Jamani nimeingia jf hivi karibuni tu lakini kuna kitu kimenikera. Hivi kwa nini hawa wanaume wa kihaya wana majivuno namna hiyo. Mara utamsikia sipendi mwanamke anayeishi uswahilini mara hujui kuongea kiingereza. Hivi kwani mie nimetafuta kiingereza au husband material wanabore sana sitaki hata kuwaona.