelewa where are we heading. Tutaendelea kusupport technology kwa tunaitana majina yasiyostahili.

Lengo langu hapa nilikua nampa tahadhari dogo asije akaishia na kidiploma chake akajiona amejua technolojia. Nchii hii haina IT specialist au Expert kwa definition yangu.
 
Unajua bongo tuna matatizo. Mtu akijua kuinstall windows xp tu na kuinstall printer tunamwita mtaalamu, IT expert, IT specialist na majina mengine mengi. Wakati mwingine nashindwa kuelewa where are we heading. Tutaendelea kusupport technology kwa tunaitana majina yasiyostahili.

Lengo langu hapa nilikua nampa tahadhari dogo asije akaishia na kidiploma chake akajiona amejua technolojia. Nchii hii haina IT specialist au Expert kwa definition yangu.
ebu na wewe acha kupotosha . Au tujibu maswali haya

-Wewe kwenye IT umespecialize kwenye nini ?
-Kuspecialize kwenye IT unahitaji Degree, au master au Phd?
-Mbona kuna "maspecialist" ni wakali kutoka Ulaya na India n hata wa tanzania hawana hata Degree just hiz diploma then wanaamua kukomaa ni kitu kimoja iwe ni netowork, Database, Programming Hardware, OS, Applicatin software...

Tanzania haina specialist sababu hakuna mahitaji ya special specialist.... Mahitaji yakiwepo ya kutosha watu wataspecilize tu. Hivi sasa watu tunatwanga voyte database, Network , desktop support , OS . Programming , etc

Kama angesoma PCM au PCB A-level mambo yote yangekuwa mtelemko kwake,Pure math-"set n logic",physics-"logic gate-electronics".Sasa hapo ndipo kwenye faida ya kusoma A-level.
Hesabu ni muhimu sana kwasababu inakufanya uwe na uwezo mkubwa wa kufikiri.
Sio lazima kusoma PCB au PCM au Alevel Hizo hesabu wengine hata O- levlel wameyasomahayo kwenye Addional mathematics. Tusikariri kuwa kuna path moja kufika destination fulani . Na wengine wanaweza kusoma hesabu hizo hizo College. Cha msingi ni kuelewa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom