Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,264
Kuna wakati nilifikiri hili ni tatizo la baadhi ya kanda au mikoa fulani ila nimegundua sasa kila mkoa wa Tanzania wapo watu wengi wanaongea na kuandika kwa kuchanganya hizi herufi mbili, mfano mtu anasema.
Tofari badala ya Tofali
Karamu badala ya Kalamu
Siraha badala ya Silaha
Mchere badala ya Mchele
Jasili badala ya Jasiri
Lekebisha badala ya Rekebisha n.k
BAKITA fanyeni uchunguzi muone kama ni matatizo katika ubongo, kushindwa kukaza ulimi kwa wazungumzaji au udhaifu katika ufundishaji wa Kiswahili shule za msingi ndio kumepelekea tatizo hilo kushika kasi kila kona ya nchi, ukisikiliza vi online TV ndio kichefuchefu zaidi, ni kama hicho ndio kigezo cha kuwa mtangazaji huko.
Tofari badala ya Tofali
Karamu badala ya Kalamu
Siraha badala ya Silaha
Mchere badala ya Mchele
Jasili badala ya Jasiri
Lekebisha badala ya Rekebisha n.k
BAKITA fanyeni uchunguzi muone kama ni matatizo katika ubongo, kushindwa kukaza ulimi kwa wazungumzaji au udhaifu katika ufundishaji wa Kiswahili shule za msingi ndio kumepelekea tatizo hilo kushika kasi kila kona ya nchi, ukisikiliza vi online TV ndio kichefuchefu zaidi, ni kama hicho ndio kigezo cha kuwa mtangazaji huko.