ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,048
- 49,731
Naandika haya Ili kuonesha utofauti uliopo baina ya mwenzetu na Tanzania.
Maana nakumbuka mtu aliibuka from no where na kutamka ooh kuanzia Leo Dodoma ni Jiji.
Akaja tena Ili kufurahisha watu,ooh natamka kuanzia Leo Kahama ni Manispaa.
Swali.
Je Tanzania hapa Kuna chombo Cha kuidhinisha na Kupandisha Miji kutoka hadhi Moja kwenda nyingine mfano kutoka Mji kwenda Manispaa na kutoka Manispaa kwenda Jiji?
Na kama kipo mbona sijawahi sikia au mbona labda maamuzi yake hayaheshimiwi?
Maana nakumbuka mtu aliibuka from no where na kutamka ooh kuanzia Leo Dodoma ni Jiji.
Akaja tena Ili kufurahisha watu,ooh natamka kuanzia Leo Kahama ni Manispaa.
Swali.
Je Tanzania hapa Kuna chombo Cha kuidhinisha na Kupandisha Miji kutoka hadhi Moja kwenda nyingine mfano kutoka Mji kwenda Manispaa na kutoka Manispaa kwenda Jiji?
Na kama kipo mbona sijawahi sikia au mbona labda maamuzi yake hayaheshimiwi?