Mkuu Lugha inazungumzwa na kuandikwa pia. Tena ya kuandika ndiyo ya muhimu zaidi kwa sababu inakuwa documented (sijui Kiswahili cha hili neno, kama wajua nijuze) na hivyo kuwafia wengi zaidi wakati huo mwandishi haupo nao, japo kwa upande wa wana-habari kama radio, tv, nk hata hiyo ya kuongea, lugha fasaha ni muhimu pia.
Nilichokusudia mimi kukuambia, kupasi mtihani wa darasani sio hoja kabisa ya kuwa wewe ndio mwenye lugha, Hata mtoto wa kizungu akiingia tuition miaka miwili anaweza faulu pia.