Hivi R, L na H, ni Ugonjwa wa Taifa?

Ngoja tuache wabara wagombane hamna wanachojua hapo kweny lugha kazi kuweka ukabila mbele

Kuna moja ana masters ila meseji kama mtoto anavyoandika
Kuhusu L na R watu wa Pwani nao wanaogelea humohumo. Labda umkute Mswahili ambaye Kiswahili chake hakina mafungamano na Kizaramo,Kikwere,Kizigua, Kindengereko n.k.
 
Nimekaa Tanga sijawai kuona izo mambo kabisa ila watu wa bara nimeona sana nisema ukweli sijawai ona mdigo anachanganya izo mambo wanaongea kiswahili safi
Kuhusu L na R watu wa Pwani nao wanaogelea humohumo. Labda umkute Mswahili ambaye Kiswahili chake hakina mafungamano na Kizaramo,Kikwere,Kizigua, Kindengereko n.
 
Nimekaa Tanga sijawai kuona izo mambo kabisa ila watu wa bara nimeona sana nisema ukweli sijawai ona mdigo anachanganya izo mambo wanaongea kiswahili safi
Sasa shida yako huna data za kutosha. Wewe unaongea kiujumla tu. Nimekupa mifano ya makabila yenye shida hiyo, ndiyo maana unaona sikutaja wadigo. Pwani yenye shida ni maeneo hayo niliyotaja. Sijataja yote ,hata hivyo.

Bara pia si wote. Wachaga hawana shida hiyo. Huwezi kuta mchaga anachanganya R na L.

Sababu kubwa ni lugha za asili. Kama lugha yako ina R pekee,ukija kwenye Kiswahili utachanganya maana utakutana na L pia. Ukiwa na L pekee pia ni hivyohivyo.
 
Wachaga hawana shida hyo unageneralize umeona we ndo una shida hawajui kiswahili wachaga wanachanganya pia
Sasa shida yako huna data za kutosha. Wewe unaongea kiujumla tu. Nimekupa mifano ya makabila yenye shida hiyo, ndiyo maana unaona sikutaja wadigo. Pwani yenye shida ni maeneo hayo niliyotaja. Sijataja yote ,hata hivyo.

Bara pia si wote. Wachaga hawana shida hiyo. Huwezi kuta mchaga anachanganya R na L.

Sababu kubwa ni lugha za asili. Kama lugha yako ina R pekee,ukija kwenye Kiswahili utachanganya maana utakutana na L pia. Ukiwa na L pekee pia ni hivyohivyo.
Cha
 
Sasa shida yako huna data za kutosha. Wewe unaongea kiujumla tu. Nimekupa mifano ya makabila yenye shida hiyo, ndiyo maana unaona sikutaja wadigo. Pwani yenye shida ni maeneo hayo niliyotaja. Sijataja yote ,hata hivyo.

Bara pia si wote. Wachaga hawana shida hiyo. Huwezi kuta mchaga anachanganya R na L.

Sababu kubwa ni lugha za asili. Kama lugha yako ina R pekee,ukija kwenye Kiswahili utachanganya maana utakutana na L pia. Ukiwa na L pekee pia ni hivyohivyo.
Nimekaa na wachaga kiswahili hawajui vizuri huwezi fananisha na wazaramo ndugu yangu

Kama wewe mchaga naona tutabishana maana unaleta ujuaji kila sehemu lugha kifupi hamjui ulisikia mchaga na kiswahili wapi na wapi
 
cha muhimu tuanelewana basi ...

hayo mengine ni mbwembwe tu
Siyo kweli hata kidogo. Ni kilaza tu atakayesema namna lugha inavyoandikwa siyo muhimu bali muhimu ni kuelewana. Unasomaje shule kuanzia Chekechea mpaka Chuo Kikuu halafu hujui kutofautisha kuandika ''baridi'' na ''balidi''? Haya ni maneno mawili tofauti kabisa na ni lazima yaandikwe kwa ufasaha.
 
Nimekaa na wachaga kiswahili hawajui vizuri huwezi fananisha na wazaramo ndugu yangu

Kama wewe mchaga naona tutabishana maana unaleta ujuaji kila sehemu lugha kifupi hamjui ulisikia mchaga na kiswahili wapi na wapi
Kuna mambo mawili ambayo watu wanachanganya. Matamshi vs Maandishi. Mtu anapokosea matamshi hili angalau siyo baya kwani lugha mama inaweza kuathiri namna mtu anavyotamka maneno. Lakini kwa nini mtu ashindwe kuandika wakati ametumia muda mrefu shuleni kujifunza kuandika? Kwani shuleni siku hizi hawafundishi kuandika? Mbona zamani spelling za maneno zilikuwa ni kitu muhimu sana na karibu wanafunzi wote walikuwa wanamaliza huku wakijua kuandika maneno kwa ufasaha? Unasomaje miaka zaidi ya 15 lakini unapoamaliza unashindwa kutofautisha kuandika gari na gali?
 
Kuna mambo mawili ambayo watu wanachanganya. Matamshi vs Maandishi. Mtu anapokosea matamshi hili angalau siyo baya kwani lugha mama inaweza kuathiri namna mtu anavyotamka maneno. Lakini kwa nini mtu ashindwe kuandika wakati ametumia muda mrefu shuleni kujifunza kuandika? Kwani shuleni siku hizi hawafundishi kuandika? Mbona zamani spelling za maneno zilikuwa ni kitu muhimu sana na karibu wanafunzi wote walikuwa wanamaliza huku wakijua kuandika maneno kwa ufasaha? Unasomaje miaka zaidi ya 15 lakini unapoamaliza unashindwa kutofautisha kuandika gari na gali?
Nimekuelewa nilikuwa na jamaa alikuwa anatokea morogoro mwanae fatuma anaitwa fyatuma lakini anaandika fatuma

Mi naongelea kutamka wachaga hawajui kiswahili labda wa mikoani ila sio moshi wanachanganya kiswahili safi wadigo Tanga mjini na Zanzibar hata hapa dar kipo na pwani
 
Nimekaa na wachaga kiswahili hawajui vizuri huwezi fananisha na wazaramo ndugu yangu

Kama wewe mchaga naona tutabishana maana unaleta ujuaji kila sehemu lugha kifupi hamjui ulisikia mchaga na kiswahili wapi na wapi
Acha ukumbwiga wewe. Tunazungumzia tatizo la R na L ,hatuzungumzii Kiswahili kwa ujumla. Kuwa makini,kama umefumaniwa,subiri hofu ikuishe ndo uchangie mada kama hizi. Hii si singeli ndugu

Sina maslahi ya Mzaramo wala ya Wachaga. Ninawajadili wote kwa lengo la kujifunza.

Kwanza nikuelekeze kitu,kujua ama kutojua Kiswahili si dhambi. Halafu, hapa hatujadili Kiswahili kwa ujumla,tunajadili tatizo la R na L ambalo lipo kisayansi. Lina majibu yake kitaalamu. Kama lugha yako haina moja ya hizo sauti lazima utapata shida ukikutana na lugha ambayo inazo zote mbili,mfano ,Kiswahili. Wachaga wanazo hizo sauti mbili, hawapati shida nazo kwenye Kiswahili. Ninaweza pia kujadili changamoto wanazokumbana nazo Wachaga wanapozungumza Kiswahili, lakini, haikuwa sehemu ya mjadala. Mjadala wetu ni R na L.

Aidha, uache ubongolala. Lugha za mwambao, Kizaramo, Kikwere n.k. si Kiswahili, ndiyo maana zikawa lugha zinazojitegemea. Kwahiyo, kuna maeneo na wao wanatofautiana na Kiswahili. Na wao wanapata shida ikiwemo R na L.

Kama huna akili za skunk utaelewa,kama umekaa kubishana mradi tu ushinde endelea na ukum... wako.
 
Kuna mambo mawili ambayo watu wanachanganya. Matamshi vs Maandishi. Mtu anapokosea matamshi hili angalau siyo baya kwani lugha mama inaweza kuathiri namna mtu anavyotamka maneno. Lakini kwa nini mtu ashindwe kuandika wakati ametumia muda mrefu shuleni kujifunza kuandika? Kwani shuleni siku hizi hawafundishi kuandika? Mbona zamani spelling za maneno zilikuwa ni kitu muhimu sana na karibu wanafunzi wote walikuwa wanamaliza huku wakijua kuandika maneno kwa ufasaha? Unasomaje miaka zaidi ya 15 lakini unapoamaliza unashindwa kutofautisha kuandika gari na gali?
Hilo la kusema afadhali kukosea X au Y ni mtazamo ninadhani. Mimi ninaona kote ni shida. Maana maandishi ni kopi ya matamshi

Ukimwambia mtu "Kwa jiLani kuna kaLamu iliyohudhuriwa na watu wengi" haijalishi uwe umeandika au umetamka utaleta shida. Kumbe ungeandika au ungetamka 'kaRamu' mambo yangeenda sawa.

Sasa njnashindwa kuona nafuu iwapi wakati kote,matamshi na maandishi yaweza leta mtafaruku.
 
Hilo la kusema afadhali kukosea X au Y ni mtazamo ninadhani. Mimi ninaona kote ni shida. Maana maandishi ni kopi ya matamshi

Ukimwambia mtu "Kwa jiLani kuna kaLamu iliyohudhuriwa na watu wengi" haijalishi uwe umeandika au umetamka utaleta shida. Kumbe ungeandika au ungetamka 'kaRamu' mambo yangeenda sawa.

Sasa njnashindwa kuona nafuu iwapi wakati kote,matamshi na maandishi yaweza leta mtafaruku.
Ndugu yangu hebu tufikirie kwa mapana na marefu. Nakuhakikishia kuwa kujifunza lugha ngeni mara nyingi ni lazima kunakuwa na hitilafu kwenye matamshi. Kuna lugha kama kifini nakuambia ukijifgunza ukubwani kutamka baadhi ya maneno kama inavyotakiwa hutaweza. Kwa upande wa kiswahili tukubali kuwa japo ni lugha ya taifa lakini kuna wengi wanajifunza ukubwani kwani vijijini hakitumiki sana. Na ukishazoea matamshi fulani ni vigumu kurekebisha. Ndiyo maana mpaka sasa mhindi akijifunza kiingereza utamjua kutokana na matamshi. Hivyo hivyo mzungu kwa kiswahili.
 
Acha ukumbwiga wewe. Tunazungumzia tatizo la R na L ,hatuzungumzii Kiswahili kwa ujumla. Kuwa makini,kama umefumaniwa,subiri hofu ikuishe ndo uchangie mada kama hizi. Hii si singeli ndugu

Sina maslahi ya Mzaramo wala ya Wachaga. Ninawajadili wote kwa lengo la kujifunza.

Kwanza nikuelekeze kitu,kujua ama kutojua Kiswahili si dhambi. Halafu, hapa hatujadili Kiswahili kwa ujumla,tunajadili tatizo la R na L ambalo lipo kisayansi. Lina majibu yake kitaalamu. Kama lugha yako haina moja ya hizo sauti lazima utapata shida ukikutana na lugha ambayo inazo zote mbili,mfano ,Kiswahili. Wachaga wanazo hizo sauti mbili, hawapati shida nazo kwenye Kiswahili. Ninaweza pia kujadili changamoto wanazokumbana nazo Wachaga wanapozungumza Kiswahili, lakini, haikuwa sehemu ya mjadala. Mjadala wetu ni R na L.

Aidha, uache ubongolala. Lugha za mwambao, Kizaramo, Kikwere n.k. si Kiswahili, ndiyo maana zikawa lugha zinazojitegemea. Kwahiyo, kuna maeneo na wao wanatofautiana na Kiswahili. Na wao wanapata shida ikiwemo R na L.

Kama huna akili za skunk utaelewa,kama umekaa kubishana mradi tu ushinde endelea na ukum... wako.
Toa uthenge wako kuwa na adabu mbwiga aliyekuzaa mbwa jibu kwa adabu umesikia usilete ushamba unaambiwa ukweli wanachanganya pia jamaa aliadika alifu sijui ndo arifu
 
Acha ukumbwiga wewe. Tunazungumzia tatizo la R na L ,hatuzungumzii Kiswahili kwa ujumla. Kuwa makini,kama umefumaniwa,subiri hofu ikuishe ndo uchangie mada kama hizi. Hii si singeli ndugu

Sina maslahi ya Mzaramo wala ya Wachaga. Ninawajadili wote kwa lengo la kujifunza.

Kwanza nikuelekeze kitu,kujua ama kutojua Kiswahili si dhambi. Halafu, hapa hatujadili Kiswahili kwa ujumla,tunajadili tatizo la R na L ambalo lipo kisayansi. Lina majibu yake kitaalamu. Kama lugha yako haina moja ya hizo sauti lazima utapata shida ukikutana na lugha ambayo inazo zote mbili,mfano ,Kiswahili. Wachaga wanazo hizo sauti mbili, hawapati shida nazo kwenye Kiswahili. Ninaweza pia kujadili changamoto wanazokumbana nazo Wachaga wanapozungumza Kiswahili, lakini, haikuwa sehemu ya mjadala. Mjadala wetu ni R na L.

Aidha, uache ubongolala. Lugha za mwambao, Kizaramo, Kikwere n.k. si Kiswahili, ndiyo maana zikawa lugha zinazojitegemea. Kwahiyo, kuna maeneo na wao wanatofautiana na Kiswahili. Na wao wanapata shida ikiwemo R na L.

Kama huna akili za skunk utaelewa,kama umekaa kubishana mradi tu ushinde endelea na ukum... wako.
Sasa wewe ubishane na mimi kwa akili gani ulivyokuwa nayo kilaza mtupu shobo kibao ukweli si ndo huo una elimu gani hyo ya kuiba mitihani ndo uje bishana

Tafuta washamba wenzio waoza meno ndo ubishane nao #maku
 
Siyo kweli hata kidogo. Ni kilaza tu atakayesema namna lugha inavyoandikwa siyo muhimu bali muhimu ni kuelewana. Unasomaje shule kuanzia Chekechea mpaka Chuo Kikuu halafu hujui kutofautisha kuandika ''baridi'' na ''balidi''? Haya ni maneno mawili tofauti kabisa na ni lazima yaandikwe kwa ufasaha.
wewe unachoona ni fasaha mimi naona umekosea sasa hapo ndio utajiongeza
 
Ndugu yangu hebu tufikirie kwa mapana na marefu. Nakuhakikishia kuwa kujifunza lugha ngeni mara nyingi ni lazima kunakuwa na hitilafu kwenye matamshi. Kuna lugha kama kifini nakuambia ukijifgunza ukubwani kutamka baadhi ya maneno kama inavyotakiwa hutaweza. Kwa upande wa kiswahili tukubali kuwa japo ni lugha ya taifa lakini kuna wengi wanajifunza ukubwani kwani vijijini hakitumiki sana. Na ukishazoea matamshi fulani ni vigumu kurekebisha. Ndiyo maana mpaka sasa mhindi akijifunza kiingereza utamjua kutokana na matamshi. Hivyo hivyo mzungu kwa kiswahili.
Hatuzungumzii ugumu au urahisi ninadhani. Tunazungumzia usahihi. Mimi nikizungumza Kiha kibovu kwakuwa ni mgeni wa lugha hiyo,hakuhalalishi makosa yangu.
Nikikosea nakosea tu,na ni tatizo. Ugeni wangu wa lugha hakuondoi tatizo. Wala sisemi ukikosea ni dhambi au uuawe,hapana,nasema kosa ni kosa tu,liwe la matamshi au kuandika
 
Toa uthenge wako kuwa na adabu mbwiga aliyekuzaa mbwa jibu kwa adabu umesikia usilete ushamba unaambiwa ukweli wanachanganya pia jamaa aliadika alifu sijui ndo arifu
Ulidhani huu ni ushabiki kama wa mpira nini. Sasa kasome ,hili si suala la Simba na Yanga,ni sayansi hii

Wachaga kama watu wengine,wanachapia maeneo mengi ya Kiswahili lakini si L na R. Ni pigheaded people like you ndiyo kwa kudhani hii ni ligi,huja na hoja za kiboya kama zako. Pedant.
 
Back
Top Bottom