white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,316
- 13,282
kweli hawa watangazaji wa kipindi cha jahazi,sijui ndio kutafuta vyeo?leo wameibuka na hoja eti tatizo la kina cha maji kupungua kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme,ni wakulima wanaolima kando kando yake!ndio maana maji mengi yanapotea kabla hayajafika!na sio kuilaumu tanesco,eti wabaya we2u ni hawa wakulima!