Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,044
- 8,165
🤣🤣MzenziberyKwani alichaguliwa na nani? Yupo yupo tu na hajui kinachoendelea zaidi ya kuendelea na taarab zake
Njiwa peleka salamu 🎶🎶
🤣🤣MzenziberyKwani alichaguliwa na nani? Yupo yupo tu na hajui kinachoendelea zaidi ya kuendelea na taarab zake
Waseme, nchi nzima inaLakini si huo mgao unaletwa na huo upungufu?View attachment 2753817
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali iondoe kodi kwenye solar panels na iruzuku bidhaa zote za umeme wa solar.Toa pendekezo serikali ifanye nini kuongeza uzalishaji usikae kama furushi la viazi kulalamika kama mtoto wa kambo.
Kwani we usha wahi ona huyu mama anaongelea matatizo ya watanganyika? Huwa hana muda nayo kabisa.Jamani hii hali mpaka lini? Mbona kama vile Biteko ni zaidi ya Makamba?
Na jee Rais anafahamu kweli au hao machawa waliomzunguka wanamwambia hali ya umeme ni shwari tuu?
Maana kanyamaza kimya hatii neno, kama kaamua 2025 hataki tena ndio adharau kwa sasa? Mie nadhani bora aachie tuu sasa hivi maana 2025 ni mbali sana kama ataachia mambo hivi hivi yaendelee!
Atimize wajibu au ajiweke pembeni kwa heshima yetu
Hebu ona tako lingine hili i amaana tangu mwaka 1961 hadi leo unajifanya hujui ni maoni gani hutolewa ili kutatua tatizo la umeme tanganyika?Toa pendekezo serikali ifanye nini kuongeza uzalishaji usikae kama furushi la viazi kulalamika kama mtoto wa kambo.
Unamawazo mazuri kikubwa badili location either yapeleke ulaya au amerikaWaseme, nchi nzima ina
- Installed capacity ngapi?
- Active ni ngapi?
- Max demand ni ngapi? (Hapa wasitumie takwimu za uzalishaji wao ila uingizwaji wa generators kubwa zote kuanzia 625kVA)
Maji mpaka leo?
Tangu waliouza gesi kwa dharula pale mjengoni, mpaka sasa imepita miaka mingapi?
- Kujenga kituo kimoja cha kuzalisha umeme wa 300MW inachukua muda gani?
- Tumeshindwa kupata plant ya hata 1.2GW inayokuwa powered kwa gas? Jenga huko Mtwara li-plant likubwa, pinga Grid, ring cct, boresha distribution network, tuachie walalahoi tuserebuke nao
Mvua hakuna!!Kwenye Mafuta walisingizia Dollar sijui kwenye umeme watasingizia nini?
Ukame, tunasubiri elninotupate umeme wa kumwaga na kusaza,ila atakaye taka wa mkopo,ila wa kausha damu aje ila akiwa na ndoo za kutosha za kuubeba.😂😂😂😂Kwenye Mafuta walisingizia Dollar sijui kwenye umeme watasingizia nini?
Dotto ataangushiwa jumba bovuJamani hii hali mpaka lini? Mbona kama vile Biteko ni zaidi ya Makamba?
Na je Rais anafahamu kweli au hao machawa waliomzunguka wanamwambia hali ya umeme ni shwari tu?
Maana kanyamaza kimya hatii neno, kama kaamua 2025 hataki tena ndio adharau kwa sasa? Mie nadhani bora aachie tuu sasa hivi maana 2025 ni mbali sana kama ataachia mambo hivi hivi yaendelee!
Atimize wajibu au ajiweke pembeni kwa heshima yetu
Viongoz wa Africa always matatizo ya wananchi wao hawajali hata kdg, kwanza hua ni jeur san!! Naendelea kusimama na ma homie Donald Trump ✔️ Africa must be colonised again ✔️✔️Jamani hii hali mpaka lini? Mbona kama vile Biteko ni zaidi ya Makamba?
Na je Rais anafahamu kweli au hao machawa waliomzunguka wanamwambia hali ya umeme ni shwari tu?
Maana kanyamaza kimya hatii neno, kama kaamua 2025 hataki tena ndio adharau kwa sasa? Mie nadhani bora aachie tuu sasa hivi maana 2025 ni mbali sana kama ataachia mambo hivi hivi yaendelee!
Atimize wajibu au ajiweke pembeni kwa heshima yetu
Naunga mkono hojaYe yupo dunia nyingine..kibaya zaidi kakubali kudanganywa..wananchi wakimfata wamueleze ukweli anasema ana muda mchache hawezi kusikiliza.
Anataka kuwasikiliza viongozi wake anaojua hawatampa maneno yenye kero.
Ye hajui umeme kukatika wala maji kwa sababu dunia aliyopo sasa ni ngumu ku experience.
Hizi shida ukitaka kuzijua wape nafasi watu wa chini kutoa kero..ukiweka ukuta hutojua.
Utaambiwa tu umetoa billion kadhaa na sasa umeme upo vijiji vyote..umetoa billioni kadhaa na sasa maji yanapatikana vijijj vyote..nani kama mama...haijawai kutokea.
Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Tulisha kubaliana ni busara kukaa kimya kwenye kila Jambo nyeti linalohusu watanzania 😂😂😂Jamani hii hali mpaka lini? Mbona kama vile Biteko ni zaidi ya Makamba?
Na je Rais anafahamu kweli au hao machawa waliomzunguka wanamwambia hali ya umeme ni shwari tu?
Maana kanyamaza kimya hatii neno, kama kaamua 2025 hataki tena ndio adharau kwa sasa? Mie nadhani bora aachie tuu sasa hivi maana 2025 ni mbali sana kama ataachia mambo hivi hivi yaendelee!
Atimize wajibu au ajiweke pembeni kwa heshima yetu