Hivi nitumie dawa gani?

Hivi nitumie dawa gani?

Oya nye watu mliopo humu... Jana kuna demu nimemzingua kisa kasema sura yangu imeharibika.

Hebu mnambie nitumie dawa gani ili niondoe chunusi huku usoni.

3853.jpg

Cc Mshana Jr Mobutu JR
 
Oya nye watu mliopo humu... Jana kuna demu nimemzingua kisa kasema sura yangu imeharibika.

Hebu mnambie nitumie dawa gani ili niondoe chunusi huku usoni.
Gentleman pole,
katika mabadiliko na ukuaji wa mwili wa mwanadamu, kuna wakati anakua na vichocheo vingi mwilini, na hupelekea kutoka chunusi,

Lakini pia,
punguza msongo wa mawazo na vyakula vyenye mafuta kupunguza au kuondokana kabisa na chunusi, lakini pia shiriki mazoezi mara kwa mara ili kuondoa msongamano wa seli zilizokufa mwilini mwako,

Fanya usafi wa mwili wako kikamilifu kuondoa seli au mafuta yanayoziba vinyweleo vyoko ambavyo baadae husababisha chunusi,

tumia vifaa muafa kunyolea ndevu na sehemu mbalimbali zenye nywele mwilini mwako.

Kumbuka,
changamoto hiyo ikizidi, tafadhali muone daktari 🐒
 
Back
Top Bottom