Hivi nyie wanawake mna shida gani?

Hivi nyie wanawake mna shida gani?

Biblia katika kitabu cha Ayubu 13:5 inasema “Laiti mngenyamaza kabisa, hilo lingekuwa hekima kwenu’. Sikia mwanamke, licha ya matendo, hekima kwa sehemu kubwa inadhihirika kwa njia ya kinywa, naam kunyamaza ni bora kuliko kunena, na hasa unapokuwa na hasira, chunga sana usinene maana hekima haifanyi kazi na hasira bali upole
 
Pole sna Mpwa yote uliongea ni ya kweli kabisa na ukweli mtupu,ila hapo kwenye red mwenzio nilianza zamani kidogo yaani siku hizi hata tukiwa "mpirani" lazima tubadilishane goli....kwanini mimi nicheze upande mmoja tu hadi mpira uishe? Niliamua kuwa nikichezacheza baada ya muda tunabadilishana goli, na wewe unakuja juu unahangaika weee kama na mimi nilivyokuwa na hangaika, sio nipige chenga peke yangu.

hahahhhhaaaaaaaa.hapo umekomesha
 
Mimi hakuna dem anaesogeaga na wanaambiana kabisaaaaaaaaaa yu jamaa mgumu
na apo ni baada ya kumla demu af nikampa buku mbili ya boda boda uso mbuzi nakupa za mgongo tafutahela yako

nyie madem wa jf somen hapo juu
 
Kuna upuuzi mtupu hapa. Hakuna majukumu ya kike wala kiume, labda kwenye mambo ya kuzaa TU ambayo kweli kuna ishu za kibaiolojia ndani.

Nani kasema kulipia nyumba ni jukumu la kiume? Wewe unaongea mambo ya utamaduni, na utamaduni unabadilika kila mara.

Nyie wanawake mnataka haki sawa, kumbe nyie ni wanafiki tu. Mnataka haki ya kufanya kazi, lakini ukifika wakati wa kulipia kitu chochote hamtaki kutoa hela, mnataka kuendelea kuchuna wanaume tu.

Zamani wanaume walikuwa na majukumu ya kulipia vitu vingi kwa sababu wanaume ndo walikuwa wanafanya kazi na walikuwa na hela. Kazi ya mwanamke ilikuwa kukaa nyumbani na kuzaa watoto. Basi. Kwa hali hiyo lazima wanaume wawe na majukumu.

Sasa hivi mnadai haki zote. Na mimi na sema ni vizuri tu, nataka usawa kati ya wanaume na wanawake. LAKINI, huwezi kusema unataka usawa halafu bado mnakuwa tegemezi kwa wanaume wenu hata mkiwa na kazi zenu.

Kwa hiyo, chagueni mnataka nini - haki sawa, au kuendelea kuwa housewives mpaka mwisho. Kama mnataka kuwa housewives jitoeni kazini na vyuoni, nendeni kukaa nyumbani, na sisi wanaume tutawalipia kila kitu. Lakini kama mnataka kazi zenu na pesa zenu, ACHENI KUTUCHUNA SISI WANAUME.

nadhani swala la mwanaume kutunza familia yake si utegemezi wa mwanamke fanya yooote hata kama umeoa director wa World Bank please make sure wewe ni mme wake kuwa kichwa cha familia yako, na kuwa kichwa si kukibeba hichi ilichonacho ni kuhakikisha unaitunza familia yako utaheshimika sana.
kuhusu haki sawa naona wengi wetu hatulielewi kabisa, haki sawa ya elimu, na umiliki wa ardhi na mengineyo kwa kuwa zamani wanawake walinyimwa, lakini still bado mama atabaki kuwa mama na baba atabaki kuwa baba. ukitaka uheshimike kwenye ndoa please play ur role
 
Pole sna Mpwa yote uliongea ni ya kweli kabisa na ukweli mtupu,ila hapo kwenye red mwenzio nilianza zamani kidogo yaani siku hizi hata tuikiwa "mpirani" lazima tubadilishane goli....kwanini mimi nicheze upande mmoja tu hadi mpira uishe? Niliamua kuwa nikichezacheza baada ya muda tunabadilishana goli, na wewe unakuja juu unahangaika weee kama na mimi nilivyokuwa na hangaika, sio nipige chenga peke yangu.
Yaani ukiwa bored ingia jf utakuwa released. Mkuu elly umenichekesha na issue ya kubadilishana goli
 
Nyie mnaotaka kuishi kwa tamaduni hizo za mwanamke kulipa bills kaoeni huko huko hizo tamaduni zilipoanzia. Si mnajifanya hodari kwa kuiga???
Hamnaga pasu kwa pasu kwenye tamaduni za kiafrika.
Tabia mbaya tu mnaiga na kujiona wajanja. Tabia za kulalamika lalamika na kuona mnapunjwa. Wazazi wako ni jukumu lako na mwanamke wako pia ni jukumu lako. We unafikiri kuitwa mwanaume ni show tu?
Mpaka bill ya chakula na kodi ulipiwe na mwanamke, papuchu upewe, vocha upewe, chakula upikiwe uje ule. Waiiiiiiiiiiii!
Hamna kitu hapo. Uozo mtupu.
 
Nani kasema wanawake walipie kila kitu? Kama baba na mama wote wanafanya kazi, inatakiwa washirikiane kulipia bili na madeni. Na kila mtu achangie kutokana na uwezo wake na kiasi cha mshahara anaopata. Shida iko wapi? Wewe kama mwanamke ukitaka kulipiwa kila kitu kwa nini ufanye kazi? Si ubaki nyumbani tu?

Wewe unaongea sana kuhusu tamaduni za kiafrika, lakini huelewi kabisa kwamba kwenye hizo tamaduni wanawake hawakuwa na haki yoyote. Unataka hivi? Kwa sababu haieleweki ukisema unataka wanawake wawe na haki zao (kitu ambacho ni kinyume cha tamaduni za kiafrika) lakini bado pia unataka wanaume wabaki na majukumu yote.

Kwangu mimi nahisi kuna uvivu kwenye wanawake wengi. Wanasema wanataka haki sawa lakini likija suala la utekelezaji wa majukumu hawataki. Wengi wameshatambua kwamba kuwa na majukumu mengi si mchezo, kwa hiyo hata wakiwa na elimu, kazi, na pesa, bado wanataka kukaa kaa tu na wanaume wafanye kila kitu. Si wote, kuna wanawake wengi siku hizi ambao wanajituma kweli na wala hawataki kutegemea wanaume. Hawa ndo wale ambao wanafanikiwa kimaisha kwa sababu wana akili, si kama nyie ambao mnatumia akili zenu kwa ajili ya kuchuna tu.


Nyie mnaotaka kuishi kwa tamaduni hizo za mwanamke kulipa bills kaoeni huko huko hizo tamaduni zilipoanzia. Si mnajifanya hodari kwa kuiga???
Hamnaga pasu kwa pasu kwenye tamaduni za kiafrika.
Tabia mbaya tu mnaiga na kujiona wajanja. Tabia za kulalamika lalamika na kuona mnapunjwa. Wazazi wako ni jukumu lako na mwanamke wako pia ni jukumu lako. We unafikiri kuitwa mwanaume ni show tu?
Mpaka bill ya chakula na kodi ulipiwe na mwanamke, papuchu upewe, vocha upewe, chakula upikiwe uje ule. Waiiiiiiiiiiii!
Hamna kitu hapo. Uozo mtupu.
 
Mwanamke ambaye bado anamtegemea mwanaume kwa kila kitu ni wachache sanaaa, nina uhakika umeliona hilo hata wewe. Kwasababu ya vitu kama hivi.mnavyopigia kelele humu. Mimi kitu ambacho nawashangaa ni kutaka kugawana majukumu yenu na wanawake zenu. Muache mwanamke achangie kwa hiari yake pale inapobidi. Kwa mfano, umezidiwa, unaumwa, umesafiri, mambo yahajakaa sawa nk. Na hua tunachingia kwa kiasi kikubwa mnoo, wewe hata usipompa pesa, chakula na mahitji mingine muhimu nyumbani hayawezi kukosekana kama una mwanamke mwenye akili nyumbani.
Lakini hili lisiwafanye mchukulie kama ni wajibu wake, na mkaja kulalamika humu akishindwa au asipoweza kuchangia cost za maisha.
Na wengine mnathubutu kusema kabisa mimi mwanamke ambaye hajasoma na hana kazi sioi.
Unaoa mke au mtu wakukulipia rent na bill ya chakula?

Wanawake tegemezi kwa kila kitu wamebakia wachache, partly because of ugumu na changamoto za maisha na pia machale yameshatucheza kama tabia zenu ndio hizi mnazotuonyesha za kutaka pasu kwa pasu kwa majukumu.

Kwa kumalizia, wewe mwanaume timiza wajibu wako kama mwanaume, kama una mwanamke ambaye anauwezo wakukusaidia kwa kiasi chochote kile mshukuru Mungu lakini sio kutaka kumlalia na ku demand kabisa alipe bills. Afterall raha ya mwanaume iko wapi kama haezi lipa hela ya vitu vidogo kama bill za restaurant, kodi hata vocha?
Tazameni hili swala upya, mimi kibinafsi naona kama mnajisahau kwa kiasi fulani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom