Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 45,278
- 37,063
acha upotoshaji gentleman,Kenya sio Tanzania demokrasia yao ni kubwa kuliko yetu na freedom of expression iko juu sana, nafikiri Ruto alikuwa anamkubalia tu kwa vile ni mgeni wake.
Wakenya hasa Gen Z wa Kenya ni next level hata Ruto mwenyewe anawaogopa juzi karushiwa chupa ya maji.
Last time GenZ wa kenya walipomshukia Samia alianza kulialia kuwa wanamdhalilisha kwa kumchora akiwa uchi na kwenye jeneza this time lazima azimie, nasikia kiongozi wa ODM amemjibu.
"Mama anasema tuchapwe mikwaju, tutalinda demokrasia ya nchi yetu kama watoto watovu wa adabu".
Baada ya Samia kuharibu taswira yake anamdanganya na Ruto ili wafanane.
Ruto usikubali ushauri huu anataka kukuponza.
Wait & see.
iliyoko Kenya sio demokrasia bali ni siasa za ukabila uliokomaa na kushamiri vema kulingana na mwanasiasa anakotoka.