The Giant
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 504
- 96
Wakuu salama?
Kwa wale ambao bado mnasoma, au tuna ndugu zetu/watoto wetu bado wanasoma Kidato cha 5/6. Hivi yule Mwalimu wa Kiingereza Ostadhi Shaaban Omar bado yupo? Na bado anafundishia kwenye center yake ya pale Chang'ombe Maduka 2?
Kma hayupo, kuna Mwalimu yeyote wa Tuition ya Kiingereza mwenye uwezo wa kufundisha vizuri kama yeye au zaidi ya pale?
Kama yupo naomba mnijulishe, Anko wangu yupo Kidato cha 5(KLF) shule moja maarufu hapa Dar. Karudi anasema ndio kwanza wapo katika utangulizi na Mwalimu wake kuingia ni nadra sana.
Naombeni mnijulishe nimsaidie binti yangu jahazi lisizame.
Shukrani!
Kwa wale ambao bado mnasoma, au tuna ndugu zetu/watoto wetu bado wanasoma Kidato cha 5/6. Hivi yule Mwalimu wa Kiingereza Ostadhi Shaaban Omar bado yupo? Na bado anafundishia kwenye center yake ya pale Chang'ombe Maduka 2?
Kma hayupo, kuna Mwalimu yeyote wa Tuition ya Kiingereza mwenye uwezo wa kufundisha vizuri kama yeye au zaidi ya pale?
Kama yupo naomba mnijulishe, Anko wangu yupo Kidato cha 5(KLF) shule moja maarufu hapa Dar. Karudi anasema ndio kwanza wapo katika utangulizi na Mwalimu wake kuingia ni nadra sana.
Naombeni mnijulishe nimsaidie binti yangu jahazi lisizame.
Shukrani!