Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 8,390
- 11,890
University of Havard walitulelea huyu mtu kuja kuwa mpigaji sana hapa nchini na alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali tangu 1993 so hata pa kumuanzia hapapoda aisee huyu msukuma sijui sheria aliisomea nchi gani maana ni mjanja balaa yaani skendo zote yumo na mnaona kabisa lakini hata pakumuanzia hampaoni alishawajhi kuitwa akahojiwe akakataa wenziew walienda na hakufanywa kitu na bungeni ni MHESHIMIWA MWENYEKITI
Kwny hio kesi ya kina Idd Simba dhamana ilitakiwa bil 2,yeye Simba akaweka nyumba yenye thamani bil 7 akawatoa na wenzake wote ndani,yajayo yanafurahisha uko tayari?
Hivi MTAMA ndio NGWALA? Daaah! Jamaa anatisha!Aliwahi mpiga mtama OCD wa maswa na hakufanywa chochote, ilikuwa 2010 wakati wa uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Afu kajamaa kenyewe kadogo kadogo tu,achana na hela mjomba hahah.
Aliwahi kuwagonga kwa kutumia gari wadada wawili wakiwa kwny bajaji wakafariki wote na akalipa zake faini ya laki 7 tu,akaachiwa huru.chenge nyoka mwenye makengeza ulishawahi kumuona ? ndiyo huyo baba kila skendo yumo tena zile kubwa lakini hakamatiki ni mjanja sana kwenye mikataba yake anakuwemo lakini hakuna pa kumkamatia
Kiukweli kwny kuyataitisha mafisadi papa kuna muda mzee baba anajitahidi sana.Ndio maana JPM ameshaona haya majamaa mahakamani yatashinda tu, so dawa ni kuyawekea kesi za uhujumu uchumi yashindwe kuwekewa dhamana.
Kuna jina uwa linatajwa kwamba anahusika kwenye UDA na anaogopwa na jina ilo ni
Robert Kisena
Wanaomjua hebu tudadavulie
Wengine wanasema ni rafiki sana wa mtoto wa mkubwa aliyemaliza muda wake.
Kwenye kesi dhidi ya Idd Simba alitajwa tajwa ila hakushughulikiwa.
sheria ya rushwa ngumu ku prove mkuuSwadakta mkuu , ila kwenye masuala ya kisheria wamejipanga ni balaa ! Angalia jinsi Lukuvi alivyoangushwa na Mohamed Kirua , kumbuka hili ni kundi lilelile
Kwa hiyo bashite ndo Kisena ajaye kwenye awamu ya 6?Alitikisa sana kipindi kile cha 4
aliwahi kujinufaisha na kiwanda cha oil mill nwe era mwanza wakati wa Nyanza ezi zile kwa njia ya ujanja ujaja ila nasikia kisha pigwa biti na kurudishaKisena
1. Mkwapuaji wa UDA
2. Amekwapua tenda ya maxcom kusimamia tiketi za mwendo kasi hadi amesababisha ticket ziwe zinachanywa kama daladala.
3. Mshika mikoba ya JK kama alivyo bashite kwa jiwe
4. Anajua kucheza na serikali unaweza sema serikali kaiweka mfukoni.
5. Bepari la kisukuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niwewe umesema
Alionekana kwenye tv gani mkuu na alibugi nnAlikuwa huru mpaka hiyo juzi baada ya kuonekana TV akiupepeta mdomo,kuna kitu alibugi kuongea
Kabisa ! tena aligonga akiwa njwii kabisa !Aliwahi kuwagonga kwa kutumia gari wadada wawili wakiwa kwny bajaji wakafariki wote na akalipa zake faini ya laki 7 tu,akaachiwa huru.
Ni aibu kwa kiongozi wa umma kumpiga roba mfanyabiashara ofisini kwake ili achukue pesa zake.sheria ya rushwa ngumu ku prove mkuu
siwezi kukurupuka tupo wawili napiga kelele eti umetaka kunihonga
waziri mzima hana hata camera ofisini kwake?lakini Lukuvi amejaribu
Hicho chama ni kichaka cha mchwa wanaoitafuna nchiKila ukisikia Beberu unaambiwa ni mwanachama mtiifu wa fisiEMU; hapa ndipo unabakia na ????? nyingi sana kichwani, kwani hiki chama kina recruit haya majitu??
Gurumo nakumbuka alipiga bilion 1 na milion mia saba za escro...Akiwemo na Jamal Malinzi, Shabani Gurumo, Davis Mosha na Saidi Lugumi.
DA AISEE HICHO CHUO MUNGU ANAKIONA WAMETUTENGENEZEA CHUMA ULETE AMBALO HUWEZI HATA KULIULIZA UNAOGOPAUniversity of Havard walitulelea huyu mtu kuja kuwa mpigaji sana hapa nchini na alikuwa mwanasheria mkuu wa serikali tangu 1993 so hata pa kumuanzia hapapo
Hajarudisha magodown ya Nyanza pale Igogo MwanzaKisena jamaa tapeli sana huyu bwana mdogo.Aliichukua ile Nyanza na NewEra Ginnery.Ameibia sana wakulima wa Pamba kuanzia Meatu huko mpaka Maswa.
Ni tapeli ambaye anakudhurumu,ukimfuata unaweza mpiga kwa blabla zake...ukimpiga anajifuta anasema basi tumeshamalizana.Kajamaa fulani kasanii sana,na kwa kweli kalikuwa hakagusiki.
Mara ya mwisho alikuwa akikaa Flat moja hivi pale Upanga,nilionana naye last time 2014 nikiwa Tz.Utapeli wake mpaka kwa Wamama wenye hela,kawaliza sana.
Uchaguzi Mkuu 2010 alienda na mtoto wa Rais mmoja mstaafu kwenye kura za maoni jimbo la Maswa kwa Shibuda,akashinda kwa nguvu kura za maoni.Huyu ndio alifanya Shibuda apigwe chini 2010 na akahamia CHADEMA akapewa jimbo.Kosa lake Shibuda ni kutangaza nia ya kugombea Urais 2010,wenye chama wakamuwekea Kisena.
Alimtapeli Muhindi wa Eicha na Tata alipoziingiza kwenye daladala za UDA.Huyu ndio anaivuruga UDART mpaka sasa haieleweki.Kifupi haka ni kahuni fulani kalikoharibu sana sekta ya pamba na Usafiri wa UDA.
Kwa hili,mimi nipo nyuma ya Amri Jeshi Mkuu John Joseph Pombe Magufuli.Hawa kina Kisena wameiba sana.
Kwenye ule mdaharo liliwakimbiza watu,jamaa ukilipa nafasi ya kutiririka unakimbiaHamjui vizuri tena jamaa kichwani ni lizima na linajua kujieleza kwa umakini bila kutetereka