fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,553
- 9,033
Hii mimi nimetumia sanaOya Dokta, nitakuamini pale utakaponambi wewe ulipona kwa hiyo dawa.
Hii mimi nimetumia sanaOya Dokta, nitakuamini pale utakaponambi wewe ulipona kwa hiyo dawa.
We kwani ni Msela au Demu/Manzi? ‼️Oya nye watu mliopo humu... Jana kuna demu nimemzingua kisa kasema sura yangu imeharibika.
Hebu mnambie nitumie dawa gani ili niondoe chunusi huku usoni.
umeimarika ukiwa na maana?Sijui kwanini hii comment yako imefanya uboo wangu umeimarika.
Ulifanikiwa lakini?Hii mimi nimetumia sana
NdioUlifanikiwa lakini?
Huwezi ntakudunda mno!Aisee, nitakufumua! Ohoo.
Huu ushauri umenitoa hofu kwa asilimia kubwa. Barikiwa big.Hiyo ni stage tu, usije ukatumia dawa za ajabu ukaishia kung'aa kama dashboard ya Noah.
Poa.Ndio
Me niko powa tu sister.Marhaba hujambo kijana wangu
Kwa heshima zangu kwako, naamu kutulia.Huwezi ntakudunda mno!