Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,118
- 165,394
Hahaaaa atafute papuchi yake..hahaaa
Eeeh sasa papuchi anataka akiombwa hela ya uchakavu, mayowe...bora atafute yake
Hahaaaa atafute papuchi yake..hahaaa
mwambie wazi kwamba mwanaume asoweza kuwalinda wa karibu yake basi huyo si mwanume............
wahenga walisema
'shona kanzu kadiri ya kimo chako'
hivyo asishobokee wasokuwa hadhi yake,
mtu mzima anapanga nyumba ya mganga halafu anaogopa kunuka uvumba...............
nashanga''''''''''''
Mi nakushairi bora uwe single haya mengine achie wanaume wanaojiwezaa
hivi wanawake mmekuaje mbona siwaelewi vile hasa wa mjini mmekuja kua tegemezi hasa mnapopata boyfriend mpya
mara naomba hela ya vocha,mara ya saloon,mara kodi ya nyumba imekwisha,mara nitoe out bill ikija alipe mwanaume wewe kimyaaa,hv hamjui kuwa na sisi tunamajukum ya kulea wazazi?au mnafikiri hizo hela tunaokota?
eti ndo mnataka haki sawa,kama mnapenda kuomba kaen na mabakuli njian tutawasaidia.naomba niwaeleze sasa hv
kila kitu pasupasu hakuna kumtegemea mwenzio wizi mtupu.ukimpa hela utaitwa majina yote mara honey apple dear
wizi mtupu.na siku hizi wameanzisha mtindo eti hata ukijamba anakupa pole honey hujaumia,nan kakwambia kupumua unaumia?NAOMBA TUHESHIMIANE..........
hivi wanawake mmekuaje mbona siwaelewi vile hasa wa mjini mmekuja kua tegemezi hasa mnapopata boyfriend mpya
mara naomba hela ya vocha,mara ya saloon,mara kodi ya nyumba imekwisha,mara nitoe out bill ikija alipe mwanaume wewe kimyaaa,hv hamjui kuwa na sisi tunamajukum ya kulea wazazi?au mnafikiri hizo hela tunaokota?
eti ndo mnataka haki sawa,kama mnapenda kuomba kaen na mabakuli njian tutawasaidia.naomba niwaeleze sasa hv
kila kitu pasupasu hakuna kumtegemea mwenzio wizi mtupu.ukimpa hela utaitwa majina yote mara honey apple dear
wizi mtupu.na siku hizi wameanzisha mtindo eti hata ukijamba anakupa pole honey hujaumia,nan kakwambia kupumua unaumia?NAOMBA TUHESHIMIANE..........
Tema mate tuwachape hao Mademu wamezidi. Na sasa tunasepa nibora tununue tuu.:flypig:
Wanawake ni viumbe wa ajabu sana.....!!!!!!
Sababu siijuiKwa nini
Hawaeleweki!!na kivipi?
Sababu siijui
Hawaeleweki!!