Hivi nini kigezo cha mji kuwa na hadhi ya Jiji?

acha madhereu weye, MBEYA haiwezi linganishwa na kahama. Mbeya ina uchumi mkubwa kuliko kahama==kama umekosa mji wa kulinganisha na Mbeya, sema. Unalinganisha na Kahama ambako kuna njaa toka asubuhi mpaka jioni... hili ni moja tu ninayo mengi sana tatizo muda wa kukukuambia

mbeya hapana kitu hapa mitaa hovyo.mazingira hovyo yani hata singida pana mvuto
 
mbeya hapana kitu hapa mitaa hovyo.mazingira hovyo yani hata singida pana mvuto

hivi unajua huo mji na miji mingine hapa BONGO ilianzaje au unalipuka tu? hivi wakikuuliza mji wa kulinganisha na MBEYA, singida nayo unaiweka kwenye orodha? mdau inaonesha hata SGD huijui, kwa taarifa tu MJI WA SGD, ndiyo umeanza kujengwa sasa niandikapo ujumbe huu, huwezi linganisha na ule ambao una umri wa miaka zaidi ya mia
 
huwa wanatumia vigezo gani maana nimefika mbeya mji hauna hata chembe moja ya kuwa jiji unazidiwa hata na wilaya ya kahama jamani

Swali lako ni la msingi sana, ila wachangiaji tumeshindwa ku-concentrate kwenye msingi wa swali na kujadili mfano. Binafsi nilienda Tanga then nikaelekea Arusha, nilipolinganisha hii miji miwili nikaona Arusha umeendelea zaidi na mzunguko wa pesa ni mkubwa zaidi kuliko Tanga, lakini Tanga ni jiji wakti Arusha sio. Nikajiuliza swali hili hili, ingawa hadi sasa sijapata jibu. P'se GREAT THINKERS TUELIMISHENI.
 
huwa wanatumia vigezo gani maana nimefika mbeya mji hauna hata chembe moja ya kuwa jiji unazidiwa hata na wilaya ya kahama jamani

kaka umeshasema ndo kwanza umefika Mbeya,hivyo naamini unahitaji muda zaidi kuweza kuufam mji wa mbeya,take your time kuuzunguka utagundua ni kichekesho cha mwaka kuifananisha mby na singida or kahama.

kuh vigezo vinavyotumika baadhi ni hivi:
1.ukubwa wa mji-katika hili wanaangalia ni kwa jinsi gani mji umetanuka,mfano wa mbeya kuanzia mbalizi mpaka mwanjelwa au sokomatola then kuelekea uyole,nk.
2.Idadi ya watu
3.mzunguko wa pesa
4.upatikanaji wa huduma muhimu kama mabenk,masoko makubwa,hospitals,mahotel makubwa,vyuo,shule
5.n.k
na mambo mengine mengi
 
The difference between towns and cities is differently understood in different parts of the world. Indeed, some languages other than English use a single word for both concepts. Iberian languages typically use a three-way designation (Catalan: "poble", "vila", "ciutat"; Galician: "aldea", "vila", "cidade"; Portuguese: "aldeia", "vila", "cidade"; Spanish: "pueblo", "villa", "ciudad"-respectively "village", "town", "city"); Italian: "villaggio", "paese" "città"-respectively "village", "village/town", "city/town"; , but other Romance languages don't (French: "village", "ville").[SUP][citation needed][/SUP]
Even within the English-speaking world there is no one standard definition of a city: the term may be used either for a town possessing city status; for an urban locality exceeding an arbitrary population size; for a town dominating other towns with particular regional economic or administrative significance. In British English, city is reserved for very large settlements and smaller historic settlements with a Cathedral (e.g. Lichfield), while smaller settlements without a Cathedral are called towns, and smaller still are villages and hamlets.[SUP][citation needed][/SUP] In the US city is used for much smaller settlements.
Although city can refer to an agglomeration including suburban and satellite areas, the term is not usually applied to a conurbation (cluster) of distinct urban places, nor for a wider metropolitan area including more than one city, each acting as a focus for parts of the area. And the word "town" (also "downtown") may mean the center of the city.

source:Wikipedia, the free encyclopedia
 
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search
For other uses, see City (disambiguation).

Map of Piraeus, the port of Athens, showing the grid plan of the city.


A city is a relatively large and permanent settlement.[SUP][1][/SUP][SUP][2][/SUP] Although there is no agreement on how a city is distinguished from a town within general English language meanings, many cities have a particular administrative, legal, or historical status based on local law.
For example, in the U.S. state of Massachusetts an article of incorporation approved by the local state legislature distinguishes a city government from a town. In the United Kingdom and parts of the Commonwealth of Nations, a city is traditionally a settlement with a royal charter.[SUP][1][/SUP] Historically, in Europe, a city was understood to be an urban settlement with a cathedral.
Cities generally have complex systems for sanitation, utilities, land usage, housing, and transportation. The concentration of development greatly facilitates interaction between people and businesses, benefiting both parties in the process. A big city or metropolis usually has associated suburbs and exurbs. Such cities are usually associated with metropolitan areas and urban areas, creating numerous business commuters traveling to urban centers for employment. Once a city expands far enough to reach another city, this region can be deemed a conurbation or megalopolis.
 
Swali lako ni la msingi sana, ila wachangiaji tumeshindwa ku-concentrate kwenye msingi wa swali na kujadili mfano. Binafsi nilienda Tanga then nikaelekea Arusha, nilipolinganisha hii miji miwili nikaona Arusha umeendelea zaidi na mzunguko wa pesa ni mkubwa zaidi kuliko Tanga, lakini Tanga ni jiji wakti Arusha sio. Nikajiuliza swali hili hili, ingawa hadi sasa sijapata jibu. P'se GREAT THINKERS TUELIMISHENI.

Yawezekana vigezo hatuvijui sawasawa ndio maana tunaulizana na kushambuliana kwa mifano iliyotolewa maana hata wewe umetoa mfano. Arusha inakosa proper plan, imejengwa ovyo maeneo mengi, ukiacha city centre. the suburbs are not planned well na maeneo mengi ni machafu (not sure kwa kuwa sijatembelea maeneo yote). Pia si mji mkubwa kwa eneo maana upo katikati ya Arumeru. Tengeru ni Arumeru na Ngaramtoni ni Arumeru. kama wakiweza kupanua eneo la mji kujumuisha maeneo hayo na kufanyia kazi mpangilio na usafi , nadhani itastahili zaidi. Nakumbuka ilishaitwa jiji (na hadi sasa wengine wanajua hivyo) ila ikanyang'anywa tena hadhi hiyo baada ya muda fulani.....


Mengine ya idadi ya watu, mzunguko wa fedha, vyuo, etc najua Arusha ni juu ya Tanga, ila mambo ya maji na umeme Tanga ni Heaven, comparatively.

Mambo haya wanaweza kutujuza wanaohusika na michakato hiyo mana naamini hata humu jf wamo.
 
kaka umeshasema ndo kwanza umefika Mbeya,hivyo naamini unahitaji muda zaidi kuweza kuufam mji wa mbeya,take your time kuuzunguka utagundua ni kichekesho cha mwaka kuifananisha mby na singida or kahama.

kuh vigezo vinavyotumika baadhi ni hivi:
1.ukubwa wa mji-katika hili wanaangalia ni kwa jinsi gani mji umetanuka,mfano wa mbeya kuanzia mbalizi mpaka mwanjelwa au sokomatola then kuelekea uyole,nk.
2.Idadi ya watu
3.mzunguko wa pesa
4.upatikanaji wa huduma muhimu kama mabenk,masoko makubwa,hospitals,mahotel makubwa,vyuo,shule
5.n.k
na mambo mengine mengi
hapo kwenye red bora ungeacha kuandika...
 
Ukweli mi kwamba mbeya sio jiji.
wamebambikwa jina hilo ili wenyeji wasihame uko kuja kwenye majiji kamili.
Kiufupi wamezugwa.
Halafu wenyeji wake cio wote ila wengi wao wanahitilafu kichwani cmaanish ni vichaa ila wanamatatizo kichwani kidogo, fuatilia kwa umakini utaligundua hilo.
Naipongeza serikali kwa kuliona hilo maana mtaani kwetu wapo w3 ni shida kwelkwel je wangekua 10 c tungehama mtaa.
Bila kusahau rangi zao, ni bora wakae hukohuko.
Eti mby jj. Haina radio wal tv inayobrodcast country wide.
 
Ukweli mi kwamba mbeya sio jiji.
wamebambikwa jina hilo ili wenyeji wasihame uko kuja kwenye majiji kamili.
Kiufupi wamezugwa.
Halafu wenyeji wake cio wote ila wengi wao wanahitilafu kichwani cmaanish ni vichaa ila wanamatatizo kichwani kidogo, fuatilia kwa umakini utaligundua hilo.
Naipongeza serikali kwa kuliona hilo maana mtaani kwetu wapo w3 ni shida kwelkwel je wangekua 10 c tungehama mtaa.
Bila kusahau rangi zao, ni bora wakae hukohuko.
Eti mby jj. Haina radio wal tv inayobrodcast country wide.

umeua.!
 
A large settlement. How large is a large settlement? Nakumbuka hadithi ya kipofu na wenzake waliomgusa tembo na kila mmoja akaanza kumuelezea.
 
Ukweli mi kwamba mbeya sio jiji.
wamebambikwa jina hilo ili wenyeji wasihame uko kuja kwenye majiji kamili.
Kiufupi wamezugwa.
Halafu wenyeji wake cio wote ila wengi wao wanahitilafu kichwani cmaanish ni vichaa ila wanamatatizo kichwani kidogo, fuatilia kwa umakini utaligundua hilo.
Naipongeza serikali kwa kuliona hilo maana mtaani kwetu wapo w3 ni shida kwelkwel je wangekua 10 c tungehama mtaa.
Bila kusahau rangi zao, ni bora wakae hukohuko.
Eti mby jj. Haina radio wal tv inayobrodcast country wide.


Fakenology, Tokea ulivyougua kichaa ukatibiwa na kuruhusiwa kutoka kwenye wodi ya vichaa,naona umerudi JF kwa kasi kweli,ila nadhani bado hujapona vizuri hasa nikijaribu kipitia ulichoandika hapo juu nadhani kichaa kimekupanda tena,ngoja niwapigie simu police wakukamate wakuwahishe kwenye wadi ya vichaa usije ukaharibu zaidi.
 
kaka umeshasema ndo kwanza umefika Mbeya,hivyo naamini unahitaji muda zaidi kuweza kuufam mji wa mbeya,take your time kuuzunguka utagundua ni kichekesho cha mwaka kuifananisha mby na singida or kahama.

kuh vigezo vinavyotumika baadhi ni hivi:
1.ukubwa wa mji-katika hili wanaangalia ni kwa jinsi gani mji umetanuka,mfano wa mbeya kuanzia mbalizi mpaka mwanjelwa au sokomatola then kuelekea uyole,nk.
2.Idadi ya watu
3.mzunguko wa pesa
4.upatikanaji wa huduma muhimu kama mabenk,masoko makubwa,hospitals,mahotel makubwa,vyuo,shule
5.n.k
na mambo mengine mengi

tonapozungumza kuhusu majiji huyo wa singida akae kimya tu, alijua kigezo cha jiji ni wingi wa guest kama ilivyo hapo singida?
 
UNISOME KWA MAKINI HAPA:
1.Population: Mbeya ni ya tatu baada ya mwanza na dsm.
2. Huduma za afya: mbeya(rufaa) inahudumia mikoa ya iringa, rukwa, songea
3. huduma za fedha: mbeya ni kati ya mikoa 5 yenye B.O.T tangu awamu ya pili.
4. Transportation: mbeya ina aina zote za usafiri kama reli, barabara, maji kwa ziwa nyasa na rukwa, ndege n.K.
5. Financial inst: mbeya ina zaid ya aina 15 za mabenk.
6. Elimu: mbeya ni ya 2 kwa wingi wa shule za a-level. Na ya 3 kwa o-level.
7. Biashara: mbeya inamiliki bourder kubwa kuliko zote tanzania.
8. Mapato: T.R.A Mkoa wa mbeya imekuwa ikivuka malengo ya ukusanyaji kwa zaidi ya miaka 10 sasa.
9. Nyakyusa: ni kabila la nne kwa ukubwa baada ya sukuma, chaga, na haya.
10. Urban area: mbya mjini ina makazi ya kudumu mengi ikifuatia kwa mwanza baada ya dsm.
11. Chakula: mbeya is the greatest food producer in tanzania.
 
UNISOME KWA MAKINI HAPA:
1.Population: Mbeya ni ya tatu baada ya mwanza na dsm.
2. Huduma za afya: mbeya(rufaa) inahudumia mikoa ya iringa, rukwa, songea
3. huduma za fedha: mbeya ni kati ya mikoa 5 yenye B.O.T tangu awamu ya pili.
4. Transportation: mbeya ina aina zote za usafiri kama reli, barabara, maji kwa ziwa nyasa na rukwa, ndege n.K.
5. Financial inst: mbeya ina zaid ya aina 15 za mabenk.
6. Elimu: mbeya ni ya 2 kwa wingi wa shule za a-level. Na ya 3 kwa o-level.
7. Biashara: mbeya inamiliki bourder kubwa kuliko zote tanzania.
8. Mapato: T.R.A Mkoa wa mbeya imekuwa ikivuka malengo ya ukusanyaji kwa zaidi ya miaka 10 sasa.
9. Nyakyusa: ni kabila la nne kwa ukubwa baada ya sukuma, chaga, na haya.
10. Urban area: mbya mjini ina makazi ya kudumu mengi ikifuatia kwa mwanza baada ya dsm.
11. Chakula: mbeya is the greatest food producer in tanzania.
Kati ya wote waliochangia thread hii, at least wewe ndo umeongea kitu cha maana kwa asilimia kubwa...... nimekugongea like mkuu.....
 
UNISOME KWA MAKINI HAPA:
1.Population: Mbeya ni ya tatu baada ya mwanza na dsm.
2. Huduma za afya: mbeya(rufaa) inahudumia mikoa ya iringa, rukwa, songea
3. huduma za fedha: mbeya ni kati ya mikoa 5 yenye B.O.T tangu awamu ya pili.
4. Transportation: mbeya ina aina zote za usafiri kama reli, barabara, maji kwa ziwa nyasa na rukwa, ndege n.K.
5. Financial inst: mbeya ina zaid ya aina 15 za mabenk.
6. Elimu: mbeya ni ya 2 kwa wingi wa shule za a-level. Na ya 3 kwa o-level.
7. Biashara: mbeya inamiliki bourder kubwa kuliko zote tanzania.
8. Mapato: T.R.A Mkoa wa mbeya imekuwa ikivuka malengo ya ukusanyaji kwa zaidi ya miaka 10 sasa.
9. Nyakyusa: ni kabila la nne kwa ukubwa baada ya sukuma, chaga, na haya.
10. Urban area: mbya mjini ina makazi ya kudumu mengi ikifuatia kwa mwanza baada ya dsm.
11. Chakula: mbeya is the greatest food producer in tanzania.

hamna kitu hapo! ushabiki kuliko uhalisia wa mambo.
 
Ukweli mi kwamba mbeya sio jiji.
wamebambikwa jina hilo ili wenyeji wasihame uko kuja kwenye majiji kamili.
Kiufupi wamezugwa.
Halafu wenyeji wake cio wote ila wengi wao wanahitilafu kichwani cmaanish ni vichaa ila wanamatatizo kichwani kidogo, fuatilia kwa umakini utaligundua hilo.
Naipongeza serikali kwa kuliona hilo maana mtaani kwetu wapo w3 ni shida kwelkwel je wangekua 10 c tungehama mtaa.
Bila kusahau rangi zao, ni bora wakae hukohuko.
Eti mby jj. Haina radio wal tv inayobrodcast country wide.
Nakubaliana nawe katika moja tu, kwamba uamuzi wa kuufanya mji wa Mbeya jiji ulikuwa wa kisiasa zaidi kuliko uhalisia wenyewe. Kwamba wana hitilafu kichwani sijui wala sielewi umetumia kipimo gani kuligundua hilo kwani mimi nawaona miongoni mwao wako walio makini kuliko wewe na wenzako wenye mawazo yanayofanana nawe. Kama wapo humu walioshiriki katika mchakato wa kuufanya mji wa Mbeya jiji kabla ya Tanga, Iringa, Dodoma na hata Morogoro wajitokeze watueleze vigezo walivyotumia. Inashangaza kwelikweli kuona jiji halina hata hoteli moja ya 5 Stars, kiwanja cha ndege hakikuwepo wakati linatangazwa, hakuna hata kituo kimoja cha Televisheni wala redio kinachotangaza kitaifa, na hata baadhi ya huduma za kibenki ni lazima uende Dar kuzikamilisha!
 
Nakubaliana nawe katika moja tu, kwamba uamuzi wa kuufanya mji wa Mbeya jiji ulikuwa wa kisiasa zaidi kuliko uhalisia wenyewe. Kwamba wana hitilafu kichwani sijui wala sielewi umetumia kipimo gani kuligundua hilo kwani mimi nawaona miongoni mwao wako walio makini kuliko wewe na wenzako wenye mawazo yanayofanana nawe. Kama wapo humu walioshiriki katika mchakato wa kuufanya mji wa Mbeya jiji kabla ya Tanga, Iringa, Dodoma na hata Morogoro wajitokeze watueleze vigezo walivyotumia. Inashangaza kwelikweli kuona jiji halina hata hoteli moja ya 5 Stars, kiwanja cha ndege hakikuwepo wakati linatangazwa, hakuna hata kituo kimoja cha Televisheni wala redio kinachotangaza kitaifa, na hata baadhi ya huduma za kibenki ni lazima uende Dar kuzikamilisha!

acha ukilaza! Mwza au arusha au Dar ilipopewa sifa ya jiji ni hotel gan ilikuwa 5star?
Kuna redio gan ya kitaifa pale tanga au arusha hadi kuwa jiji?
Ni huduma gani ya benk uliyokosa mbeya ukaifuata dar?
Kwa iyo mikoa mingne ulotaja ndo ina cfa za kuwa jiji?
Amka wewe, fungua TAMISEMI ujue vigezo nilivyotaja ktk post ya juu vinavyotumika.
 
Back
Top Bottom