GreenCity
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 5,621
- 4,267
hamna kitu hapo! ushabiki kuliko uhalisia wa mambo.
bisha kwa hoja kati ya hayo kwenye list, then nenda kaangalie data za TAMISEMI, KIsha urudi hapa!
hamna kitu hapo! ushabiki kuliko uhalisia wa mambo.
bisha kwa hoja kati ya hayo kwenye list, then nenda kaangalie data za tamisemi, kisha urudi hapa!
umeua.!
Quote from luhala
Nakubaliana nawe katika moja tu, kwamba uamuzi wa kuufanya mji wa Mbeya jiji ulikuwa wa kisiasa zaidi kuliko uhalisia wenyewe. Kwamba wana hitilafu kichwani sijui wala sielewi umetumia kipimo gani kuligundua hilo kwani mimi nawaona miongoni mwao wako walio makini kuliko wewe na wenzako wenye mawazo yanayofanana nawe. Kama wapo humu walioshiriki katika mchakato wa kuufanya mji wa Mbeya jiji kabla ya Tanga, Iringa, Dodoma na hata Morogoro wajitokeze watueleze vigezo walivyotumia. Inashangaza kwelikweli kuona jiji halina hata hoteli moja ya 5 Stars, kiwanja cha ndege hakikuwepo wakati linatangazwa, hakuna hata kituo kimoja cha Televisheni wala redio kinachotangaza kitaifa, na hata baadhi ya huduma za kibenki ni lazima uende Dar kuzikamilisha!
UNISOME KWA MAKINI HAPA:
1.Population: Mbeya ni ya tatu baada ya mwanza na dsm.
Kwa hilo sina takwimu, sina hoja.
2. Huduma za afya: mbeya(rufaa) inahudumia mikoa ya iringa, rukwa, songea
Moshi pia ipewe hadhi ya jiji kwa vile ipo hospitali ya rufaa kwa ajili ya kanda nzima ya kaskazini (KCMC)?
3. huduma za fedha: mbeya ni kati ya mikoa 5 yenye B.O.T tangu awamu ya pili.
Bado sijaunganisha uhusiano wa BOT na uteuzi wa mahala kuwa jiji
4. Transportation: mbeya ina aina zote za usafiri kama reli, barabara, maji kwa ziwa nyasa na rukwa, ndege n.K.
Sikuwa nafahamu kwamba jiji la Mbeya lina usafiri wa aina zote; yaani barabara, maji, reli na ndege!
5. Financial inst: mbeya ina zaid ya aina 15 za mabenk.
Dodoma kuna Financial Inst. zaidi ya hizo, ipewe hadhi ya jiji?
6. Elimu: mbeya ni ya 2 kwa wingi wa shule za a-level. Na ya 3 kwa o-level.
Kwa hili pia sina takwimu, lakini ninavyoamini hesabu yako inajumuisha shule zilizoko wilayani!
7. Biashara: mbeya inamiliki bourder kubwa kuliko zote tanzania.
Nashindwa kuelewa ni mkoa au mji wa Mbeya unaomiliki bourders hizo?
8. Mapato: T.R.A Mkoa wa mbeya imekuwa ikivuka malengo ya ukusanyaji kwa zaidi ya miaka 10 sasa.
Kama mapato ni kigezo, basi maeneo ya Ilala, Temeke na Kinondoni yapewe hadhi za majiji kwa vile
yanachangia sehemu kubwa ya mapato kitaifa.
9. Nyakyusa: ni kabila la nne kwa ukubwa baada ya sukuma, chaga, na haya.
Kigezo hiki ni cha ovyo kabisa na hakihusiani na uteuzi wa jiji. Isitoshe ninavyofahamu wanyakyusa
hawatoki Mbeya bali Tukuyu!
10. Urban area: mbya mjini ina makazi ya kudumu mengi ikifuatia kwa mwanza baada ya dsm.
Hili pia sina takwimu, inawezekana.
11. Chakula: mbeya is the greatest food producer in tanzania.
If so the our next cities shall be Sumbawanga, Iringa and Songea!
acha ukilaza! Mwza au arusha au Dar ilipopewa sifa ya jiji ni hotel gan ilikuwa 5star?
Kuna redio gan ya kitaifa pale tanga au arusha hadi kuwa jiji?
Ni huduma gani ya benk uliyokosa mbeya ukaifuata dar?
Kwa iyo mikoa mingne ulotaja ndo ina cfa za kuwa jiji?
Amka wewe, fungua TAMISEMI ujue vigezo nilivyotaja ktk post ya juu vinavyotumika.
[/QUOTE]QUOTE]Quote from fakenology
Ukweli mi kwamba mbeya sio jiji.
wamebambikwa jina hilo ili wenyeji wasihame uko kuja kwenye majiji kamili.
Kiufupi wamezugwa.
Halafu wenyeji wake cio wote ila wengi wao wanahitilafu kichwani cmaanish ni vichaa ila wanamatatizo kichwani kidogo, fuatilia kwa umakini utaligundua hilo.
Naipongeza serikali kwa kuliona hilo maana mtaani kwetu wapo w3 ni shida kwelkwel je wangekua 10 c tungehama mtaa.
Bila kusahau rangi zao, ni bora wakae hukohuko.
Eti mby jj. Haina radio wal tv inayobrodcast country wide.
Ni kweli kwa mtazamo wako haswa kama vigezo vya mahala kuwa mji, wilaya au jiji ingetokana na test/ utashi fulani wa mtu basi hata haya unayoyasema ingekuwa hivyo. ndugu yangu nimeona wengi wamechangia sana lakini kwa kuongeza vigezo ni pamoja na idadi ya watu, makusanyo ktk halmashauri husika, lakini pia sikukatalii sana kwa nchi kama zetu kipo pia kigezo cha utashi wa wanasiasa wetu. kwa jiji la mbeya ni vigumu sana kwa mtu anaeingia kwa mara kwanza kuona picha halisi, na wengi wamekuwa mara kadhaa na mtazamo wa kwako kwani wamekuwa tu wakiamini mbeya ni kijiji kikubwa na wala sio jiji, mfano ni kutokana na kuzagaa hovyo hovyo kwa wamachinga, usafi kufanyika ktk njia moja tu ya highway kiasi cha maeneo mengi mfano kata kama ya ilemi, nzovwe na hata iyela kuwa ktk hali mbaya. pia lipo tatizo la watu wenyewe kuwa wenyeji zaidi (too local) kitu kinachowapelekea kushindwa kutumia fursa zilizopo vizuri zaidi kuhakikisha wanatoa hudumu ya kutosha, mfano ikifika saa moja huwezi kuta huduma ya hotel popote zaid ya baa, na zenyewe ni chache.
Hapa ndio nimeona ushabiki wako kuliko ukweli.Arusha imekuwa na hotel zenye hadhi kubwa sambamba na Dar es salaam kabla Arusha haijawa jiji.Kihalisia miji mingi imepewa hadhi ya jiji kisiasa tu.
Majiji yenye hadhi hiyo hapa Tanzania (pamoja na mapungufu mengi ya miji hiyo) ni Arusha na Mwanza tu (ukitoa Dar ).Arusha na Mwanza zimezidiana ukubwa na population lakini huduma nyingi ni sawa ingawa upande wa barabara upanuzi uliofanyika Mwanza umebadili kabisa sura ya jiji hilo.
Leo miji yenye uwezo wa ku accomodate ugeni wowote mkubwa bila kuelemewa ni Dar na Arusha tu!leo mechi ya Simba na Yanga ikichezwa Mbeya au Tanga utasikia mpaka guest zimefurika hakuna nafasi! kuna jiji hapo! Dodoma wabunge tu hawatoshi! Miji kama Tanga,Mbeya haina sifa za kuwa jiji hata kibongo bongo na hii haiitaji takwimu bali macho tu ukifika ktk miji hiyo.
Mwanza na Arusha ndio miji yenye unafuu kwa huduma nyingi na Arusha kutopewa hadhi ya jiji mapema ni changamoto tu kulifanya liwe na hadhi inayostahili sababu ya nafasi ya jiji hilo ktk huduma za kimataifa na si sababu Mbeya na Tanga ni zaidi ya Arusha loh!
jiji gani halina hata hotel ya 3 starsUNISOME KWA MAKINI HAPA:
1.Population: Mbeya ni ya tatu baada ya mwanza na dsm.
hapa unazungumzia halmashauri ya mji wa mbeya au unazungumzia mkoa wa mbeya maana unaonekana wewe hata hujui hata tofauti ya mkoa na mji
2. Huduma za afya: mbeya(rufaa) inahudumia mikoa ya iringa, rukwa, songea
hlo ni zuga kama ingekuwa kuna hospitali ya rufaa na muhimbili huwa wanakuja wagonjwa toka huko kufanyaje
3. huduma za fedha: mbeya ni kati ya mikoa 5 yenye B.O.T tangu awamu ya pili.
kutokana mamgawanyiko wa kanda hakukuwa na namna zaidi ya kuiweka huko ili kusaidia mzunguko na mtawanyiko wa fedha
4. Transportation: mbeya ina aina zote za usafiri kama reli, barabara, maji kwa ziwa nyasa na rukwa, ndege n.K.
ndege gani inayotua mbeya bora hata shinyanga precision inatuwa mbeya vinatua vile vindege vya watu 12 napo utasema kuna usafiri wa ndege wanazidiwa hata na kigoma
5. Financial inst: mbeya ina zaid ya aina 15 za mabenk.
ukujumlisha na saccos sawa
6. Elimu: mbeya ni ya 2 kwa wingi wa shule za a-level. Na ya 3 kwa o-level.
hapa unazungumzia jiji la mbeya au mkoa wa mbeya maana inaonekana wewe kwako ukisikia jiji basi unajua ni mkoaludi darasa la 4 kasome tena uraia
7. Biashara: mbeya inamiliki bourder kubwa kuliko zote tanzania.
hapa sina uhakika
8. Mapato: T.R.A Mkoa wa mbeya imekuwa ikivuka malengo ya ukusanyaji kwa zaidi ya miaka 10 sasa.
mimi nazungumzia jiji sio mkoa
9. Nyakyusa: ni kabila la nne kwa ukubwa baada ya sukuma, chaga, na haya.
nyamwezi je?,hehe je?
10. Urban area: mbya mjini ina makazi ya kudumu mengi ikifuatia kwa mwanza baada ya dsm.
nyumba zenyewe ndio hizo za tope?
11. Chakula: mbeya is the greatest food producer in tanzania
pale mjini sijaona mashamba.
Vizuri sikuwahi kujua kama Uzi kama huu uliwahi kuja hapa
Ni vipi vigezo vya mji kuwa jiji? - JamiiForums
Habari wana JF, Ninachotaka wandugu ni kuwekana sawa. hivi ni vigezo gani vinavyotumika hapa Tanzania kuifanya baadhi ya miji kuwa majiji? Vigezo ninavyovijua mimi ni:- 1.Idadi ya watu 2.unachangiaji katika pato la taifa 3.Miundo mbinu ya kutosha, 4.Upatikanaji wa huduma za jamii..Afya,maji...www.jamiiforums.com