kingxvi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 879
- 151
acha madhereu weye, MBEYA haiwezi linganishwa na kahama. Mbeya ina uchumi mkubwa kuliko kahama==kama umekosa mji wa kulinganisha na Mbeya, sema. Unalinganisha na Kahama ambako kuna njaa toka asubuhi mpaka jioni... hili ni moja tu ninayo mengi sana tatizo muda wa kukukuambia
mbeya hapana kitu hapa mitaa hovyo.mazingira hovyo yani hata singida pana mvuto