Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,744
- 5,771
- Thread starter
- #21
K
Kweli ndio maana kuna mkuu wa wilaya katika kila wilaya anamuwakilisha raisSikiliza ndugu yangu.
Rais Magufuri si chochote si lolote, uwezo wake wa kutatua kero za wananchi unaishia kwenye upeo wa mache wake.
Kitu chochote kilicho mbali na upeo huo, hana uwezo wa kukitatua.