impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,838
- 7,891
Ni kweli inawezekana tuliumbwa mda wa majeruhiKwake li hili ni Taifa la ajabu sana katika hii dunia na sijui mungu alituumba Kwa bahati mbaya tu au alikuwa amechoka,nashindwa kuelewa.
Ni kweli inawezekana tuliumbwa mda wa majeruhiKwake li hili ni Taifa la ajabu sana katika hii dunia na sijui mungu alituumba Kwa bahati mbaya tu au alikuwa amechoka,nashindwa kuelewa.
Kwanini umefikiria siasa tu, angalia Nyanja zoteSi Africa yote maana wenzetu Kenya wana diriki kufanya, Nzanzibar , Gambia, Nigeria, Egypt, Zambia, Tunisia Hata Burundi tatizo ni ung'ang'anizi wa madaraka ya watawala lakini wana inchi wana jitahidi.
Ukitaka tufanye nini ili tuwe binaadam original???Hii sayari sisi tumevamia tu!
pia wewe sio OGUkitaka tufanye nini ili tuwe binaadam original???
Umeongea neno! Kagame alishasema......Hii ni zaidi ya uzuzu.
Kweli bwana. Ndio maana tunadanganywa kweupe kwamba Lowassa anafaa kuwa Rais wakati tunajua vizuri historia yake. Tunakuwa wasahaulifu kama kuku! Kazi kweli kweli!!napata shida sana na hii nchi...aliyetuloga alishakufa
Nimekusoma makuu.
Unajua vizazi vijavyo vitakuja kutulaumu sana sisi watanzania wa Leo Kwa kuwaacha wataala wahujumu nchi hii maana sijui watarithi nini wao!
Tukisema lawama nadhani hili neno ni endelevu kutoka kizazi kimoja kwenda kingine kila kizazi kinakuwa na ujinga wake na rasilimali zake zinatumika kwa namna ya kipekee kutokana na huo ujinga. Pia ujinga hutofautiana kulingana na hatua za maendeleo unazokuwa unapitia pia ukiubaini unaweza ukauondoa.Nimekusoma makuu.
Unajua vizazi vijavyo vitakuja kutulaumu sana sisi watanzania wa Leo Kwa kuwaacha wataala wahujumu nchi hii maana sijui watarithi nini wao!
Sisi ni binadamu kama wengine tofauti ni kuwa sisi ni misukule ya chama twawala...
Yaan ungemwelewa mleta mada usingetupia mpira wanachama wa ccm. Sisi wapinzani tumefanya nn kuonyesha kutoridhishwa na utawala wa ccm?
Kaz yetu kunung'unika tu! Tuko zaid ya million . Kwa uwingi wetu tukiamua kufanya jambo kwa nguvu zetu zote (kukinukisha) tusingekua hapa. Kiukweli tunamatatizo ya kimsing, hatuna maamuzi. Sio binadam wa kawaida tunaweza kuwa mfano
Sanaaaaa huu uzuzu na uoga wetu ndo umetufanya tusiendeleeNimekusoma makuu.
Unajua vizazi vijavyo vitakuja kutulaumu sana sisi watanzania wa Leo Kwa kuwaacha wataala wahujumu nchi hii maana sijui watarithi nini wao!
Mkuu ni kila kitu lakini siasa ndio camera zaidi kuonyesha tulivyoKwanini umefikiria siasa tu, angalia Nyanja zote
Kwa wa Tz maneno matupu hayavunji mfupa. Yaani maneno ni mengi matendo machache au hamuuuunnaa.Kwake li hili ni Taifa la ajabu sana katika hii dunia na sijui mungu alituumba Kwa bahati mbaya tu au alikuwa amechoka,nashindwa kuelewa.
Kwa wa Tz maneno matupu hayavunji mfupa. Yaani maneno ni mengi matendo machache au hamuuuunnaa.
Wakitukanwa wanacheka saaana hadi mbavu zinawauma. Ukiwatishia hata kwa farasi watakimbia huku wakicheka sana.
Mtu yeyote anaweza kuwaongoza bila shida. Ni watu wa amani.
Naskia watu wakifa mabara mengine kufufuka Africa ndo motoniHapana, sisi ni mazombie, maisha yetu yalishapita kitambo!
