Hivi nini kigezo cha mji kuwa na hadhi ya Jiji?

Wadau wa JF hivi ili mkoa fulani uitwe jiji huwa wanazingatia masuala gani sijawahi kujua mpaka leo!
 
Idadi ya watu + uwezo wa kijiendesha kama jiji (mapato) + miundombinu rafiki kama hosptali vingine jiongeze.
 
Wewe jamaa uelewa wako sijui ni wa kiwango gani; rejea ile mada yako ya Watoto wanaosoma shule za English medium hamna kitu kichwani. Anyway, mkoa hauwezi kuwa jiji kinachoweza kuwa jiji ni mji au manispaa. Kwamba mkoa mzima wa Morogoro au Tabora uwe jiji na mapori yote ya akiba yawe ndani ya jiji hiyo kitu haipo. Ingekuwa jiji kubwa kabisa na la aina yake kuwahi kutokea duniani!
 
Wewe jamaa uelewa wako sijui ni wa kiwango gani; rejea ile mada yako ya Watoto wanaosoma shule za English medium hamna kitu kichwani. Anyway, mkoa hauwezi kuwa jiji kinachoweza kuwa jiji ni mji au manispaa. Kwamba mkoa mzima wa Morogoro au Tabora uwe jiji na mapori yote ya akiba yawe ndani ya jiji hiyo kitu haipo.
Duh.!ushanikariri ili uni Criticize kwenye kila Uzi
 
Nimekutana na majibu ya hili swali langu ila nimekuwa mgumu sana kuyaamini kabisa maana maendeleo hayana chama.

Sisi wana moshi tutasubiri sana nasi kuwa jiji kama Dodoma.
Screenshot_20201022-122902.jpg
 
Back
Top Bottom