KUNA MAWILI HAPA,Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo
Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso
Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali
Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Hebu acha mambo ya kitoto bhana, ulitegemea mpenzi wako atongozwe halafu akatae? Una umri gani?Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo
Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso
Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali
Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.
Sahihi broHapa nadhan tatzo n unafahamu weakness zao..... Kwahyo inakuwa n vyepesi kuwashawishi sababu unajua wanapenda story zipi, tamaa zao n zp N.k
Mfano mbinu ulotumia kumnasa binti flani..... Akitokea mtu mwingine akaitumia in a more advanced way uwezekano wa kumshawishi huyo bint n mkubwa sana...... Labda bnt anatamaa san na pesa pia anapenda maisha ya anasa na kujionesha then kipindi unamtongoza ulimuigizia umarecan mwng mpk ukamnasa... Amini kwamba akija msela mwngne mweny ndinga kali swag na pesa za kuzugia lazima alambe asali sabb ndio udhahifu wa manzi wako!!!!!
Kwahyo hapo inshu sio uaminifu.... Swala n kwamba code za mioyo yao tayar unazo kwahy ht ukiwatongoza 200 times kwa namb ngen kuchomoa n kazi🤝Sahihi bro
Sas kama unatka kuoa usichunguze kkKama ambavyo walikukubali wewe ndivyo wanavyowakubali wengine mkuu acha presha wanawake wamejaa tele ni wewe tu kuchagua wa sampuli yako unajipigia unasepa usitake kujua nani mwingine kapiga au ana mpango wa kupiga
Sent using Jamii Forums mobile app
kama anaweza kukupenda wewe ,elewa kabisa hata mtumwingine yeyote atapendwaHabari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa kutoka na kimapenzi tena kwa kuona picha ambazo nawataumia wasapp ambazo ni za uongo
Kwakweli huu mchezo huwa nafanya kuona kama kweli mpenzi wangu ananipenda kweli au ananzingua tu ila cha kushangaza napigwa za uso
Mademu wote watano amabao nimejaribu kuwatongoza kupitia namba ngeni wote walikubali
Hivi hii jamanii imekaaje huwa inanitoa kwenye mahusiano sana kwasababu nakuwa na mtu ambaye simuamini kwa hiyo nakosa sana raha.