Hivi Rais Samia anatambua hali ya umeme nchini kwa sasa? Mbona kimya kama hayamhusu?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,802
71,229
Jamani hii hali mpaka lini? Mbona kama vile Biteko ni zaidi ya Makamba?

Na je Rais anafahamu kweli au hao machawa waliomzunguka wanamwambia hali ya umeme ni shwari tu?

Maana kanyamaza kimya hatii neno, kama kaamua 2025 hataki tena ndio adharau kwa sasa? Mie nadhani bora aachie tuu sasa hivi maana 2025 ni mbali sana kama ataachia mambo hivi hivi yaendelee!

Atimize wajibu au ajiweke pembeni kwa heshima yetu
 
Jamani hii hali mpaka lini? Mbona kama vile Biteko ni zaidi ya Makamba?
Na jee Rais anafahamu kweli au hao machawa waliomzunguka wanamwambia hali ya umeme ni shwari tuu?
Maana kanyamaza kimya hatii neno, kama kaamua 2025 hataki tena ndio adharau kwa sasa? Mie nadhani bora aachie tuu sasa hivi maana 2025 ni mbali sana kama ataachia mambo hivi hivi yaendelee!
Atimize wajibu au ajiweke pembeni kwa heshima yetu
Kodi yenu inaandaa mikakati ya uchaguzi na jinsi ya kudhibiti chadema kwanza, hayo mengine hayatuhusu!
 
Jamani hii hali mpaka lini? Mbona kama vile Biteko ni zaidi ya Makamba?
Na jee Rais anafahamu kweli au hao machawa waliomzunguka wanamwambia hali ya umeme ni shwari tuu?
Maana kanyamaza kimya hatii neno, kama kaamua 2025 hataki tena ndio adharau kwa sasa? Mie nadhani bora aachie tuu sasa hivi maana 2025 ni mbali sana kama ataachia mambo hivi hivi yaendelee!
Atimize wajibu au ajiweke pembeni kwa heshima yetu
Lakini si huo mgao unaletwa na huo upungufu?
IMG-20230918-WA0044.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ye yupo dunia nyingine..kibaya zaidi kakubali kudanganywa..wananchi wakimfata wamueleze ukweli anasema ana muda mchache hawezi kusikiliza.

Anataka kuwasikiliza viongozi wake anaojua hawatampa maneno yenye kero.

Ye hajui umeme kukatika wala maji kwa sababu dunia aliyopo sasa ni ngumu ku experience.

Hizi shida ukitaka kuzijua wape nafasi watu wa chini kutoa kero..ukiweka ukuta hutojua.
Utaambiwa tu umetoa billion kadhaa na sasa umeme upo vijiji vyote..umetoa billioni kadhaa na sasa maji yanapatikana vijijj vyote..nani kama mama...haijawai kutokea.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Jamani hii hali mpaka lini? Mbona kama vile Biteko ni zaidi ya Makamba?
Na jee Rais anafahamu kweli au hao machawa waliomzunguka wanamwambia hali ya umeme ni shwari tuu?
Maana kanyamaza kimya hatii neno, kama kaamua 2025 hataki tena ndio adharau kwa sasa? Mie nadhani bora aachie tuu sasa hivi maana 2025 ni mbali sana kama ataachia mambo hivi hivi yaendelee!
Atimize wajibu au ajiweke pembeni kwa heshima yetu
Hapa nilipo toka asubuhi mpka sasa ni bila bila,

Tunapeta kwa nguvu ya solar panels

Asante mchina
 
Back
Top Bottom