Hayo Masharti anayo Mungu Peke yake
Sio kweli bali hayo ndo masharti aliyo toa Mungu kwa waja wake wanaotaka wasiishiwe. Wapeni watu vitu, kipimo kile kile mlicho pima ndicho mtakacho pimiwa, na kusukwasukwa na kushindiliwa.
Hilo ndio sharti alilolitoa Mungu.