Ally Bendera
Member
- Jul 4, 2016
- 13
- 3
Thread imejitosheleza. No comments
Nakuunga Mkono maana zile sehemu ambazo Nyerere hakuanzisha Ujamaa kama Kilimanjaro watu ni Wajanja sanaNi mfumo tu wa kijamaa ulitufanya mazuzu kabla ya hapo makabila mengi yalikuwa hayataki ujinga kumbuka vita vya majimaji.
Unakumbuka maneno aliyosema marehemu Kenyatta kwa mwalimu miaka hiyo? Kuhusu watu anaowaongoza? Ni pm kama huyajui maana nikiyaweka hapa yataonekana ni matusi makubwa yenye ukweli kwetu WatanzaniaKwa yanayoendelea hapa nchini na jinsi umma wa watanzania unavyochukulia mambo haya, ,nina swali moja tu linalouliza kama ifuatavyo.
Hivi sisi watanzania ni binadamu "original" kama walivyo watu wa mataifa mengine au sisi ni binadamu "fake"?
Kabla hujasema nafanya utani,think twice first.
Mkuu,nayajua vizuri na ni ukweli mtupu.Unakumbuka maneno aliyosema marehemu Kenyatta kwa mwalimu miaka hiyo? Kuhusu watu anaowaongoza? Ni pm kama huyajui maana nikiyaweka hapa yataonekana ni matusi makubwa yenye ukweli kwetu Watanzania
Jamani, Hakuna kizazi cha kulaumu Mtu, watoto wenyewe wanakalili miziki na kukopy ujinga ujinga tuno ufanya, unadhani kunjipya???? Lakini kama sisi wazazi tumeshindwa kujitambua mtoto ndio aweze, dark contonent with dark people it who we are!!!!Nimekusoma makuu.
Unajua vizazi vijavyo vitakuja kutulaumu sana sisi watanzania wa Leo Kwa kuwaacha wataala wahujumu nchi hii maana sijui watarithi nini wao!
Tunatatizo la kimsingiNimekusoma makuu.
Unajua vizazi vijavyo vitakuja kutulaumu sana sisi watanzania wa Leo Kwa kuwaacha wataala wahujumu nchi hii maana sijui watarithi nini wao!
Huo utani wako, kila mwenye akili timamu hujiuliza lakini ni ngumu kupata jibu.Kwa yanayoendelea hapa nchini na jinsi umma wa watanzania unavyochukulia mambo haya, ,nina swali moja tu linalouliza kama ifuatavyo.
Hivi sisi watanzania ni binadamu "original" kama walivyo watu wa mataifa mengine au sisi ni binadamu "fake"?
Kabla hujasema nafanya utani,think twice first.
Mkuu unachosema ni kweli kabisa lakini hatuwezi kurekebisha tena ni ngumu Serikali imeingilia msingi wa malezi ktk familia.Jamani, Hakuna kizazi cha kulaumu Mtu, watoto wenyewe wanakalili miziki na kukopy ujinga ujinga tuno ufanya, unadhani kunjipya???? Lakini kama sisi wazazi tumeshindwa kujitambua mtoto ndio aweze, dark contonent with dark people it who we are!!!!
Kwa yanayoendelea hapa nchini na jinsi umma wa watanzania unavyochukulia mambo haya, ,nina swali moja tu linalouliza kama ifuatavyo.
Hivi sisi watanzania ni binadamu "original" kama walivyo watu wa mataifa mengine au sisi ni binadamu "fake"?
Kabla hujasema nafanya utani,think twice first.
Mkuu inauma kuona taifa linaangamia kwa kujifunza ujinga ujinga kwanza pita uswahilini angalia vijana wanavyoteswa na Bangi na madawa ya kulevya kwa ujumla piga picha miaka 15 tutakuwa wapi?mmh !! hata mie na shaka, Lakini kwa heshima na taadhima inasikitisha kuona maadili yetu yalivo toweka kwa kasi !!
Hapana, sisi ni mazombie, maisha yetu yalishapita kitambo!
Hii sayari sisi tumevamia tu!
Hivi miaka 15 ijayo hii inchi itakuwa na watu au wote watakuwa vichaa!?Aisee umeongea neno ngoja tufikirie vizuri inawezekana mtu usijitambue
Mkuu kama una ushauri au jibu nini kifanyike weka hadharani tuanze sasa watawala hawatahukumiwa peke yao maana sisi wana inchi ndio tunawapa dhamana !Nimekusoma makuu.
Unajua vizazi vijavyo vitakuja kutulaumu sana sisi watanzania wa Leo Kwa kuwaacha wataala wahujumu nchi hii maana sijui watarithi nini wao!
Mkuu ukimnyima Elimu binadamu ukamfanya tegemezi anakuwa hajielewi hata ukimpiga atarudi kuomba samahani kana kwamba hujamkosea yeye ndie anakosa.mkuu mm nilishawahi kuwambia watu siyo bure kuna kitu watanzania walifanyiwa au wanafanyiwa kwa sababu kiukweli hatujitambui. wananchi Wa nchi nyingine hawapo kama sisi
Si Africa yote maana wenzetu Kenya wana diriki kufanya, Nzanzibar , Gambia, Nigeria, Egypt, Zambia, Tunisia Hata Burundi tatizo ni ung'ang'anizi wa madaraka ya watawala lakini wana inchi wana jitahidi.Nadhani sio wa TZ pekee hili ni suala la AFRICA kiujumla, binafsi nimekua nikiuliza sana hili swali