Freddy81
Member
- Feb 3, 2009
- 99
- 3
Habari wana JF,
Ninachotaka wandugu ni kuwekana sawa. hivi ni vigezo gani vinavyotumika hapa Tanzania kuifanya baadhi ya miji kuwa majiji?
Vigezo ninavyovijua mimi ni:-
1.Idadi ya watu
2.Unachangiaji katika pato la taifa
3.Miundo mbinu ya kutosha,
4.Upatikanaji wa huduma za jamii..Afya,maji safi n.k
5.Maendeleo ya wananchi wake
Sasa najuliza,kwa mfano wa hili la miundombinu na Huduma za jamii ni kweli huwa linazingatiwa uu ni siasa tu? Kweli kuna baadhi ya Miji kam Mwanza inakua kwa kasi, Lakini Je Vipi kuhusu Jiji la Tanga, Jiji la Mbeya na Arusha kama sikosei nalo ni jiji.
Mnazungumziaje na jiji letu Kongwe kabisa la DSM je lina Miundombinu ya Kutosha na mizuri? Nadhani ndo jiji linaloongoza Duniani kwa kujengwa ovyo..
Je ni vigezo vyote hutumika au kikiwepo kimoja kati ya hivyo ndo imewin???? Au ni kamchezo ka siasa tu. Embu tuwekane wazi kuhusu hili wandugu.
Ni Hayo tu
Ninachotaka wandugu ni kuwekana sawa. hivi ni vigezo gani vinavyotumika hapa Tanzania kuifanya baadhi ya miji kuwa majiji?
Vigezo ninavyovijua mimi ni:-
1.Idadi ya watu
2.Unachangiaji katika pato la taifa
3.Miundo mbinu ya kutosha,
4.Upatikanaji wa huduma za jamii..Afya,maji safi n.k
5.Maendeleo ya wananchi wake
Sasa najuliza,kwa mfano wa hili la miundombinu na Huduma za jamii ni kweli huwa linazingatiwa uu ni siasa tu? Kweli kuna baadhi ya Miji kam Mwanza inakua kwa kasi, Lakini Je Vipi kuhusu Jiji la Tanga, Jiji la Mbeya na Arusha kama sikosei nalo ni jiji.
Mnazungumziaje na jiji letu Kongwe kabisa la DSM je lina Miundombinu ya Kutosha na mizuri? Nadhani ndo jiji linaloongoza Duniani kwa kujengwa ovyo..
Je ni vigezo vyote hutumika au kikiwepo kimoja kati ya hivyo ndo imewin???? Au ni kamchezo ka siasa tu. Embu tuwekane wazi kuhusu hili wandugu.
Ni Hayo tu