donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,130
- Thread starter
- #21
Daah umeua mkuu......atazeekaje wakati halimi kwa jembe la mkono.......haya ya uzee ni ya huku kwetu AFRICA mashariki tunaoishi kwenye tembe....
Sure son, sure!Umenotice kwamba jamaa ana age slowly sana ni almost like hes an immortal
He's good mkuuHuyu jamaa habadiliki kabisa aisee ... I love his songs
Yes am happyyyybecause am happy .... furahi uongeze siku za kuishi.........
Ni kweli kabisa mkuuKama umewahi kusikia watu wanaitwa baby face basi ndio huyo jamaa...
BBC with MoBBillionaire Boys Club
ExceptionalJamaa anakubalika xn over the world
Hahahahahahaha naipataje hiyo parody mkuu?Jamaa ni ageless alinyimwa kabisa uzee.
Ila kuna muda hata yeye mwenyewe huwa haipendi hiyo halii na hasa pale anapokutana na watu wasiomjua wana mtreat kama mtoto hivi.
na kweli kwa muonekano tu anaonekana ni kama U-20.
Na hata kwenye parody ya HAPPY wamemdiss eti "i am 41but i damn look like i'm 8"
In his 40'sUmri wake?
Yes mkuuYuko vizuri.
Anaitwa Maregesi Gerald Mroba Kanakanshungu MweruNi nani huyu?
Kweli usemalobecause am happy .... furahi uongeze siku za kuishi.........