cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Kuna mtu ukimpata automatic unatulia, wanawake huwa Kuna design ya wanaume tunaqapenda na wao wakiwa na upendo ka wa baba zetu tunatulia nakuwa wasikivuSahihi....
hili swala nyinyi ndio mnajua
Kuna mtu ukimpata automatic unatulia, wanawake huwa Kuna design ya wanaume tunaqapenda na wao wakiwa na upendo ka wa baba zetu tunatulia nakuwa wasikivuSahihi....
hili swala nyinyi ndio mnajua
Dah, umenikumbisha mbali sana, nilikula sana maini ya kuchoma, huyo bi mdashi alikuwa ni shiiidaMiaka ya 2012 Mjini Iringa kulikuwa na bar moja maaarufu kama 255 sijui kama ipo kulikuwa na muhudumu hapo ana matako hatari nimemfananisha na mama Sanchoka
kizuri kula na nduguyo
Wanawake wa hivyo huwa hawana akili.
We hutaki mkuu?😁
why uumie mtu kutumia mwili wake?Ila kugongewa mwanamke kama huyu ni mtihani mkubwa, una mwajuma wa uswahilini tu ukigongewa maumivu yake hayaelezeki je awe kama huyu? unaweza jitundika kabisa
Huyu jamaa ana kibamia hlo tukunyema haliwez shoo yake , ni heavy duty
Hayo yana amsha popo mawimbi yasome 4G uki ya 'tap' ' tap' au ukiyaparaza gently yanakurudisha mchezon..Hii ni moja wapo.Kingine ni fahar ya macho yanakupa ham ya kujua yaliyomo kama yapo..usioshie to ki view ila u commentYana kazi gani kwanza?
Hawajuagi hii,Kuna mtu ukimpata automatic unatulia, wanawake huwa Kuna design ya wanaume tunaqapenda na wao wakiwa na upendo ka wa baba zetu tunatulia nakuwa wasikivu
Alikuwa anapenda Saint Anne na Savanna balaa nimepakumbuka IringaDah, umenikumbisha mbali sana, nilikula sana maini ya kuchoma, huyo bi mdashi alikuwa ni shiiida
Na wewe ndio mbuyi wangu😒Kweli kila shetani na mbuyu wake
kuna mambo wanawake hamuwezi kufahamu kabisa uzito wakewhy uumie mtu kutumia mwili wake?
loh sawa mkuu, mie siumizwi na mtu kutumia kiungo chake kutoa hamu kabisa lohkuna mambo wanawake hamuwezi kufahamu kabisa uzito wake
Dah umeandika ukweli aisee ukimpata soul mate wako mapenzi huwa raha Sana hafu huoni makosa yake ni utii kwa kwenda mbele. Nimewahi pata soul mate moja tu basi unfortunately tuliend na sad storyHawajuagi hii,
Na wakati mwingine sio design ya mwanaume unaemzimia saana, unakuta tu basi jamaa Moyo wako umemdondokea we mwenyewe unatafuta sababu unaikosa, kwamba kwani huyu jamaa nampendea nini??? yani sijui ndio tuseme soul mate !
Dah umeandika ukweli aisee ukimpata soul mate wako mapenzi huwa raha Sana hafu huoni makosa yake ni utii kwa kwenda mbele. Nimewahi pata soul mate moja tu basi unfortunately tuliend na sad story
Na wanaume wengi hawapendi wanawake watulivu na wastaarabu, maana ndio huwatesa sana na wanaume wanapenda wanawake kichwa ngumu.ila kwa bahati nzuri soul mate huwa wapo kila stage ya maisha.... tatizo huja mwanaume akijua umependa!!! mana kwenye maisha kupendana sawasawa hakupo lazima upande mmoja uzidi
Sijui labda unawazungumzia wanaume wa huko kwenu, mwanamke mtulivu na mstaarabu ni dhahabu mbele ya mwanaume muoaji, mara chache sana wanakosa watu. Hao machakaramu wanaweza kuolewa, ila mwisho wa siku wakaishia kuachwa au wasiolewe kabisa.Na wanaume wengi hawapendi wanawake watulivu na wastaarabu, maana ndio huwatesa sana na wanaume wanapenda wanawake kichwa ngumu.
Pia wanaume wengi hufikiria ukiwa mstaarabu kwake imekufa na kuoza na huna options kumbe huwa ni kujidaganya tu, wengine wameumbwa na moyo wa upendo kwa yoyote yule Sasa wao hujiona wao ndio wao.
Kwa umri huu niliofika swala la kupenda mtu nimeshavuka hyo stage mtu anaye care nitamjali, anaye ni ignore na mimi na mu ignore kwa kweli, Ile kufa kuoza hapana, maana furaha najipa mwenyewe sitegemei kwa mtu au vitu