Hivi nitumie dawa gani?

Hivi nitumie dawa gani?

Bado unakuwa zitaisha zenyewe naona huyo demu kakuumiza sana kisaikolojia uzi wa pili huu ndani ya dk20 kuhusu chunusi
Sawa dokta.
Ila mbona zinakuja ukubwani? Maana under15 nilikuwa sina.
 
Gentleman pole,
katika mabadiliko na ukuaji wa mwili wa mwanadamu, kuna wakati anakua na vichocheo vingi mwilini, na hupelekea kutoka chunusi,

Lakini pia,
punguza msongo wa mawazo na vyakula vyenye mafuta kupunguza au kuondokana kabisa na chunusi, lakini pia shiriki mazoezi mara kwa mara ili kuondoa msongamano wa seli zilizokufa mwilini mwako,

Fanya usafi wa mwili wako kikamilifu kuondoa seli au mafuta yanayoziba vinyweleo vyoko ambavyo baadae husababisha chunusi,

tumia vifaa muafa kunyolea ndevu na sehemu mbalimbali zenye nywele mwilini mwako.

Kumbuka,
changamoto hiyo ikizidi, tafadhali muone daktari
Sawa sawa mr. Gentleman.
 
Alafu nishakwambia, badili hiyo profile photo yako mjomba kuna siku utabakwa.
Unajua kuwa leo ndo nimejua kama ni mwanaume, siku za nyuma nikiwa naona avatar yake najua yeye ni mwanamke tu.

Na usichokijua kuwa mwamba anadai ana miaka 17 tu.

Ni changamoto kwelikweli
 
Back
Top Bottom