Hivi radio Clouds ndio wamekuwa wasemaji wa TANESCO?

Haa,ha..,clouds wamebuni mbinu mpya ya kujipromote kwa watangazaji wake kuingia humu jf na kupost post zinazohusu clouds na nyie munarespond da hawa jamaa watawafanya muwe munawaza mambo mepes.
 
Haa,ha..,clouds wamebuni mbinu mpya ya kujipromote kwa watangazaji wake kuingia humu jf na kupost post zinazohusu clouds na nyie munarespond da hawa jamaa watawafanya muwe munawaza mambo mepes.

Aaah wapi wala usiwasingizie Clouds. Wanaowapa free promo ni watu ambao hawahusiani kabisa na Clouds. Wao wanajifanya wanachukia kumbe kichinichini kama si kuwaonea wivu kwa mafanikio yao basi wanawa-admire.

Kuna mjinga mjinga mmoja alianzishaga mada ya kuhoji mishahara ya wafanyakazi wa Clouds. Waosha vinywa wakaanza kurusha madongo...eti wafanyakazi wa pale wanalaliwa. Sasa mimi nikajiuliza, hawa waosha vinywa wao wamalipwa mshahara kiasi gani na hao matajiri wao? Usikute ni vikaranga tu.
 
Background ya radio clouds watangazaji wake wote ni maDJ akiwepo huyo mkurugenzi wao Joseph! What do you expect?
 
kweli hawa watangazaji wa kipindi cha jahazi,sijui ndio kutafuta vyeo?leo wameibuka na hoja eti tatizo la kina cha maji kupungua kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme,ni wakulima wanaolima kando kando yake!ndio maana maji mengi yanapotea kabla hayajafika!na sio kuilaumu tanesco,eti wabaya we2u ni hawa wakulima!
hawa clouds ni viherehere sana kazi yao ni kujipendekeza kwa mafisadi kwa masilahi yao binafsi ili zinapotokea tender kama vile birthday za watoto wa mafisadi wapewe u-mc,hawana maana wamekuwa mpaka wasemaji wa mafisadi!!!
 
mimi nashangaa mnawapa promotion ya kiboya hawa masoro redio yenyewe imejaa mashoga na watangazaji wanaliwa kama mboga au kibonde anavyosambasa ngomaa mtaani ananyani hatumuoni-verse za sugu alivyowadis hawa maboya na masoro
 
mimi nashangaa mnawapa promotion ya kiboya hawa masoro redio yenyewe imejaa mashoga na watangazaji wanaliwa kama mboga au kibonde anavyosambasa ngomaa mtaani ananyani hatumuoni-verse za sugu alivyowadis hawa maboya na masoro
umeonaa?enhe!
 
Kibonge fani yake MC na totoz jamani na tena ni walewale wanaogawiwa umeme kwa punguzo msameheni.
 
Maoni yangu kuhusu ukaukaji wa mabwawa yetu: Ulikuwa ni mpango ambao uliandalia muda mrefu ya kuyatoa maji au kazifunga njia zake (vyanzo) ili yakauke na baadhi ya watu wakitegemea kuwa yakiisha kauka kutakuwa hakuna umeme wa ziada utatakiwa na wao kuingiza mitambo yao ya kufanya kazi, wakitegemea kujinufaisha wao na si kusingizia wananchi. Mungu Ibariki TANZANIA,tubariki Wananchi wake.
 
Back
Top Bottom