Hivi pesa inapatikana wapi?

Hivi pesa inapatikana wapi?

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
5,632
Reaction score
8,310
Naomba nijibiwe hili swali kwa weledi bila kejeli wala mzaha

Hakuna mtu hapendi pesa wadau na kila siku watu hujituma kutafuta pesa sasa pesa huwa inapatikana wapi?

Naomba nieleweke nikisema pesa simaanishi vipesa vya kula namaanisha pesa nyingi

Karibuni
 
Pesa nyingi bila shaka zinapatikana kwenye biashara zote halamu.
Pia serikalini kuna pesa nyingi sana ambazo ni kodi zetu wananchi na viongozi wa serikalini wanazifuja.
Epuka utapeli wa kwamba pesa zinatolewa kwa muujiza fulani, kwamba kuna jini linaweza kukupatia pesa huo ni utapeli.
Pesa ni kitu halisi, siyo kitu cha kiimani.
Kwahiyo pesa zote zinatoka BOT na siyo kwamba kuna mzimu fulani unaweza kuzalisha na kukupatia pesa.
 
Naomba nijibiwe hili swali kwa weledi bila kejeli wala mzaha

Hakuna mtu hapendi pesa wadau na kila siku watu hujituma kutafuta pesa sasa pesa huwa inapatikana wapi?

Naomba nieleweke nikisema pesa simaanishi vipesa vya kula namaanisha pesa nyingi

Karibuni
Pesa ni product ya hivi vitu vitatu.
1.Muda
2.Watu
3. Pesa yenyewe.
 
Book: The school of money by Olamide Emmanuel

"Money hides in people"
"Money hides in problem"
"Money hides hides in gifts and talents"
"Money hides in opportunities"
"Money hides in products and services"
"Money hides in ideas"
"Money hides in vision"
"Money hides in work"
"Money hides in seed"
 
Pesa nyingi bila shaka zinapatikana kwenye biashara zote halamu.
Pia serikalini kuna pesa nyingi sana ambazo ni kodi zetu wananchi na viongozi wa serikalini wanazifuja.
Epuka utapeli wa kwamba pesa zinatolewa kwa muujiza fulani, kwamba kuna jini linaweza kukupatia pesa huo ni utapeli.
Pesa ni kitu halisi, siyo kitu cha kiimani.
Kwahiyo pesa zote zinatoka BOT na siyo kwamba kuna mzimu fulani unaweza kuzalisha na kukupatia pesa.
Biashara halamu ni kama zipi mkuu
 
Hebu tupe mitego mkuu mbona yakwetu hainasi
Kwa uelewa wangu, mitego ya pesa ipo kwenye fursa zilizopo mtaani hizi fursa huweza kuwa ni changamoto na matatizo ya watu mfano Mwamposa anatembelea V8 kutokana na matatizo ya watu na sikuhizi kuna watu wanauza machine za kukunia nazi kwahiyo wametumia fursa kutengeza pesa.

Ila kuconvert fursa kuwa hela ndo kunahitaji akili.
 
Book: The school of money by Olamide Emmanuel

"Money hides in people"
"Money hides in problem"
"Money hides hides in gifts and talents"
"Money hides in opportunities"
"Money hides in products and services"
"Money hides in ideas"
"Money hides in vision"
"Money hides in work"
"Money hides in seed"
Mambo ni mengi muda mchache
 
Kwa uelewa wangu, mitego ya pesa ipo kwenye fursa zilizopo mtaani hizi fursa huweza kuwa ni changamoto na matatizo ya watu mfano Mwamposa anatembelea V8 kutokana na matatizo ya watu na sikuhizi kuna watu wanauza machine za kukunia nazi kwahiyo wametumia fursa kutengeza pesa.

Ila kuconvert fursa kuwa hela ndo kunahitaji akili.
Aisee mtaani kila fursa Ina watu kibao sioni fursa mpya
 
Back
Top Bottom