Hivi nyie wanawake mna shida gani?

Hivi nyie wanawake mna shida gani?

Ukipata mdada mwenye mawazo ya kuchuna una taabu sana... It's horrible, kipato chenyewe cha kuchunana kiko wapi...
Mtu mwenyewe wala hana time na wewe, baby nyingi zisizo na kichwa wala mabega....
 
wanaume wa siku hizi michosho tu toka lini mwanaume wa ukwel akalialia
 
Mimi hakuna dem anaesogeaga na wanaambiana kabisaaaaaaaaaa yu jamaa mgumu
na apo ni baada ya kumla demu af nikampa buku mbili ya boda boda uso mbuzi nakupa za mgongo tafutahela yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom