Baadhi ya Maprofesa wanaharibu Kiswahili kutokana na kuathiriwa na lugha za makabila yao

BIG THINKER

JF-Expert Member
May 20, 2018
680
1,420
Kama kichwa cha habari kinavyosema.

Nitaandika kwa ufupi sna Ili mnielewe.

Mfano kuna kabila haliwezi kutamka herufi h, kuna kabila lingine hawajui tofauti ya r na l, sasa hawa watu siku uwaweke kwenye jopo la kutengeneza maneno ya Kiswahili unajua nini kitatokea!?

Mbaya zaidi kuna wakati Maprofesa wote wanatokea kabila moja hapo ni kuweka maneno yao tu.

Mfano neno "Akili" linatokana na neo "Hakili" kwa Sababu wakati hili neno linawekwa kwenye kamusi Kuna kabila moja tu la Maprofesa walikuwa hapo wakapitisha, lakini ukweli ni kutokana na lugha mama zao.

Kipindi tunasoma miaka hiyo neno lililokuwa linatumika ni "Hakili" lakini baada ya Maprofesa wa kabila hilo kukaa wakatuletea neo "Akili".

Acha maisha yaendelee.


Nitarudi.......
 
Kama kichwa Cha habari kinavyosema



Nitaandika kwa ufupi sna Ili mnielewe

Mfano Kuna kabila haliwezi kutamka herufi h, Kuna kabila lingine hawajui tofauti ya r na l Sasa Hawa watu siku uwaweke kwenye jopo la kutengeneza maneno ya kiswahili unajua nn kitatokea!?


Mbaya zaidi Kuna wakati MAPROFESA wote wanatokea kabila Moja hapo ni kuweka maneno Yao tu


Mfano neno "AKILI" linatokana na neo "HAKILI" kwa Sababu wakati hili neno linawekwa kwenye kamusi Kuna kabila Moja tu la MAPROFESA walikuwa hapo wakapitisha lakin ukweli ni kutokana na lugha mama zao


Kipindi tunasoma Miaka hiyo neno lililokuwa linatumika na "HAKILI" lakin baada ya MAPROFESA wa kabila Hilo kukaa wakatuletea neo "AKILI"


Acha maisha yaendelee.


Nitarudi.......
Sasa wewe mwenyewe unaandika RUGHA badala ya LUGHA

unapata wapi ujasiri wa kuwachambua Maprofesa?
 
BAADHI YA MAPROFESA WANAHARIBU RUGHA YETU KWA SABABU YA RUGHA YA KISWAHILI KWA SABABU YA MAKABILA YAO

Hiki nini? Mboni unachagua ubao wewe?
 
Back
Top Bottom