Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,129
- 2,982
Nimetembea na kuishi kwenye baadhi ya majiji hapa nchini, ila jiji la Mwanza hapana.
Joto kama Dar, usafi ni changamoto sana. Inabidi vigezo vya majiji vifanyiwe tathmini upya isiwe hizo population na uwezo wa kukusanya mapato.
Hali ya mbu Mwanza ni kama wanafanya ufugaji.
Joto kama Dar, usafi ni changamoto sana. Inabidi vigezo vya majiji vifanyiwe tathmini upya isiwe hizo population na uwezo wa kukusanya mapato.
Hali ya mbu Mwanza ni kama wanafanya ufugaji.