chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
Nadhani ni watz ni mfano wa binadam...maana nidhamu ya uoga imetutawala
Mungu ni wa ajabu sana, wana wa Israel ilifika kipindi wakakata tamaa kuwa hawawezi tena kutoka utumwani, sisi watanzania kitakachotutoa hapa tulipo ni nature na nature iko inatuvuta taratibu naogopa sana kona Kesho nasikitika sana maana hata watu wa Usalama hatari ya kesho nao hawaioni kama mimi ninavyoiona, bora nife leo kuliko kuiona kesho ya kuletwa na nature, mi bado naamini Mungu anatupenda sana anatupa muda wa kutafakari na kuamua njia sahihi. Asante